Kupoteza uwezo wa kunusa yaweza kuwa/ni dalili za mwazo za COVID19

Kupoteza uwezo wa kunusa yaweza kuwa/ni dalili za mwazo za COVID19

Sijui Kama nieeleweka yaani harufu ni harufu kuanzia mavi mpaka manukato namaanisha
 
Wakuu Kichwa cha Habari Kinajieleza.

Nina takriban wiki na siku 2 Sasa Nimepoteza uwezo wa kunusa na taste, yani hata harufu ya perfume sihisi kitu.

Najua humu Jf, tuna wataalam na wajuzi wa mambo,watatusaidia tiba na ushauri pia.

Karibuni wataalam.

Sent using Jamii Forums mobile app
===
Kwanza kabisa, mkuu unaelewa kwamba hiyo ni moja ya dalili kubwa kabisa za Covid-19?
 
Jaribuni hii
Screenshot_20200506-135559.jpg
Screenshot_20200506-135606.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni kweli wengi tutakua tumeugua corona..me wiki ya 3 sasa ndo naanza kupata harufu kwa mbaliii
 
Mi kwakweli nahisi Nina korona juzi Kati niliamka nimechoka viungo vinauma heri hata hangover!
Nimepiga dicloper na matangawizi jioni nikaona fresh alfajiri nikahisi Koo limekauka nikapiga maji

Asubuhi nimeamka poa juzi Jana Niko fresh kabisa Sina homa na matakataka mengine ila kusikia harufu ndo mziki
 
Nilijaribu kutafuna hadi pilipili kichaa ndo nikawa nasikia kamuwasho kwa mbaliii, na limao ndo nahisi ladha kwa mbaliii, hii ni baada ya kupitia changamoto zifatazo; kuumwa kichwa kusikoeleweka yaani kichwa kizito tuu, kichomi, mgongo kuuma, misuli, kikohozi, mafua yasiyoeleweka yaani pua haikuziba. Matibabu niliyo tumia.ciproflaxin dozi, orodar, ampiclox dozi, metro dozi, brufen, limao, tangawizi,kitunguu sahumu, juice ya ukwaju, juice ya pera, peasi.

Baada ya kupata nafuu nikabaki na hii dalili chakushangaza leo wamekuja kunyonya choo jirani kila mtu analalamika harufu nawashangaa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipata same issue. Kuanzia leo nimeanza kupata harufu na ladha.

Imenipa shida sana asubuhi kunusa nguo ili nijue kama chafu au safi. Maana me nguo uwa nanusa kwanza ndio navaa. Week izi mbili nikawa natupia tu bila kujua harufu yake.

Fanya mazoezi mzee, otea jua na Maji sana ya moto na chai.
 
Niliona kama nakufa vile,mwili ukawa kama umepondwa na mawe,
nabanwa ndani kwa ndani macho yanatoa machozi tu,
harufu hata ya chooni sisikii..
mliopitia haka kaupepo poleni naelewa shida zake
 
Nilipata same issue. Kuanzia leo nimeanza kupata harufu na ladha.

Imenipa shida sana asubuhi kunusa nguo ili nijue kama chafu au safi. Maana me nguo uwa nanusa kwanza ndio navaa. Week izi mbili nikawa natupia tu bila kujua harufu yake.

Fanya mazoezi mzee, otea jua na Maji sana ya moto na chai.
Mkuu nguo unanusa kwa siku ngapi na nado unaivaa tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hakuna swala la bahati katika hilo ishu no kuwa hiyo ni corona ni sawa lkn no ugonjwa wa kawaida tu ila kuna watu waliukuza kwa maslahi yao
lkn tatizo hili la kukosa uwezo wa kunusa na dalili zingnr limedhihirisha kwamba
kwanza hauambukizi km hvyo wanavyosema
mm nimepigwa wiki 3 lkn katika watu zangu wa karinu hakuna hata mmoja mpk sasa mwenye dalili au kuugua ama niliemuambukiza au kuwa na hizo dalili
na hapa kitaa asilimia wengi kwa haraka karibu 15 wameugua km hivi na familia zao ziko poa tu nyumba ninayoishi tupo watatu mm na mzee mwenyenyumba na jirani lkn wote tumepona na DAWA TATU tumeumwa lkn hakuna aliyecorupts zaidi naweza kubari umetushambulia sana wanaume kuliko wanawake
na mpk sasa muda huu sijasikiia hata mmoja ninayemfahamu au ndugu wa rafiki ama jamaa amekufa kwa corona yaan ile kuambiwa tu ndugu yangu fulani amekufa kwa corona sijasikia naweza sema kipindupindu ni hatari mara 10 ya corona
mm nawapa HEKO madocta wa hizi dispensary walokuwa wanatushauri tupumzike na kufanya mazoezi tungesema wote tujazane AMANA ndo tungekuwa tunajichimbia KABURI na tungekufa wengi sio kwa corona ni kwa ufinyu wa huduma na maradhi mengne ambayo tungeyapatia huko

hvyo mm naungana MAGU mzee wa mapapai tupige kazi CORONA ni mpngo wa wazungu kutubrainwash wafrica ili watunyanyase lkn nasema wamefeli limewarudia wao
mwarobaini limau tangawizi machungwa ndo kiboko ya CORONA
anayebisha abishe ila ukweli km wewe mtu wa kitaa ili utakuwa umeliona ila km wewe ni mru wa mitandaoni endelea kusikiza media za mabeberu zinakuza tu mambo
haiwezekani dawa wanazikataa hazitibu wkt sisi zinatutibu fresh na tunapona na uzuri ukishaanza kukosa kusikia halufu corona ndo inaondoka na huambukizi tena

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe ikifikia stage ya kutosikia harufu au ladha ndo imesepa ivyo? Na kuambukiza haiwezekani? Mi ndo leo nimeanza kutohisi ladha au harufu yoyote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona hizo antibiotics nyingi sana?
Nilijaribu kutafuna hadi pilipili kichaa ndo nikawa nasikia kamuwasho kwa mbaliii, na limao ndo nahisi ladha kwa mbaliii, hii ni baada ya kupitia changamoto zifatazo; kuumwa kichwa kusikoeleweka yaani kichwa kizito tuu, kichomi, mgongo kuuma, misuli, kikohozi, mafua yasiyoeleweka yaani pua haikuziba. Matibabu niliyo tumia.ciproflaxin dozi, orodar,ampiclox dozi, metro dozi, brufen, limao, tangawizi,kitunguu sahumu, juice ya ukwaju, juice ya pera, peasi.
Baada ya kupata nafuu nikabaki na hii dalili chakushangaza leo wamekuja kunyonya choo jirani kila mtu analalamika harufu nawashangaa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha tu mkuu... Mdomo unakuwa kama umepigwa ganzi, kama kidonda ndugu hv.
Sometimes unaweza kumlaum mpishi wa chakula hajatia chumvi kumbe hapana,
Nimewahi kula chapati + maharage wiki 3 mfululizo asubuhi+mchana+usiku maharage yenye pilipili nyingi ndio nilipenda chakula cha namna hii.. sikuwa na hamu ya chakula tofauti na hiki karibu mwezi mzima.
 
Back
Top Bottom