Kusoma Postgraduate (Master/PhD) UDSM majanga

Kusoma Postgraduate (Master/PhD) UDSM majanga

Taasisi za elimu za Tanzania katika uendeshaji wake wa kitaaluma huwa zinaamini katika kumbana mwanafunzi na kumdhibiti asionyeshe uwezo wake personally ambao anao katika hiyo principle anayosomea.

Mfano uongeze findings zako utashangaa mwalimu anakuwekea bifu kwamba unajifanya unajua sana.

Matokeo yake tunauwa ile dhamira ya vijana kujifunza na kubakia kuwa watwana na maketeka wa mfumo ambao hata wakimaliza 90% ya contents ni inapplicable kwenye market.

Hebu leo tafuta wahitimu wa degree wa vyuo tofuti wakuonyeshe wanachoweza fanya ambacho wamejifunzia chuoni utagundua wengi wao wanaishi kwa kanuni za mtaa na wana apply kidogo sana vile darasani.
we umeshashidwa mambo ya elimu bora ukae kimya.
 
Umeeleza ukweli mtupu. Niliwahi kupata nafasi ya kuongea na maafisa wa TCU nikawaambie kwasasa Elimu ya Tanzania inaharibiwa na nyie wasimamizi ya Elimu ya juu.

Taasisi za Elimu ya juu hasa za serikali mnaziogopa hamna sauti ya kusimamia .Elimu imekuwa ya kukaririshana tu. Vyuo vya binafsi kama KIUT na ST JOSEPH vimejaza wageni .Idara ya ANATOMY KIUT ina wahadhiri 7 kati ya hao 6 ni kutoka nchi za nje.,
Kuna ubaya gani kuwa na wahadhiri kutoka nje kama wamefuata taratibu? Unajua kwanini elimu ya chuo kikuu ni university based? Na ndio maana vyuo vikaitwa universities? Nahisi tatizo lako ni lack of exposure.
 
Wacha kabisa nilipataga tatizo Hadi la ku........ Tu kisa hyo mambo full kulia ofisini hata hawajali, Tena wanakwambia kwanini umalize shule umri huu sisi tumesota kweli hamna shida ukichelewa [emoji2][emoji2][emoji2]Dunia Ina mashetani nyie hii ingawa iliumbwa nzuri
[emoji1787]
 
Nimeanzia palepale na GPA yangu nzuri tu na vingi nilianzia palepale, so swala sio ukilaza ni mitala tu ukiritimba Mimi Dr wangu wa undergraduate alisoma master's miaka 4 na Leo kashakuwa prof so Huwa Kuna kiukiritimba waliomkomoa kashawaacha mbali na ana project nyingi. Roho nzuri ilimsaidia yule baba aisee
Ndio namwambia Coca asiwasikilize wanaombeza mtoa mada
Maana hata wewe unayetoa malalamiko ni zao la hapohapo tangu 1st degree.
 
Nyie WaTz acheni upumbav, level ya Masters sio ya kusoma ni kuinjoi exposure tu, ni kama kwenda live band kuinjoi mziki na kunywa bia kwa mbali ukitazama mishangaz ikicheza mziki... Lengo la kusoma Master ni kupata Managerial Exposure sio vinginevyo... Ni upumbav wenu tu wakuchukulia shule/elimu serious ili mkaringishie wenzenu kijijini kwenu...
 
Kuna jamaa yangu huwa anasema anapenda awe anavaa magwanda ya kijeshi ila asichotaka ni kupitia training ya jeshi. Watu wengi wanataka vyeti toka UDSM ila kupita kwenye lile tanuru la moto wa UDSM hawataki. UDSM wakisikiliza upuuzi wa vilaza watashusha thamani yao. Hakuna mtanzania asiyetaka atunukiwe cheti toka UDSM. Kama unataka degree ya UDSM inabidi upambane.
💯
 
S

e hakuna kitu nilichukia kama ufundishaji wa statistics pale Mlimani. Ni kama ulivyosema lecture anakomalia historia ya statistics na nadharia nyingi na kufanya statistics kuonekana ngumu mno.

Hakuna matumizi ya modern statistics softwares tena nashangaa kama bado watu hawafundishwi softwares kama R, Matlab, SPSS, nk! Ufundishaji wa hovyo sana huo na haunsaidii mwanafunzi.
Practical application kibongobongo ni majanga. Ni mwendo wa theories na kukariri. Masuala ya applicability utajua mwenyewe.
 
Usijichanganye kusoma Masters au PhD UDSM utajuta hizo course za Research sijui Methodology walimu wanabahatisha.

Dunia ya Leo imejaa Statistical analysis tools/software Ila mtu kutwa kakomaza fuvu kuelezea historia ya Standard Deviation by Kothari (2004).

NB Postgraduate office wao wanajua kugawa majoho tu.
😁Mimi nilikimbia kwa kweli, UDSM Wanamqkusudi sana
 
MSIJIFANYE HAMJAONA COMMENT YA JAMAA PALE MWANZONI MWANZONI ANAULIZA KWA MSHANGAO SANA KWAMBA BADO KUNA AMBAO MNAENDELEAGA TU KUPIGA MSULI HADI MASTERS [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hii ni ndogo yangu KUPIGA mpk masters
 
[emoji2][emoji2] unaweza kufa kabisa Kwa depression hafu ukija makazini unaona chuoni ulikuwa una soma ujinga. Nawashauri watu wasi rely kwenye haya madesa yetu wawe wanaingia online au YouTube kusoma classes ya mambo Yao ili wawe deep, hii ya udsm watakupa stress na kitu ambacho relevance yake kazini ni ndogo mno
Kama hufanyi kazi za kitafiti au kufundisha vyuo vikuu hakuna haja ya kusoma zaidi ya ngazi ya shahada (degree). Elimu ya shahada ni kubwa sana zaidi ya hapo ni kupoteza muda.
 
Umefanya utafiti Gani kujua kuwa Uingereza Kuna vyuo vitatu tu vigumu? Unalinganisha Uingereza na Kenya au? Unajua Uingereza Kuna vyuo vikuu vingapi? Kule hakuna chuo Cha level ya yuudom Wala tumaini(ivi hiki chuo mbn Kiko kimya sana siku izi?)
Hivyo ndio vyuo pekee Uingereza ambavyo huwezi kusoma Ph.D bila kusoma miaka miwili ya utafiti kwanza na lazima ufaulu ndipo uruhusiwe kufanya miaka yako mingine mitatu mpaka minne sasa ya ku-clear shule nzima. Kwa wastani utasoma miaka 5/6. Vyuo vilivyosalia vyote unaingia moja kwa moja ndani ya miaka 3/4 utakuwa umemaliza.

Vyuo kama Cambridge, Oxford na LSE kwa Uingereza wanafunzi wao wa Ph.D huanza kupata kazi mwaka mmoja kabla hata ya kumaliza shule. Mara nyingi mpaka mtu ame-clear shule pale tayari anakuwa ameishachapisha si chini ya paper 3 ktk international journals (Bongo mtu mwenye hii quality ni senior lecturer). Hivi vyuo vitatu Uingereza vinafanana kabisa na ivy league universities (Harvard, Stanford, Brown) vya marekani ktk utoaji wao wa elimu.
 
Kimsingi vyuo vingi vipo hivyo, kulingana na mazingira ya kufundishia na sababu zingine. Ila elimu ya chuo inategemea sana juhudi binafsi za mwanafunzi kufahamu dunia ya sasa inahitaji nini na unapataje kinachohitajika.
 
Usijichanganye kusoma Masters au PhD UDSM utajuta hizo course za Research sijui Methodology walimu wanabahatisha.

Dunia ya Leo imejaa Statistical analysis tools/software Ila mtu kutwa kakomaza fuvu kuelezea historia ya Standard Deviation by Kothari (2004).

NB Postgraduate office wao wanajua kugawa majoho tu.
cariha njoo utoe shuhuda hapa mamito
 
Back
Top Bottom