Hapo ni nyumbani kwa mama ake, palikuwa ni mahali pa ndoto pa mamaake na sio pake. Nae ana maisha yake sasa na ndoto zake, msemeni kwa ndoto zake na sio za mzazi wake.Nasema nyumba ya tope kwa sababu Dar hajajenga anaongoza kwa kupanga mitaani huko hivo basi kwa kuwa yeye ni mtoto pekee wa mama na mama alikuwa na nyumba ya tope basi Luludiva ndio anaweka record ya kurithi na kuishi nyumba ya tope
View attachment 2052860
View attachment 2052861
Acha hizo, mbona pesa za kubadilisha magari na kununua mawigi ya milion 10 anazo? Yeye mwenyewe alisema wigi lake milion 10, hapa watu wanazungumzia kujenga nyumba unaleta habari za sijui alikua anauguza.Luludiva ameuguza kwa miaka sita atapata wap hela za kujenga na kuuguza,kwa ambae hajawah kuuguza huo ugonjwa ataongea ila huo ugonjwa unakula hela sana clinic za kufikia dawa nazo ni kununua kila siku kwangu mimi lulu ni shujaa kuuguza ni kaz sana
Lulu akifa leo atapelekwa hapo kwa kuwa mjini kapanga, hata Kama palikua ndoto za mama yake alipaswa kubadilisha kidogo. Acheni kutetea ujingaHapo ni nyumbani kwa mama ake, palikuwa ni mahali pa ndoto pa mamaake na sio pake. Nae ana maisha yake sasa na ndoto zake, msemeni kwa ndoto zake na sio za mzazi wake.
Mbona mawigi ya milioni 10 alikua ananunua? Acheni kutetea ujinga, Kama kwa mdomo wake alisema ananunua mawigi milion 10 basi pesa ya kuuguza na kujenga anayoShida ni kuwa ukiwaza ufanye ukarabati wakati mgonjwa bado anahitaji huduma na pesa zetu hizi za kuunga unga ndio unajikuta unaamua kukomaa tu na mgonjwa.
Hayo wanayaweza wenye pesa mana anaweza kufiwa ndani ya wiki nyumba ikajengwa ili sisi kina apeche alolo mtihani kwakweli.
Aliyesema maisha lazima uwe na nyumba nani?
Akifa leo ama tunamzik wapi ukizingatia bado hajaolewa? Ama ndio mambo yanaishia kinondoniHapo ni nyumbani kwa mama ake, palikuwa ni mahali pa ndoto pa mamaake na sio pake. Nae ana maisha yake sasa na ndoto zake, msemeni kwa ndoto zake na sio za mzazi wake.
Huna kwenu na upo jamii forum..utakua boya kabisaaSa afadhali hata yeye ana kwao, tena na Nyumba ya Tope ipo.. kuna wengine Tunamponda huku tumezaliwa kwenye Nyumba za Upangaji na mpaka leo tuko Kwenye Nyumba za Upangaji.. infact hatuna kwetu!!
Kwan yumo humu??Jamn lulu diva aachwe kujenga sio kila kitu msimpe msongo wa mawazo
[emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]kazi anayo kaah!!!Acha hizo, mbona pesa za kubadilisha magari na kununua mawigi ya milion 10 anazo? Yeye mwenyewe alisema wigi lake milion 10, hapa watu wanazungumzia kujenga nyumba unaleta habari za sijui alikua anauguza.
Mamii ni weweMtu kapanga kwenye gorofa Mbezi beach. Halafu kwao kuko hivi ?Aibu kwa kweli.
Yule kwao kijijini nyumba nzuri,nlishaenda kuzika jirani yaoKuna huyu changu mwingine aliyekua mke wa yule mrundi mchezaji mpk akafa kwa stress anatembeza papuchi tu,show off kibao huku mbunye imejaa matango tu.
We usipo angalia kabla huu mwaka haujaisha watakuponda mtori..Huna kwenu na upo jamii forum..utakua boya kabisaa
Wanalala kwenye mazizi ya ng'ombe na ndama wao, akina mangi banasis watanzania tunaakil ndogo sana kwaio unahis waltoka kijijin na kuja kupanga mjin? kama taratbu za kwao n kuzka maeneo ya nyumban kwao ndio wajengee ukoo mzma nenda uchagan uone wachaga wananyumba za kawaida lakn uko mjin wana ma hekalu
Ni hatari mno na vijana ndo tunaongoza kwa tabia hizoUkiachilia mbali UKIMWI na UTI ugonjwa mwingine unaotutesa watanzania ni wivu na chuki
Hapana ni vijijini kwetu mkoa mwingine kabisaKwa gharama hizo za ujenzi nahisi itakuwa Mwanza.
Hakuna sehemu nimesema wazazi wangu hawakujenga, ninachofanya sasa hivi ni cha kisasa ,sasa kama walijenga fashion za miaka ya 90 sasa hivi si imebadilika sana? Ndo maana yanguUnajenga kwenu haujengi Nyumba ya Ukoo wewe peke yako!!!
Unaweza kuwa unawajengea wazazi wako, ila sio kuwajengea wajomba zako tena ambao wapo 9 ila wameshindwa kutumia akili.
Maisha yametofautiana ikiwa wewe unapambana kujenga kwenu, Lulu diva alikua anapambana kumuuguza mama yake!!
Kama ambavyo wewe unajenga kwenu kuna watu wazazi wao walishajenga makwao muda tu na wewe hapa wanakushangaa wazazi wako walishindwa vipi kujenga mpaka uje uwajengee wewe!!! maisha yametofautiana tusichekane tusibezane .....vipato na changamoto zipo tofauti.
binti mdogo asie na baba wala ndugu, kuuguza ugonjwa aina ule kwa miaka karibia 5 leo hii mnamsema kisa kujenga muwe na utu!!!
Fanya mwaya kila la kheri, mimi baba aliacha kajenga sema nyumba mitindo ya zamani. Pako safi tu sema sasa hivi watu wamejenga nyumba mpya naanza kuona haiendani na wakati.Una akili Sana Dada mungu akutie wepesi na ufanikishe hitaji lako kwa hii attitude yako tu wewe ni Shujaa, Mimi nna ndugu zangu wengi wanapambana kuboresha na kujenga majumba yao tu, wanasahau kuwa hata wazazi wao wanahitaji maisha mazuri, Nipo napambana kuhakikisha wazazi wangu wanaishi vizuri
Familia iko njema kipindi tu ndio maana vinginevyo hilo nae ni janga lingineYule kwao kijijini nyumba nzuri,nlishaenda kuzika jirani yao