Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
😁 nikuulize swali jepesi tu dogo sana.Utaratibu wa kujaza nafasi za Utumishi wa Umma ni tofauti na private kama ungekuwa na kampuni yako ni sawa. Ila kwenye Utumishi wa Umma Ajira ni kwa ushindani,usawa na uwazi na ninaposema Ushindani ni lazima uangalie waliopo ndani na waliopo nje. Naomba kama una nafasi usome na kupitia Sheria, Kanuni, Taratibu na Miongozo mbalimbali inayoguide masuala ya Ajira katika Utumishi wa Umma.
TISS recruitment yao inatangazwa wapi? Ukinipa majibu hapo sitaendelea na Mjadala.