Kutana na Luludiva; superstar anayeishi nyumba ya tope

Kutana na Luludiva; superstar anayeishi nyumba ya tope

Mimi sioni cha ajabu hapo. Lulu Diva ni mpambanaji tu kama walivyo watu wengi nchi hii.

Alianza kuigiza, mambo yakagoma, akawa video vixen na sasa hivi anakomaa na kuimba.

Sasa sioni popote kama kuna sababu ya kushangaa.
Tena mpambanaji hasa...huyu demu anawazidi akili bongo fleva wengi...nimeangalia interview zake nyingi

Aliponifurahisha ni vile alikuwa anamuuguza mama yake kwa moyo mmoja!
 
Hapo ni kwa wajomba zake,ila kwa ugonjwa wa mama yake angejiandaa hata kwa kupiga hiyo nyumba plasta na sakafu ya block...lolote hutokea unapokua na mgonjwa ambae hawezi kupona
Tena mpambanaji hasa...huyu demu anawazidi akili bongo gleva wengi...nimeanhalia interview zake nyingi

Aliponifurahisha ni vile alikuwa anamuuguza mama yake kwa moyo mmoja!
 
Mastaa wetu sijui wanakwama wapi mjini fujo kibao halafu home miyeyusho
Kupitia kanumba
Agnes masogange
Albert mangwea.

Inaonyesha jinsi gani wasanii wetu wanavyotudanga kwenye mitandao ya ukiwakumbusha unaambulia matusi,

Kuna lile uwoya ndo halijielewi kabisa kila siku lipo hotelini.
Uwoya wazazi wake wako njema ndo maana ni liboya kazi kuchekacheka tu [emoji16]
 
Sa afadhali hata yeye ana kwao, tena na Nyumba ya Tope ipo.. kuna wengine Tunamponda huku tumezaliwa kwenye Nyumba za Upangaji na mpaka leo tuko Kwenye Nyumba za Upangaji.. infact hatuna kwetu!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]
 
Mimi nina Anko wangu mmoja alikuwa na cheo kikubwa tu cha polisi, ingawa ni kweli alikuwa ni mpenda bata lakini yeye alizaliwa Dar na mpaka amekuwa na kuwa mkubwa akijua kwao ni Dar na ndiko baba yake alijenga.

Alivyoingia kazini akaandika kwao ni Dar.

Sasa baba yake alifariki kwanza, ikabidi asafirishwe kwenda Musoma ( huko baba yake alikuwa na eneo kubwa tu ila ni kama alikuwa kawaachia ndugu zake tu ).

Baada ya msiba kuisha sasa ndio ikabidi jamaa aanze route za kwenda Musoma mara kwa mara na kutafuta njia ya kujenga hata kijumba.

Mara ghafla, mwaka juzi amedandia Noah akapata ajali wakafa watatu na yeye akiwemo.

Polisi wakaangalia documents zake, kaandika kwao ni Dar. Na huku Dar baba na mama hawapo, walishatangulia. Huku wamebaki wadogo zake ambao nao ni wahuni tu na kibaya zaidi vyumba vyite wamepangisha maana yake hata ysehemu ya kufikia wageni hakuna.

Kilichofuata polisi wakasema ukoo uamue, msiba upelekwe wapi kama ni Dar au Musoma. Ikabidi iwe Musoma.

Basi akapelekwa Musoma, lakini hakukuwa na nyumba ya maana. Nyumba iliyokiwepo ilikuwa ya mama mdodo na yeye anakomaa tu kibishi kujenga akiuza mahindi.

Hivyo ikabidi msiba ufukie humo.

Askari wenzake na ndugu baada ya musiba wakawa wanacheka na kupiga majungu balaa kwamba jamaa hata kujenga home ameshindwa.

Unaweza kuona mtu hajajenga home kumbe hujui yaliyoko nyuma ya pazia.
Sijaona kilicho nyuma ya pazia apo mbona
 
Mkuu wabongo wengi huwa ni wataalamu katika kukosoa maisha ya wengine, binafsi nilikuwa hata simjui huyo dada ila kuna kipindi mwaka jana niliwahi kuona video inazunguka mtandaoni akiongelea anavyompenda mama yake na changamoto za kumuuguza na niliona ni kitu cha heshima sana. Kuuguza mzazi si jambo dogo, wapo watoto wengi tu waliotupa wazazi wao na kuendelea na mishe zao tu mjini, na hapo ukumbuke kwa mpambanaji kama yeye ambaye hana ajira ya kudumu ana uwezekano mkubwa hana hata bima ya afya ya kueleweka inayomlinda mzazi wake. Saa nyingine tunapenda kuhukumu kwa kejeli bila kujua nyuma ya pazia mtu anapitia jambo gani.
Huyu demu ndo nilimpompigia salute nilivyoona anavyomuuguza mama yake na kwa heshima kubwa!

Ktk mwanaume kama anataka kuoa mwanamke wa kumuoa ndo huyo sasa maana ni ana upendo wa dhati, na uvumilivu mkubwa!

I salute her [emoji119]
 
Luludiva ameuguza kwa miaka sita atapata wap hela za kujenga na kuuguza,kwa ambae hajawah kuuguza huo ugonjwa ataongea ila huo ugonjwa unakula hela sana clinic za kufikia dawa nazo ni kununua kila siku kwangu mimi lulu ni shujaa kuuguza ni kaz sana
Halafu nilikuwa namdharau kweli baada ya video zake za kumuuguza mama yake na interviews zake nikajua kichwani ana kitu[emoji848]

Tofauti na hawa wenzie, basi tu maisha yanamgomea
 
Pamoja na kwamba mimi simfaham huyo dada wala sijawahi kumfuatitilia ila naamini kuwa, hakuna mtu anayependa kuishi maisha duni hivyo atakuwa hajapata uwezo wa kujenga. Naona wewe umekuja hapa kumvua nguo (kumuabisha) kitu ambacho sio sawa kwani bado yeye ni underground/hajapata uwezo! Hawa dada zetu wasio na kazi rasmi wanapitia kipindi kigumu sana, ni wakuonea huruma!
ILA ikikupendeza ungefuta huu uzi wako!
[emoji112][emoji112][emoji112]
 
Kuwa na mchepuko mwenye mawazo kama yako ni kujiingiza katika mdomo wa mamba! Heri uchepuke la lulu diva maana k ni k tu
Ahaaahaaahaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi nina Anko wangu mmoja alikuwa na cheo kikubwa tu cha polisi, ingawa ni kweli alikuwa ni mpenda bata lakini yeye alizaliwa Dar na mpaka amekuwa na kuwa mkubwa akijua kwao ni Dar na ndiko baba yake alijenga.

Alivyoingia kazini akaandika kwao ni Dar.

Sasa baba yake alifariki kwanza, ikabidi asafirishwe kwenda Musoma ( huko baba yake alikuwa na eneo kubwa tu ila ni kama alikuwa kawaachia ndugu zake tu ).

Baada ya msiba kuisha sasa ndio ikabidi jamaa aanze route za kwenda Musoma mara kwa mara na kutafuta njia ya kujenga hata kijumba.

Mara ghafla, mwaka juzi amedandia Noah akapata ajali wakafa watatu na yeye akiwemo.

Polisi wakaangalia documents zake, kaandika kwao ni Dar. Na huku Dar baba na mama hawapo, walishatangulia. Huku wamebaki wadogo zake ambao nao ni wahuni tu na kibaya zaidi vyumba vyite wamepangisha maana yake hata ysehemu ya kufikia wageni hakuna.

Kilichofuata polisi wakasema ukoo uamue, msiba upelekwe wapi kama ni Dar au Musoma. Ikabidi iwe Musoma.

Basi akapelekwa Musoma, lakini hakukuwa na nyumba ya maana. Nyumba iliyokiwepo ilikuwa ya mama mdodo na yeye anakomaa tu kibishi kujenga akiuza mahindi.

Hivyo ikabidi msiba ufukie humo.

Askari wenzake na ndugu baada ya musiba wakawa wanacheka na kupiga majungu balaa kwamba jamaa hata kujenga home ameshindwa.

Unaweza kuona mtu hajajenga home kumbe hujui yaliyoko nyuma ya pazia.
Kwanza vya nini vyote hivyo si unaona kadanja kaacha kila kitu[emoji848]
 
Hapo ni kwa wajomba zake,ila kwa ugonjwa wa mama yake angejiandaa hata kwa kupiga hiyo nyumba plasta na sakafu ya block...lolote hutokea unapokua na mgonjwa ambae hawezi kupona
Hiyo hela anayo sasa mkuu...uuguze na bado upige plasta ili watu sijui wasikucheke[emoji848]kumbuka yy ndo first n last born hana wa kumsaidia!

Daaah kama mambo yenyewe ndo haya nawashukuru sana kaka zangu kujenga nyumba mpya kijijini kuzaliwa wa mwisho raha asee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom