Kupoteza uwezo wa kunusa yaweza kuwa/ni dalili za mwazo za COVID19

Yaani uliposema umepoteza kuskia ladha na harufu nikajua tu tayari. Pole mkuu hii kitu imesambaa kuliko watu wanavyodhani
 
Mkuu mafua nimeumwa sana lakini sijawahi poteza Sense of Smell, kwa uchunguzi nimeona tatalizo hilo limekua kubwa hivi karibuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hiyo ni dalili moja wapo ya Corona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wakuu hamjapata suluhisho la hili tatizo?

Je munaosumbuliwa na hilo tatizo bado munaendelea vizuri?
 

Congratulations.....Covid9 hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…