amadala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,265
- 12,268
Mada na kichwa Cha mada vinapingana maana hata usiposomesha lazima wataenda kutafuta maisha sehemu nyingine na kuwaacha wazazi.
KITENDO Cha watoto kutoka bomani ni ishara ya mafanikio haijalishi nini anapitia.
Kwa mazingira yetu ya kitanzania watoto walioshindwa maisha ndo hubaki bomani na wengine Huwa mwiba kwa wazazi.
Nimependa hiyo paragraph ya mwisho wenzetu wanaoishi na watoto, wakwe na wajukuu kweli inapunguza upweke wakati wa uzee.
KITENDO Cha watoto kutoka bomani ni ishara ya mafanikio haijalishi nini anapitia.
Kwa mazingira yetu ya kitanzania watoto walioshindwa maisha ndo hubaki bomani na wengine Huwa mwiba kwa wazazi.
Nimependa hiyo paragraph ya mwisho wenzetu wanaoishi na watoto, wakwe na wajukuu kweli inapunguza upweke wakati wa uzee.