Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Mzazi hatakiwi kuomba, yani inatakiwa aweze kumlea mtoto wake vizuri kiasi huyo mtoto aweze kumsaidia mzazi kabla mzazi hajaomba.Ni kweli tuwasaidie wazazi wetu....lakini wanaomba kwa kutumia nguvu kama vile kuna kitu alikuwekesha....
Ukishaona mzazi anaomba ujue kakosea sehemu fulani kubwa mbili.
1. Kwanza kakosea hajajipanga kujitosheleza yeye mwenyewe.
2. Pili kakosea hajajipanga kuwa karibu na mtoto na kumuwezesha mtoto kusaidia kabla hajaombwa.