hahahaaa hapo huwezi kumwambia kitu dj kama aliweza kuchukua makapi na kupisha kiti kigombewe urais bado hajajifunza hao ni watu wa system wankuja kumvuruga tena akae akijuwa kabisa halafu nyie mtaendelea kuimba mapambio ya kusifu ujinga anaofanya huyo mnaita mwamba maviHawa vijana waliondoka CHADEMA wenyewe kwa kununuliwa baada ya kushawishiwa , huku wengine wakihamia ccm baada ya vitisho, yeyote anayeogopa vitisho vya watawala hafai kwenye siasa za upinzani.,..
unanipinga kwenye nini ndani ya uzi huu ?Huwa nakuunga mambo mengi kwa hili hapana, kwenye siasa hakuna adui wala rafiki wa kudumu, Halima, Ester wapo wapi? na wanaweza kurudi
Mpuuzi wewe hujui siasahahahaaa hapo huwezi kumwambia kitu dj kama aliweza kuchukua makapi na kupisha kiti kigombewe urais bado hajajifunza hao ni watu wa system wankuja kumvuruga tena akae akijuwa kabisa halafu nyie mtaendelea kuimba mapambio ya kusifu ujinga anaofanya huyo mnaita mwamba mavi
Mbowe nae kaanza kumezwa na wanaharakati, yaani chama kimegeuka kuwa cha kiharakati harakati ya misimamo mikaliNashauri akutane na Mbowe nadhani atafunguka mambo mengi sn, pia Mbowe ni mtu mwenye hekima na busara sn
Kusema jamaa awe kama ng'ombe aliyekatwa mkia, atakuwa amejifunza kitu cha msingi ni kumpa muda na akutane na Mboweunanipinga kwenye nini ndani ya uzi huu ?
Kila chama na falsafa yakeMbowe nae kaanza kumezwa na wanaharakati, yaani chama kimegeuka kuwa cha kiharakati harakati ya misimamo mikali
nyie mnaoijuwa siuasa na kubaki wapinzani milele mna akili au mavi yamewajaa kichwani?Mpuuzi wewe hujui siasa
Ina mhusu dingi akonyie mnaoijuwa siuasa na kubaki wapinzani milele mna akili au mavi yamewajaa kichwani?
Sasa Elia anaweza kuvuruga kitu gani? Si mwanachama wa kawaida, alikuwa kiongozi wa wilaya sijui, sasa hao wakiondoka si una replace?hahahaaa hapo huwezi kumwambia kitu dj kama aliweza kuchukua makapi na kupisha kiti kigombewe urais bado hajajifunza hao ni watu wa system wankuja kumvuruga tena akae akijuwa kabisa halafu nyie mtaendelea kuimba mapambio ya kusifu ujinga anaofanya huyo mnaita mwamba mavi
Mkuu mimi natokea Kajunjumele KyelaMleta mada anatokea Konde, Tukuyu!
Mwanasiasa akiwa hana msimamo anapoteza ushawishiLakini atakuwa ameongeza kitu
Umepanikishwa na nini ?nyie mnaoijuwa siuasa na kubaki wapinzani milele mna akili au mavi yamewajaa kichwani?
Wanamfanyaje hao walugaluga?Huyu dawa yake ni Wanyantuzu tu.
Hawa vijana waliondoka CHADEMA wenyewe kwa kununuliwa baada ya kushawishiwa , huku wengine wakihamia ccm baada ya vitisho, yeyote anayeogopa vitisho vya watawala hafai kwenye siasa za upinzani.
Ninatambua msululu wa wasaliti wanaoomba kurejea CHADEMA, wakiwemo Wakuu wa Wilaya wawili ambao wako tayari kuachia vyeo na kurudi walikotoka (Haifamiki walichokisahau) , Bali naitahadharisha sana Chadema kuwa makini inapowapokea watu hawa , ni kweli kwamba mtaji wa chama cha siasa ni watu, Lakini ni lazima WATU HAO WAWE BINADAMU.
View attachment 2176348
Alienda kushika Pamba yao wakamwambia watampa rushwa akakubali kupanda gari lao wakamtupa nje ya gari iliyokuwa spidi ya 120Kph. kidogo afe.Wanamfanyaje hao walugaluga?
Hata akipewe uongozi sioni shida, mbona Friend Lowasa ni mbunge?
Safi sana. Kwahilo nimejivunia kuwa "Okiya" bagoshaAlienda kushika Pamba yao wakamwambia watampa rushwa akakubali kupanda gari lao wakamtupa nje ya gari iliyokuwa spidi ya 120Kph.
Asamehewe basi maisha yaendeKwa ccm ni sawa maana wanategemea mbeleko sio ushawishi mkuu.