Bro, nimehustle kupata KAZI na niliandika hadi UZI humu wa kuomba KAZI.
Kuna watu ukiwaambia fanyeni INTERNSHIP wanakuona unaenda kupoteza muda.
Faida ya hizi Internship ni kwamba TAASISI unaijua na wao wanakujua yaani nitumie maneno ya KITAALAMU.
KTK HR processing kuna kitu kinaitwa ORG CULTURE mtu ambae hafiti kwenye CULTURE huwezi kufanya nae kazi na mkafikia malengo.
Sasa tyr mna nguvu kazi ambayo imefikia malengo mliyowekeana, anaijua Taasisi, anajua kufanya kazi (No need of TRAINING/OJT) anafanya kazi vzr. Utakuwa ni upuuzi kumuacha huyu ukachukua mwingine huko nje.. Hii mimi siikubali.
Wa ndani apewe PRIORITY.
Jana hapa kuna Uzi ulipostiwa kuna Intern wa Hospital ya Kaskazin huko wanalia posho etc. Em vaa viatu vya hao Intern wanahangaika wanafanya kazi kubwa kwa posho ndogo leo hii zitoke nafas za kazi et wasipewe wao waajiriwe wengine. INAKUIJIA AKILINI? tukiweka UNAFKI na UBINAFSI Pembeni?