Kusomesha watoto sana, ni njia ya kujiongezea upweke huko uzeeni

Mzazi gani mwenye uwezo analelewa wanae na babu/bibi sikuhizi?
 
I can feel the loneliness of my parents too
4 bedrm
3 rms zimebaki hakuna mkaaji
 
Hujamuelwa mtoa mada. Yeye amezungumzia upweke siyo utegemezi kwa watoto.
 
Hujamuelwa mtoa mada. Yeye amezungumzia upweke siyo utegemezi kwa watoto.
Ukiwa mpweke, ukategemea watoto wakutoe upweke, hujaweka utegemezi kwa watoto hapo?

Kwani utegemezi kwa watoto ni lazima uwe wa kiuchumi?

Endelea kusoma posts zangu nimeandika sana kuhusu upweke katika dunia hii yenye megi ulivyo aina moja ya uzembe.
 
Kwamba nisisomeshe kuepuka upweke🤔..hapana!..nitaomba hata wajukuu niishi nao na Kama haitoshi nitaomba hata watoto wa ndugu niishi nao pia.
 
Wewe umelenga sana kwenye hitaji la kiuchumi kitu ambacho si sawa sana...
Nafikiri hiki kitu ni mzunguko tu wa maisha..lkn jamii nyingi ambazo ni za kijasiliamali wameweza sana kupunguza hili tatizo...Wahindi,Waarabu etc wanaishi nyumba moja wengi forever
 
Tena nyinyi wazazi wa kizazi hiki ambao watoto wenu mnawapeleka wakakulie kwenye vituo vya Day Care kisa nyie mpo busy kutafuta pesa ndio mjipange kisawasawa. Msipojipanga vizuri na wao lazima wawapeleke kwenye elderly centers.
Yap waliwapeleka watt day care watt nao wanakuwa wanawapeleka wazazi elderly centers 🙂
 
Wazo zuri sana
Kuna my frnd 51 yrs bado kazaa
Means hadi 75 yrs(51+24) binti anaweza kuwa bado nyumbani anachangamsha mji😅

Na bado yaelekea anataka amalizie akiwa 55😅😅
Kuchelewa kuzaa kuna faida pia, ingawa kwa wanawake ni vigumu kuchelewa
 
Kwamba nisisomeshe kuepuka upweke🤔..hapana!..nitaomba hata wajukuu niishi nao na Kama haitoshi nitaomba hata watoto wa ndugu niishi nao pia.
Kuletewa wajukuu ni mtihani pia
 
Ukiangalia tamthilia nyingi za kituruki, utagundua kua wao wanautaratibu mtoto wa kiume haondoki nyumbani. Ataoa na kumleta mke nyumbani kwao. Atapewa chumba chake maisha yanaendelea kama kawaida.
Ndio maana maisha yao yanakua mazuri, kwani watoto hawafikiri kujenga tena, wakati nyumba ipo ya babu yao.
 
Maisha ni bahati.
Acheni kupoteza pesa nyingi kwenye elimu mkidhani hii ndio itawafanya watoto, watoke kimaisha!
Apparently the most paid CEO nchini, ametoka huku! Hajasoma Ilboru, Mzumbe wala UDSM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…