AlP0L0
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 6,406
- 4,899
CCM anzeni maandalizi ya mtu CCM wanahitaji Kira za qana
Toka lini CCM wakategemea Kura za wananchi kushinda uchaguzi.CCM anzeni maandalizi ya mtu mwingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM anzeni maandalizi ya mtu CCM wanahitaji Kira za qana
Toka lini CCM wakategemea Kura za wananchi kushinda uchaguzi.CCM anzeni maandalizi ya mtu mwingine.
Wanamhujumu? Wanamhujumu yeye akiwa wapi? Anahujumiwa yeye AKILI za kujua anahujumiwa akiwa amezikodishia wapi? Anahujumiwa vipi ilhali ana Vyombo lukuki vya Dola vya kumkusanyia faarifa? Amewezaje kujua Magawio ya Mashirika ya Umma enzi za Magufuli yalikuwa yanakopwa Bank na ashindwe kujua kuwa anahujumiwa?
Tatizo letu Ni Unafiki. Alipoboronga Marehemu Magufuli hakuwa anahujumiwa ila huyu kila Failure anahujumiwa! Hivi Kwa nini hatutaki kuelewa kuwa Nchi hii kimahitaji na Changamoto zake haviwiani na uwezo wa Mama? Mungu sio mjinga kutuumba Kwa uwezo tofauti. Hata Malaika wanazidiana Uwezo. Mama HANA UWEZO WA KIAKILI wa kutosha kabisa kuongoza Nchi kama hii. Kama CCM wakiwa wakweli tu Kwa nafsi Zao na Kwa kuzingatia Mahitaji ya Watanzania basi hawatampa mama tena Nafasi. Mimi nkionana naye huo ukweli nitampa.
Acha hizo wewe. wengi waliingizwa mkenge na wanasiasa uchwara lakini badae walipogundua kwamba mzee anataka Tanzania ya Viwanda na wara hana shida na mtu walirudi wenyewe na kuanzisha biashara.
Mfano mzuri na Rostam Aziz.
Sio lazima afae kwa nchi hii.Huyu mama hafai tena kwa kweli
Hayo ni mawazo yako. Huyu mama hakuna anachokifanya yuko pale kulamba asali.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Hiyo haiondoi ukweli kuwa ndiye Rais wa JMT na Amiri Jeshi MkuuHuyu mama hafai
Mnajidanganya, kama kuanguka ingeanguka 2015!CCM , 2025 ndo mwisho, may be uchaguzi usifanyike, ukifanyika tutafia vituon , ya zambia yanakuja 2025, Iyo sijui piga kura nenda nyumbani hakuna, 2023 lazima pamoja na Mambo mengine kuanza utoaji elim hasa KWa vijana KILA mahali Tz nzima na kua na mkakati wa pamoja namna ya kulinda kura.
Hii ni sehem ambayo tumekua hatujiandai nayo, inakuja kutolewa wakati wa campeni tu.
So 2023, lazima kuwa na mtandao wa ulindaji wa kura anzia kitongoji mpaka mkoa, mpaka taifa, na lazima kuunda kikosi kazi KWa ajili ya kuratibu elim hii na mtandao mzima kabla ya uchaguzi
Inawezekana kura yangu moja inayoibiwa ndo inafanya maisha yangu ,na mwingine kuwa magumu Sasa KWa nini nisilinde kura yangu?
Imetosha sasa
Haya usimpe muda tuone sasa utamfanya nnUmpe wa nini? Kwani yuko Labour Room kusema tusubirie kama njia itafunguka? Hii ni Nchi na haya ni maisha ya watu. Unapokuwa unampa muda maisha nayo unayapq muda au unayasimamisha?
Mtasema yote mpk maji mtaita mma. But she's still there as a President of Tanzania whether you like it or notMama pumzi imekata, ilikuwa suala LA muda tu, tuna ombwe la uongozi nchii hii, yaani Hana la kujali, na haelewi afanye nini, eti alitaka kusoma PhD labda ndo hizo za kina msukuma , wewe bichwa zito halielewi Chochote Leo hii 1$ = 2355 Tanzania shillings, kila mahali Kuna shida just within one year, huyu ni Rais kweli?
Vipi alikuua halafu ukafufuka?Pamoja na mambo mengi ya kijamii ambayo hayajakaa sawa nitampigia kura huyu mama nadhani Kuna watu wanamhujumu.
Lakini ni Bora huyu kuliko kupata watu aina ya jiwe tuanze kuuwana na kuishi Kwa hofu
Nakwambia kwanza binafsi ni mpigaji wa kura mzuri , sijawahi poteza haki Iyo, ila kumbe nimekua bwege kupiga kura , then nakuanza kimbizana na Mambo mengine, this time uchaguzi ukifanyika wajibu wangu wa pili wa kulinda kura yangu nitautekeleza KWa wivu mkubwa , labda niwe nje ya nchiKelele nyiiiingi utadhani kweli utaingia field
Ngoja tuzibiti wizi wa kura, Kama ccm itafikisha kura mil nne, hamuwezi ,Mnajidanganya, kama kuanguka ingeanguka 2015!
Rais Samia angefanya vyema sana kama angeendelea na mfumo wa Magufuli ulioboreshwa.
Hata Uhuru Kenyata alimshauri hivyo.
Ila she chose to trust hooligans.
Marehem asimangwi wacha kila mtu avune kwa urefu wake white paper 2025 wakufa wakujizika itajukikana siku hiyo wengi hawato aminiKwa hali ilivyo huku mtaani.
Sioni namna anatoboa. Cha kushangaza hadi walioimba anaupiga mwingi, walioimba anaupiga hadi unamwagikia kwa sasa wako zii. Kitu kina mcost ni lack of consistence, kukosa msimamo.
Wengine wanaenda mbali hadi wanaingiza mambo ya jinsia kwenye uongozi. Alicho baki nacho ni ulinzi tu alio nao.
CCM anzeni maandalizi ya mtu mwingine.
Ni hayo tu.
Acha kuuliza maswali ambayo sio sehemu ya mjadala. Mjadala ni Umpendaye hana Uwezo wa kutisha wa kuongoza Nchi. Ameishia kubakia Kiwiliwili cha Kiongozi tu lakini Kiakili hakuna kitu. Mambo ya sina cha kumfanya sio sehemu ya mjadala. Tunamueleza ukweli ili ajipime na kuchukua maamuzi stahiki. Muda wake wa kuongoza kwa dezo ukiiisha aondoke.Haya usimpe muda tuone sasa utamfanya nn
Ahaah,kwaiyo wizi wa kura utadhibiti ukiwa Home au kwenye vituo vya kuhesabia 🤣Ngoja tuzibiti wizi wa kura, Kama ccm itafikisha kura mil nne, hamuwezi ,