Mbwa dume
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 5,934
- 10,206
MdangajiHivi huyu Lulu Diva ni superstar wa kitu gani?
Actress, musician au ni mchekeshaji?
Kwa hakika sijui mnijuze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MdangajiHivi huyu Lulu Diva ni superstar wa kitu gani?
Actress, musician au ni mchekeshaji?
Kwa hakika sijui mnijuze
Tena mpambanaji hasa...huyu demu anawazidi akili bongo fleva wengi...nimeangalia interview zake nyingiMimi sioni cha ajabu hapo. Lulu Diva ni mpambanaji tu kama walivyo watu wengi nchi hii.
Alianza kuigiza, mambo yakagoma, akawa video vixen na sasa hivi anakomaa na kuimba.
Sasa sioni popote kama kuna sababu ya kushangaa.
Tena mpambanaji hasa...huyu demu anawazidi akili bongo gleva wengi...nimeanhalia interview zake nyingi
Aliponifurahisha ni vile alikuwa anamuuguza mama yake kwa moyo mmoja!
Uwoya wazazi wake wako njema ndo maana ni liboya kazi kuchekacheka tu [emoji16]Mastaa wetu sijui wanakwama wapi mjini fujo kibao halafu home miyeyusho
Kupitia kanumba
Agnes masogange
Albert mangwea.
Inaonyesha jinsi gani wasanii wetu wanavyotudanga kwenye mitandao ya ukiwakumbusha unaambulia matusi,
Kuna lile uwoya ndo halijielewi kabisa kila siku lipo hotelini.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]Sa afadhali hata yeye ana kwao, tena na Nyumba ya Tope ipo.. kuna wengine Tunamponda huku tumezaliwa kwenye Nyumba za Upangaji na mpaka leo tuko Kwenye Nyumba za Upangaji.. infact hatuna kwetu!!
Sijaona kilicho nyuma ya pazia apo mbonaMimi nina Anko wangu mmoja alikuwa na cheo kikubwa tu cha polisi, ingawa ni kweli alikuwa ni mpenda bata lakini yeye alizaliwa Dar na mpaka amekuwa na kuwa mkubwa akijua kwao ni Dar na ndiko baba yake alijenga.
Alivyoingia kazini akaandika kwao ni Dar.
Sasa baba yake alifariki kwanza, ikabidi asafirishwe kwenda Musoma ( huko baba yake alikuwa na eneo kubwa tu ila ni kama alikuwa kawaachia ndugu zake tu ).
Baada ya msiba kuisha sasa ndio ikabidi jamaa aanze route za kwenda Musoma mara kwa mara na kutafuta njia ya kujenga hata kijumba.
Mara ghafla, mwaka juzi amedandia Noah akapata ajali wakafa watatu na yeye akiwemo.
Polisi wakaangalia documents zake, kaandika kwao ni Dar. Na huku Dar baba na mama hawapo, walishatangulia. Huku wamebaki wadogo zake ambao nao ni wahuni tu na kibaya zaidi vyumba vyite wamepangisha maana yake hata ysehemu ya kufikia wageni hakuna.
Kilichofuata polisi wakasema ukoo uamue, msiba upelekwe wapi kama ni Dar au Musoma. Ikabidi iwe Musoma.
Basi akapelekwa Musoma, lakini hakukuwa na nyumba ya maana. Nyumba iliyokiwepo ilikuwa ya mama mdodo na yeye anakomaa tu kibishi kujenga akiuza mahindi.
Hivyo ikabidi msiba ufukie humo.
Askari wenzake na ndugu baada ya musiba wakawa wanacheka na kupiga majungu balaa kwamba jamaa hata kujenga home ameshindwa.
Unaweza kuona mtu hajajenga home kumbe hujui yaliyoko nyuma ya pazia.
Huyu demu ndo nilimpompigia salute nilivyoona anavyomuuguza mama yake na kwa heshima kubwa!Mkuu wabongo wengi huwa ni wataalamu katika kukosoa maisha ya wengine, binafsi nilikuwa hata simjui huyo dada ila kuna kipindi mwaka jana niliwahi kuona video inazunguka mtandaoni akiongelea anavyompenda mama yake na changamoto za kumuuguza na niliona ni kitu cha heshima sana. Kuuguza mzazi si jambo dogo, wapo watoto wengi tu waliotupa wazazi wao na kuendelea na mishe zao tu mjini, na hapo ukumbuke kwa mpambanaji kama yeye ambaye hana ajira ya kudumu ana uwezekano mkubwa hana hata bima ya afya ya kueleweka inayomlinda mzazi wake. Saa nyingine tunapenda kuhukumu kwa kejeli bila kujua nyuma ya pazia mtu anapitia jambo gani.
Nendeni kwenye misiba,zikeni ondokeni mkafanye yenuNasema nyumba ya tope kwa sababu dar hajajenga anaongoza kwa kupanga mitaani huko hivo basi kwa kuwa yeye ni mtoto pekee wa mama na mama alikuwa na nyumba ya tope basi luludiva ndio anaweka record ya kurithi na kuishi nyumba ya tope
View attachment 2052860
View attachment 2052861
Kuna siku alishawahi kunitukana Hungumalwa mwanza walipita wanaenda shinyanga kisa nmemcheleweshea nyama choma kumbe ni mbwa tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umepata pa kumkomesha..
Muulize mama ako au ingia youtube utamuonahuyo lulu diva ameimba nyimbo gani
Halafu nilikuwa namdharau kweli baada ya video zake za kumuuguza mama yake na interviews zake nikajua kichwani ana kitu[emoji848]Luludiva ameuguza kwa miaka sita atapata wap hela za kujenga na kuuguza,kwa ambae hajawah kuuguza huo ugonjwa ataongea ila huo ugonjwa unakula hela sana clinic za kufikia dawa nazo ni kununua kila siku kwangu mimi lulu ni shujaa kuuguza ni kaz sana
Ahaahaahaa[emoji16][emoji16] we naeUkiwa mfiwa unakua na maumivu mawili ......either ya kutiwa ......na wale wanaokuja kukuchunguza
Unajua hawa hawaelewi labda hii situation ya huyu dadaSasa amjengee nani wakat alikua anaishi na mamake,na yeye ndo mtoto pekee,pia hana baba.
Kuuguza kuskia kwa mwenzio tu
[emoji112][emoji112][emoji112]Pamoja na kwamba mimi simfaham huyo dada wala sijawahi kumfuatitilia ila naamini kuwa, hakuna mtu anayependa kuishi maisha duni hivyo atakuwa hajapata uwezo wa kujenga. Naona wewe umekuja hapa kumvua nguo (kumuabisha) kitu ambacho sio sawa kwani bado yeye ni underground/hajapata uwezo! Hawa dada zetu wasio na kazi rasmi wanapitia kipindi kigumu sana, ni wakuonea huruma!
ILA ikikupendeza ungefuta huu uzi wako!
Hakuna mtu asiye na kwao ,kwa babu yako ni kwakoSa afadhali hata yeye ana kwao, tena na Nyumba ya Tope ipo.. kuna wengine Tunamponda huku tumezaliwa kwenye Nyumba za Upangaji na mpaka leo tuko Kwenye Nyumba za Upangaji.. infact hatuna kwetu!!
Ahaaahaaahaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Kuwa na mchepuko mwenye mawazo kama yako ni kujiingiza katika mdomo wa mamba! Heri uchepuke la lulu diva maana k ni k tu
Kwanza vya nini vyote hivyo si unaona kadanja kaacha kila kitu[emoji848]Mimi nina Anko wangu mmoja alikuwa na cheo kikubwa tu cha polisi, ingawa ni kweli alikuwa ni mpenda bata lakini yeye alizaliwa Dar na mpaka amekuwa na kuwa mkubwa akijua kwao ni Dar na ndiko baba yake alijenga.
Alivyoingia kazini akaandika kwao ni Dar.
Sasa baba yake alifariki kwanza, ikabidi asafirishwe kwenda Musoma ( huko baba yake alikuwa na eneo kubwa tu ila ni kama alikuwa kawaachia ndugu zake tu ).
Baada ya msiba kuisha sasa ndio ikabidi jamaa aanze route za kwenda Musoma mara kwa mara na kutafuta njia ya kujenga hata kijumba.
Mara ghafla, mwaka juzi amedandia Noah akapata ajali wakafa watatu na yeye akiwemo.
Polisi wakaangalia documents zake, kaandika kwao ni Dar. Na huku Dar baba na mama hawapo, walishatangulia. Huku wamebaki wadogo zake ambao nao ni wahuni tu na kibaya zaidi vyumba vyite wamepangisha maana yake hata ysehemu ya kufikia wageni hakuna.
Kilichofuata polisi wakasema ukoo uamue, msiba upelekwe wapi kama ni Dar au Musoma. Ikabidi iwe Musoma.
Basi akapelekwa Musoma, lakini hakukuwa na nyumba ya maana. Nyumba iliyokiwepo ilikuwa ya mama mdodo na yeye anakomaa tu kibishi kujenga akiuza mahindi.
Hivyo ikabidi msiba ufukie humo.
Askari wenzake na ndugu baada ya musiba wakawa wanacheka na kupiga majungu balaa kwamba jamaa hata kujenga home ameshindwa.
Unaweza kuona mtu hajajenga home kumbe hujui yaliyoko nyuma ya pazia.
Demu wako akikuomba laki mpe wengine 50000 tunatumaga home😂
... hata ikitokea fala moja akanihonga hata laki siku zote elfu 50000 lazima niitume nyumbani
Hiyo hela anayo sasa mkuu...uuguze na bado upige plasta ili watu sijui wasikucheke[emoji848]kumbuka yy ndo first n last born hana wa kumsaidia!Hapo ni kwa wajomba zake,ila kwa ugonjwa wa mama yake angejiandaa hata kwa kupiga hiyo nyumba plasta na sakafu ya block...lolote hutokea unapokua na mgonjwa ambae hawezi kupona