My Sons Legacy
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 3,592
- 11,810
Yes. Kuna mambo mengi kweny DINI yaliyo pita, ya sasa na yale ya baadae yamekua very well linked na binadam kiasi kwamba mtu anashindwa kung'amua Ni nani huyo Powerful ?? Ni nani huyo supreme ? Nani huyo enormous ?? anae nizunguka inside and out.It will get worse...kwa mujibu wa maandiko haya ya vitabu vya dini!
Hii dhana inaitesa sana dunia, mpaka karne hii kuna wapumbavu wanamini Israel ni taifa Mungu!! [emoji848] ni uongo mkubwa sana.
Mungu gani mbaguzi? Je, Mungu anapenda wanavyoua raia wasio na hatia? Mungu anawachukia wapalestina?
Kama sio wazungu Israel isingekuepo leo hii. Hata Misri tu inatosha kuipiga, ila kwa msaada wa Marekani Uingereza na nchi nyingine ndio mana wanaoea majirani zao. Huyo Mungu wa Israel labda atakuwa mzungu.
Dhana hii inatilia shaka kama kuna Mungu ndio maana watu wengi wanaona haiwezekani kuwe na Mungu anaegemea upande mmoja.
Kwa hakika Mungu hana ubaguzi.
Matendo 10:34
Hii dhana inaitesa sana dunia, mpaka karne hii kuna wapumbavu wanamini Israel ni taifa Mungu!! [emoji848] ni uongo mkubwa sana.
Mungu gani mbaguzi? Je, Mungu anapenda wanavyoua raia wasio na hatia? Mungu anawachukia wapalestina?
Kama sio wazungu Israel isingekuepo leo hii. Hata Misri tu inatosha kuipiga, ila kwa msaada wa Marekani Uingereza na nchi nyingine ndio mana wanaoea majirani zao. Huyo Mungu wa Israel labda atakuwa mzungu.
Dhana hii inatilia shaka kama kuna Mungu ndio maana watu wengi wanaona haiwezekani kuwe na Mungu anaegemea upande mmoja.
Kwa hakika Mungu hana ubaguzi.
Matendo 10:34
Naunga mkono hoja 👍👏Hii dhana inaitesa sana dunia, mpaka karne hii kuna wapumbavu wanamini Israel ni taifa Mungu!! 🤔 ni uongo mkubwa sana.
Mungu gani mbaguzi? Je, Mungu anapenda wanavyoua raia wasio na hatia? Mungu anawachukia wapalestina?
Kama sio wazungu Israel isingekuepo leo hii. Hata Misri tu inatosha kuipiga, ila kwa msaada wa Marekani Uingereza na nchi nyingine ndio mana wanaoea majirani zao. Huyo Mungu wa Israel labda atakuwa mzungu.
Dhana hii inatilia shaka kama kuna Mungu ndio maana watu wengi wanaona haiwezekani kuwe na Mungu anaegemea upande mmoja.
Kwa hakika Mungu hana ubaguzi.
Matendo 10:34
Yes. Kuna mambo mengi kweny DINI yaliyo pita, ya sasa na yale ya baadae yamekua very well linked na binadam kiasi kwamba mtu anashindwa kung'amua Ni nani huyo Powerful ?? Ni nani huyo supreme ? Nani huyo enormous ?? anae nizunguka inside and out.
So yamekua well linked na nani ?
ila kwa msaada wa Marekani Uingereza na nchi nyingine ndio mana wanaoea majirani zao.
Huyo ni Israel mtu si taifaKwa kukusaidia soma Kutoka 4:
22, Nawe umwambie Farao, Bwana asema hivi, Israeli ni mwanangu mimi, mzaliwa wa kwanza wangu;
23, nami nimekuambia, Mpe mwanangu ruhusa aende, ili apate kunitumikia, nawe umekataa kumpa ruhusa aende; angalia basi, mimi nitamwua mwanao, mzaliwa wa kwanza wako.
Historia unaijua vizuriKwa watu waliosoma historia chuo kikuu nadhani wanamjua mtaalamu wa historia anaitwa sheikh anta diop aliprove kwenye mkutano mkubwa wa kitamaduni na historia wa UNESCO miaka 1960 kuwa wayahudi na wamisri wa kale walikuwa weusi aliprove kisayansi na watu walimwelewa vizur..
Ukweli huu hauwazuii kuamini kwamba kuna Mungu,Hii dhana inaitesa sana dunia, mpaka karne hii kuna wapumbavu wanamini Israel ni taifa Mungu!! 🤔 ni uongo mkubwa sana.
Mungu gani mbaguzi? Je, Mungu anapenda wanavyoua raia wasio na hatia? Mungu anawachukia wapalestina?
Kama sio wazungu Israel isingekuepo leo hii. Hata Misri tu inatosha kuipiga, ila kwa msaada wa Marekani Uingereza na nchi nyingine ndio mana wanaoea majirani zao. Huyo Mungu wa Israel labda atakuwa mzungu.
Dhana hii inatilia shaka kama kuna Mungu ndio maana watu wengi wanaona haiwezekani kuwe na Mungu anaegemea upande mmoja.
Kwa hakika Mungu hana ubaguzi.
Matendo 10:34
Na ww utajiona umeandika vitu vya maana sio,kwa hiyo akiokoka waisraeli hawatawapiga wapalestina?Okoka na Mpokee Yesu Kristo aliye Mwisrael OG, Ili uwe Raia wa Mbinguni.
Yeye ndiye AMANI, mfalme wa HAKI, BWANA wa mabwana, Ufalme wake Hauna mwisho,
Ni wa Milele na milele.
Ukimkataa Yesu, vita IPO malangoni.
Amen
Wakiokoka hamas wataacha ugaidi, pia Israel wakiokoka hakuna vita.Na ww utajiona umeandika vitu vya maana sio,kwa hiyo akiokoka waisraeli hawatawapiga wapalestina?
Na alimuua kweli mwanaye wa kwanza mpaka wa watumwa wake na wanyama pia.Kwa kukusaidia soma Kutoka 4:
22, Nawe umwambie Farao, Bwana asema hivi, Israeli ni mwanangu mimi, mzaliwa wa kwanza wangu;
23, nami nimekuambia, Mpe mwanangu ruhusa aende, ili apate kunitumikia, nawe umekataa kumpa ruhusa aende; angalia basi, mimi nitamwua mwanao, mzaliwa wa kwanza wako.
Ukipata jibu nishitue naenda kupumzika kidogoKwani Palestina ni taifa la nani?
Nonsense, rudi Sunday school kajifunze upya kuliko kufanya quotation ya maandiko hata usiyoyajua maana yake.Hii dhana inaitesa sana dunia, mpaka karne hii kuna wapumbavu wanamini Israel ni taifa Mungu!! 🤔 ni uongo mkubwa sana.
Mungu gani mbaguzi? Je, Mungu anapenda wanavyoua raia wasio na hatia? Mungu anawachukia wapalestina?
Kama sio wazungu Israel isingekuepo leo hii. Hata Misri tu inatosha kuipiga, ila kwa msaada wa Marekani Uingereza na nchi nyingine ndio mana wanaoea majirani zao. Huyo Mungu wa Israel labda atakuwa mzungu.
Dhana hii inatilia shaka kama kuna Mungu ndio maana watu wengi wanaona haiwezekani kuwe na Mungu anaegemea upande mmoja.
Kwa hakika Mungu hana ubaguzi.
Matendo 10:34