Olly Bless
Member
- May 23, 2023
- 63
- 77
Nakubaliana na wewe kabisa.Ukiona mtu anataja elimu yake, ujue ana inferiority complex. Huyo kusema ana kadegrii kamoja anaji console. Hata huyu Ramon Sanchez naona hana shule ni wale wale. Shule ndiyo mpango mzima!
Hujachelewa hata mbuyu ulianza kama mchicha. PhD ndiyo mpango mzimaMimi nina certificate ya procurement
Za darasani pia ni za kuzaliwaKuna akili za darasani na akili za kuzaliwa( kipawa cha akili
Mnalipwa sh'ngapi?[emoji1787]Samia hata form 4 alizingua lakini amewashinda wote kwenye Uongozi
Watu wafupi hupenda kujiconsole ati urefu kitu gani! (Mimi ni mfupi pia ukumbuke). Msukuma ati darasa la saba! Imagine mtu kwa vile alikuwa kilaza ame fluke tu katika maisha, anaona usomi hauna maana. Ukimchunguza sana unaona mapungufu ya kiusomi yapo.Nakubaliana na wewe kabisa.
za kupeana ni za akina nani, zinapatikana wapiUna uhakika na unachosema ....achana na masters za kupeana.Tunaongelea masters ya kukaa course work mwaka darasani na baada ya hapo unafanya disertation, unapresent proposal unakutana na pannel inakurudisha mara mbili au tatu kabla ya kuruhusiwa data collection. Unapoenda kupresent finding bado unarudishwa si chini ya mara mbili.Badala la kumalizia miaka miwili unafanya masters miaka mitatu.......huwezi kubaki vilevile ndugu.
Confidence sio uhalisia, ni confidence tu ila uhalisia unabaki palepale kwamba huna loloteNi kweli kabisa....unavyozidi kuongeza elimu confidence inaongezeka sana.
Sawa bossHujachelewa hata mbuyu ulianza kama mchicha. PhD ndiyo mpango mzima
Yupo upande wa bi mchele wwc unataka kutia kitumbua cha watu majiKabla sijasema kitu. Mchechu Yuko upande gani katika suala la DP W.
Hapa ndio tunamjua MTU aliyejiondoa ufahamu na mzalendo halisi Kama Mwabukusu na Dr Slaa.
umeuapproach huu uzi tayari ukiwa na jusyifications zako tayari, na ndio maana umekuwa negative moja kwa moja ilhali ukiiangalia haikuwa na lengo la kumtofautisha na wengine, bali kuwa mfano wa wengi kama yeye ambao kwa sasa bado hawaaminiwi au wanasita kuaminiwa kutokana na kiwango chao cha elimuSijui kwanini watu wana vita kubwa sana na watu walioenda shule kusoma wakatapata vyeti
Sijui kwanini vita ni kubwa hivi
Ukiangalia waliosoma hawanaga tatizo na mtu
Probability ya kupata mtu kama Mchechu ni 1 on every 60mil people of this country.
Tatizo mnachukulia exception mnataka kuifanya ndio rule,what a bunch of dummies!
Una watu milioni 60,unataka madaktari wa kupasua watu,unataka mafundi wa engines,mabarabara,maofisa wa kusaidia jamii,marubani,etc halafu utegemee usisomeshe hao watu eti utegemee watu wote wawe na bongo kama ya Mchechu wafanye tu operation wanadamu wenzio sababu eti wana "akili za kuzaliwa"?
Upumbavu ulioje!
Mchechu ni 1% ya watu milioni 60,huwezi tegemea wanadamu milioni 60 wawe kama Mchechu,ndio maana ni lazima wasomeshwe walao wasaidie jamii kiasi watakachoweza
Mchechu this Mchechu that,he is a genius then what?That does not make the rest of 60mil Tanzanians are dumb!
Hivi MO si ana masters kasoma US?Kwa aina ya elimu ya Tanzania hata certificate(miezi 9) inatosha kabisa kuongoza idara/taasisi na hata nchi, ni elimu ya kijinga sn kukaririshana tu wala hakuna ujuzi wowote, masters na PhDs za Tanzania hazina lolote, zaidi ya sifa za kijinga mtaani, MO, GSM, Hersi, Rostam wote wana bachelors lakini wanafanya vizuri sn kwenye biashara zao mpk Ramaphosa kaamua MO awe mshauri wake wa uchumi.
Na tena unapewa mikataba mizito mizito yenye maslahi mapana ya nchi uijadili on short notice 😂Ila kua Mbunge ni ujue kusoma na kuandika tu hata km umeishia darasa la Pili au sio?
Ilianza Akili ikaja elimu.
Mwenye Akili ndiye aliyeleta viwango vya digree
Unaweza ukawa na elimu lkn husiwe na Akili
🤣🤣mchechu acha siasa,Rudi tu shule
Hakuna wa kukukamata
Jamaa Wana hasira na wivu
Manake wanaona umewazid mengi hata ungesema ubak ufundishe wasingekufikia🤣ll
MO ana masters ya business administrationKwa aina ya elimu ya Tanzania hata certificate(miezi 9) inatosha kabisa kuongoza idara/taasisi na hata nchi, ni elimu ya kijinga sn kukaririshana tu wala hakuna ujuzi wowote, masters na PhDs za Tanzania hazina lolote, zaidi ya sifa za kijinga mtaani, MO, GSM, Hersi, Rostam wote wana bachelors lakini wanafanya vizuri sn kwenye biashara zao mpk Ramaphosa kaamua MO awe mshauri wake wa uchumi.
Yoyote mwenye elimu ni msomi, ila kigezo cha elimu hiyo aliyonayo/aliyoipata inaleta manufaa gani kwa kada yake au eneo lake la ubobezi, jamii inayomzunguka na nchi kwa ujumla hapo ndio huwa panazua mjadalaMsomi ni mtu wa namna gani kwanza?
Na Kimisionari!Kanisa Moja Takatifu La Mitume