Kupitia mafanikio ya Diamond Platnumz nimegundua Watanzania wengi wana roho mbaya

Kweli hii dunia kila mtu na mtizamo wake.

Binafsi mtu aisiyesimamia haki ni adui yangu tu hata kama aliwahi kufanya mazuri mengi kiasi gani.
Acheni unafiki wenu wa akina Kigogo!! Mnampiga kupigania haki huku mkiwa mmejificha kwenye fake IDs?!! Wanafiki aina yenu mngekuwa mnamaanisha mnachoongea yale maandamano ya Mange Kimambi ya April 26 yangejaza watu barabarani lakini hakuna aliyejitokeza halafu leo mnajifanya wapigania haki!! Yaani wakati nyie "mnapigania" haki huku mkiwa mmejificha kwenye fake IDs, mnataka mwenzenu atoke front bila bulletproof jacket?!
 
Tabia ya binadamu yoyote akishakuwa na hela huangalia wa kumshauri na huchagua ushauri pia
 
Tabia ya binadamu yoyote akishakuwa na hela huangalia wa kumshauri na huchagua ushauri pia
Mdharau mwiba, mguu huota tende,....kwani kusema naombeni radhi watanzania niliowakwaza anapungukiwa nini.?

..au haoni kitakachotokea baada ya hii sumu kidogo kusambaa mwili mzima?
 
Hii issue ya Chuki kisa Kayafa naipinga labda kama inafanywa kichaka cha kujifichia kwa wale wengine lakini kimsingi wote sio kikwete wala Samia ambao mnawasifia sasa hawakuwa karibu na Kayafa ila kwasasa ndiyo mnawapigia vigeregere.
 
Be specific and hit direct to the point, sababu hasa ni nini mpaka wewe ukaona baba muinua kipaji ana wivu na mwanae?
 
Kuna kitu kinaitwa wivu mkuu! Christian Ronaldo aliwahi kuulizwa mchezaji bora ni nani? Alijibu yeye na hakuna aliemchukia kisa kajisema yeye ni bora zaidi ya wengine wote
 
Wa mitandaoni! Wanaoshinda mitandao ya kijamii ndo wanaojielewa?! Una masikhara sana.
 
Sijajua unaishi katika jamii gani ya watu🤔🤔🤔,
Nakuombea kwa Mungu ufanikiwe ujue walimwengu walivyo🙏🙏🙏
 
Mdharau mwiba, mguu huota tende,....kwani kusema naombeni radhi watanzania niliowakwaza anapungukiwa nini.?

..au haoni kitakachotokea baada ya hii sumu kidogo kusambaa mwili mzima?
Hakuna wa kuomba msamaha na hakuna kitakachotokea , fight alone sio mtu akupanbanie , what a nonsense thought , nchi hii mataahira wengi ....
 
Kweli hii dunia kila mtu na mtizamo wake.

Binafsi mtu aisiyesimamia haki ni adui yangu tu hata kama aliwahi kufanya mazuri mengi kiasi gani.
Unaongea haya ila unakuta we n shabiki mzuri wa Harmo or Alli
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
JF kunavichaa kweli, yani umemshauli Diamond ila hajasoma comment yako...?
Tena nsani ya jf🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ndugu yangu ukiambiwa unamatatizo ya kisaikolojia utakataa...?
Au ndi madhara ya mitandao,
Nnachoshindwa kabisa kukuelewa unasema ulimshauri ndani ya jf🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Si kweli. Watanzania wengi wangapi? Umehoji wangapi na katika nini? Sijui kama wengi wana hata muda na huyo diamond wenu.
 
Watanzania wengi wanafurahia sana mafanikio makubwa aliyoyapata lakini wakati huo huo wanakerwa na yeye kuwa kimya kuhusu DHULUMA na UDHALIMU wa yule dhalimu mwendazake wakati huo huo aliweza kutoa sauti kukemea maovu ya Serikali ya Wanigeria. Kwa hiyo hitimisho lako kwamba Watanzania wanamchukia kwa mafaniko yake makubwa haliko ACCURATE.

 
Unafiki na tabia yake ya kulazimisha ku-monopolise soko la muziki.

Yaani inshort anapambana kujifanya Ruge part 2.
Ndugu yangu nnabahati mbaya sana kusoma comments zako hapa jf, ila naona ubadilishe hyo profile yako. maana naona unamuaibisha sana huyo jamaa tunajua kacoment yy kumbe n pumba zako, tafuta hata profile ya madenge
 
Ndugu yangu nnabahati mbaya sana kusoma comments zako hapa jf, ila naona ubadilishe hyo profile yako. maana naona unamuaibisha sana huyo jamaa tunajua kacoment yy kumbe n pumba zako, tafuta hata profile ya madenge
Nimeshaoa Mkuu.
 
Me nazani tukifata hyo sababu, tutawachukia wazazi wetu, wachungaji na sehemu kubwa ya ndugu zetu katka jamii tunazotoka.

Na mbona kama hao wanaotoa hzo sababu ndio wanaomsaport Alli kiba, na wasanii wengi ktk bongofreva ambao walikuwa ktk mlengo mmoja na Diamond ktk kuisuport serikali...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…