Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Kwahiyo walitaka kukuua presha[emoji2][emoji2] unaweza kufa kabisa Kwa depression hafu ukija makazini unaona chuoni ulikuwa una soma ujinga. Nawashauri watu wasi rely kwenye haya madesa yetu wawe wanaingia online au YouTube kusoma classes ya mambo Yao ili wawe deep, hii ya udsm watakupa stress na kitu ambacho relevance yake kazini ni ndogo mno
... duh; pole sana hadi kuwaza hivyo seems waliku-harass sana! Hilo li-supervisor litaje vyombo husika vilifungulie kesi ya ku-harass jinsia. Mbaya sana.Staki kukumbuka jinsi shule ya udsm ilivonitesa na hyo research walimu wamekumbatia ujinga nusu nijiue hafu kuja kazini aisee research ya huko rahisi waweza enda hata wilaya within short time na report ikakamilika. Udsm wabadilike waache ushenzi
Sure..Dear usicheke udsm ni washenzi hawajali time management unasoma masters yako Hadi unapata depression unavohangaika kusafiri kutoka mkoani na kulia Lia ndio furaha zao. Huku extension fee kubwa, shoga angu Hadi nusu mimba imuue kisa stress.
So udsm sio swala la akili Kuna tatizo la wahadhiri kukaa na kazi yako hata miezi minne no one cares
Wengi hawajui hicho mtu postgraduate anajua anachokifanya kabisa na wengi hukesha library tatizo ni wahadhiri. Sasa mtu anakaa na kazi miezi miwili akurudishie Tena ufanye kukurudishia Tena mwezi mda unakuwa unaenda tu wao hawajali Wala Nini, na ukiwa mkoani ukituma softcopy wasaishe online wahadhiri wengine hawajui wanataka kazi ya paper tu. In short pale swala sio ukilaza ni jinsi ya udsm ikificha research wahadhiri hawana mda wanafunzi wanakuwa ka yatima. Nenda pale uone watu wanavolia Tena watu wazima wenye familia zao na chuo hawana mda.Sure..
Naona wengi wanambeza jamaa kwamba ni kilaza.
Mimi ndugu yangu undergraduate amesoma hapohapo.
Na postgraduate pia,,ila hiyo postgraduate hadi ameipata ni amesoma[emoji1787],almost 4 yrs.
Unampelekea kazi supervisor mara hayupo,mara amesafiri,yaani excuses kibao.
Na mtu anasoma hapo ana familia,,,unazidi mpotezea Muda.
Yani we acha tu watanzania tunapenda kutesana sana badala ya kusaidiana... duh; pole sana hadi kuwaza hivyo seems waliku-harass sana! Hilo li-supervisor litaje vyombo husika vilifungulie kesi ya ku-harass jinsia. Mbaya sana.
... na huo ujingaa upo zaidi kwa supervisors wa kiume; ukimpata profesa jinsia ya kike at least wana nafuu.Yani we acha tu watanzania tunapenda kutesana sana badala ya kusaidiana
Nilichoka kweli yani hafu saa nyingine ilisharekebishwa yule mtu hasemi anakurudishia tu haijaguswa ili usumbuke.Kwahiyo walitaka kukuua presha
Ukataka hadi ujiue[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lakini hizi complications ni vyuo vyote vya Tanzania..
Hasa vya serikali..
Wanaona raha kumkomoa mwanafunzi.
Mbna naogopaa, maana nataka kuunga moja kwa mojaKule hakufai na ni complicator mno hawatoi urahisi Kwa wanafunzi. Uzuri walitutafta tutoe maoni waboreshe Nini kwenye mitaala ya vyuo vikuu.
Hafu pia naona ukifanya na wAzungu Raha ni waelewa hata ka hujui wanakusaidia Hawa ma Dr na prof wanakuzalilisha tu Yani ni kero
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie mnanitishaa mbna nataka kuunga moja kwa moja, uwiiiiihNilichoka kweli yani hafu saa nyingine ilisharekebishwa yule mtu hasemi anakurudishia tu haijaguswa ili usumbuke.
Watanzania tupunguze kutesana tuwe problem solver if you can help someone please rahisisheni maisha.
Hafu ma classmate wangu niliwaacha wanateseka mpaka Leo wake zao kulia tu. Huyo mmoja alitakiwa aongeze elimu apande cheo mpaka Leo hola Huwa anajipigia zake bia [emoji2][emoji2][emoji2]
Sasa shule gani ya kifala hivi kama unatafuta ufalme wa mbinguni, kumbe li cheti la hapo jalalani.Mimi nipo mbioni kuanza hapohapo..
Ila hili la usumbufu ni kweli.
Dada yangu amesoma hapo postgraduate,alikiona cha moto..
Na hapo angalau yeye alikuwa na afadhali, Supervisor wake alikuwa na ubinadamu yule Baba.
Wenzie waliosimamiwa na wengine ni miaka minne wamesota sana hadi kumaliza🙌,wengine wakaamua kuacha.
Shida pale kazi yako ikienda Kwa internal wa kiume in short wameweka usumbufu usio na tija. Taasisi ikiona mambo hayaendi why msiite mwanafunzi aeleze changamoto na ni wapi afanye amalize.... na huo ujingaa upo zaidi kwa supervisors wa kiume; ukimpata profesa jinsia ya kike at least wana nafuu.
Unga tu best yangu sikuhizi wameanza system ya kufatilia wahadhiri so inaweza isisumbue.Mbna naogopaa, maana nataka kuunga moja kwa moja
Unga dear Kila mtu na experience yake pale[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie mnanitishaa mbna nataka kuunga moja kwa moja, uwiiiiih
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Dunia ya Leo imejaa Statistical analysis tools/software Ila mtu kutwa kakomaza fuvu kuelezea historia ya Standard Deviation by Kothari (2004).
NB Postgraduate office wao wanajua kugawa majoho tu.
Bora iwe hivyoo,Unga tu best yangu sikuhizi wameanza system ya kufatilia wahadhiri so inaweza isisumbue.
Mie nilivyo nikiona manjegeka ntaanza ku surrender, khaaaahUnga dear Kila mtu na experience yake pale
Anza tu usiogope Wala Nini utatoboa ila waliotoka vyuo vingine huteseka kuanzia assignments si mchezo,mwaka mmoja wa course work ni sawa na miaka 3 ya undergraduate. Assignment zote ni wewe na desa nilikuwaga silali.Mimi nipo mbioni kuanza hapohapo..
Ila hili la usumbufu ni kweli.
Dada yangu amesoma hapo postgraduate,alikiona cha moto..
Na hapo angalau yeye alikuwa na afadhali, Supervisor wake alikuwa na ubinadamu yule Baba.
Wenzie waliosimamiwa na wengine ni miaka minne wamesota sana hadi kumaliza[emoji119],wengine wakaamua kuacha.
Una komaa kibishi bishi hivo hivoMie nilivyo nikiona manjegeka ntaanza ku surrender, khaaaah