Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazo zuri sanaSomesha ila zaa katika interval fulani itakayokufanya muishi na katoto kenu ka mwisho muda mrefu mpaka kufikia kaoe mnakuwa mmeshafariki
Mzazi gani mwenye uwezo analelewa wanae na babu/bibi sikuhizi?Chukua mjukuu wa kwanza toka katika kila uzao wako.
Tuseme umebahatika watoto watatu
Kati ya hao wawili wamefanikiwa kuzaa
Chukua wajukuu uishi nao, niamini Mimi hautokuwa mpweke.
Watakuudhi ila hautobaki peke yako,
Hii ni dawa ambayo itafaa sana kwenye mazingira yetu ya kiafrika.
I can feel the loneliness of my parents tooUnaiandika kama mtu ambaye hajasoma au ambaye hujapata exposure yoyote kuna umri unafika pesa c chochote zaidi ya watu nyumbani tulikuwa 17 kipindi nakuwa, nyumba ilikuwa na vyumba 9 Leo hii kabaki Bibi na dada yake na mfanyakazi na mtoto WA mjomba ana kila kitu pesa gari mashamba analimisha na anapata mazao kibao Tu Ila kila siku anataka wajukuu wake akakkae nawo Ila ndyo ivyoo ata ujipange VIP kuna umri utafika utaitaji watu wa Kula nawo meza, kucheka nawo, na kujifariji hasa pale unapoumwa ndyo maana wahindi au waarabu wengi wanakaa kama familia wengi tunaona kama ushamba Ila lile ni Jambo jema sana kwenye kutunza wazee wenu
Hujamuelwa mtoa mada. Yeye amezungumzia upweke siyo utegemezi kwa watoto.Kuhitaji mtoto akufariji ni kukosa kujipanga vizuri katika maisha.
Umeshindwa kujiwekea akiba ya uzeeni? umeshindwa kujipanga kupata mwenza wa kuwa naye uzeeni?
Unazaa mtoto, unamsomesha, anakua mkubwa, na yeye inakuwa zamu yake ya kuzaa na kusomesha akipenda. Mwache naye aishi maisha yake, akiamua kusaidia wazazi sawa, akiamua kuwa busy na maisha yake sawa.
Wewe baba au mama unayehitaji sana mtoto wako aache ku focus kwenye familia anayoianzisha, halafu a focus sana kwako wewe mzazi, ni mbinafsi na umeshindwa kujipanga na maisha yako mwenyewe ya uzeeni.
Nimeona hii tabia ya wazazi kuwatumia watoto wao kama mbadala wa mfumo wa mafao ya uzeeni, au wazazi kudai matunzo uzeeni kwa sababi waliwalea watoto wakiwa wadogo. Huu ni ubinafsi wa hali ya juu.
Ukiwa mpweke, ukategemea watoto wakutoe upweke, hujaweka utegemezi kwa watoto hapo?Hujamuelwa mtoa mada. Yeye amezungumzia upweke siyo utegemezi kwa watoto.
Ni kweli, watoto ni baraka na zawadi kubwa ya Mungu kwa wanandoa. Lakini watoto hawa hawa wakikengeuka, wanageuka kuwa "hazard".Kwani watoto si ni baraka?[emoji1787]au imekuaje tena?
Weka wapangaji wamliwazeI can feel the loneliness of my parents too
4 bedrm
3 rms zimebaki hakuna mkaaji
Wewe umelenga sana kwenye hitaji la kiuchumi kitu ambacho si sawa sana...Kuhitaji mtoto akufariji ni kukosa kujipanga vizuri katika maisha.
Umeshindwa kujiwekea akiba ya uzeeni? umeshindwa kujipanga kupata mwenza wa kuwa naye uzeeni?
Unazaa mtoto, unamsomesha, anakua mkubwa, na yeye inakuwa zamu yake ya kuzaa na kusomesha akipenda. Mwache naye aishi maisha yake, akiamua kusaidia wazazi sawa, akiamua kuwa busy na maisha yake sawa.
Wewe baba au mama unayehitaji sana mtoto wako aache ku focus kwenye familia anayoianzisha, halafu a focus sana kwako wewe mzazi, ni mbinafsi na umeshindwa kujipanga na maisha yako mwenyewe ya uzeeni.
Nimeona hii tabia ya wazazi kuwatumia watoto wao kama mbadala wa mfumo wa mafao ya uzeeni, au wazazi kudai matunzo uzeeni kwa sababi waliwalea watoto wakiwa wadogo. Huu ni ubinafsi wa hali ya juu.
Yap waliwapeleka watt day care watt nao wanakuwa wanawapeleka wazazi elderly centers 🙂Tena nyinyi wazazi wa kizazi hiki ambao watoto wenu mnawapeleka wakakulie kwenye vituo vya Day Care kisa nyie mpo busy kutafuta pesa ndio mjipange kisawasawa. Msipojipanga vizuri na wao lazima wawapeleke kwenye elderly centers.
Hatari sana 🤣,Mungu ajalieNi kweli, watoto ni baraka na zawadi kubwa ya Mungu kwa wanandoa. Lakini watoto hawa hawa wakikengeuka, wanageuka kuwa "hazard".
Wajukuu hawapelekwi kwa bibi/babu siku hiziWajukuu si wapo watamfariji mkuu
Kuchelewa kuzaa kuna faida pia, ingawa kwa wanawake ni vigumu kuchelewaWazo zuri sana
Kuna my frnd 51 yrs bado kazaa
Means hadi 75 yrs(51+24) binti anaweza kuwa bado nyumbani anachangamsha mji😅
Na bado yaelekea anataka amalizie akiwa 55😅😅
Kuletewa wajukuu ni mtihani piaKwamba nisisomeshe kuepuka upweke🤔..hapana!..nitaomba hata wajukuu niishi nao na Kama haitoshi nitaomba hata watoto wa ndugu niishi nao pia.
Inaitwa kutesa kwa zamuYap waliwapeleka watt day care watt nao wanakuwa wanawapeleka wazazi elderly centers 🙂
Asisike mtu akipiga kelele 🙂Inaitwa kutesa kwa zamu
Omba ufike 90, mtoto atakuwa 20, poa kabisa.Mfano una miaka 70, watoto wa nje watakuja kuishi na wewe?