Kutangaza nafasi za ajira kwa watu "Wa ndani ya NSSF" ni Ubaguzi, Rais Samia ingilia kati, unachonganishwa na wananchi!

Kutangaza nafasi za ajira kwa watu "Wa ndani ya NSSF" ni Ubaguzi, Rais Samia ingilia kati, unachonganishwa na wananchi!

Sasa vigezo unavipima Kwa ku-restrict wengine au Kwa kufanya MCHAKATO ulio wazi ambao una EFFECTIVE competition?
Huwezi mnufaisha kila mtu. Ndio hayo madudu mnaleta ktk sehem zinazohitaji akili kubwa.

Ni Ajira tu za TZ ambazo unaajiri bila experience. Ukijaji unaanza kupigiwa kelele MIMI MTOTO WA MASKINI sijui nini na nini
 
Huwezi mnufaisha kila mtu. Ndio hayo madudu mnaleta ktk sehem zinazohitaji akili kubwa.

Ni Ajira tu za TZ ambazo unaajiri bila experience. Ukijaji unaanza kupigiwa kelele MIMI MTOTO WA MASKINI sijui nini na nini
Kazi gani inahitaji ajili kubwa ? Nimekuuliza u- justify HEAD HUNTING Kwa hizo kazi za NSSF imeshindwa Kwani ndo zinahitaji ajili kubwa
 
Haiwezekani mtumishi ndani ya taasisi ajira yake education level ilikuwa diploma,then aka upgrade na kuwa bachelor holder. Halafu nafasi inapatikana ya mtu mwenye bachelor utegemee achukuliwe wa nje ya taasisi, hiyo never. Na ndio maana Kuna internal recruitment
Mtu anayeongeza ujuzi wa taaluma, say huyo wa diploma akapata bachelor akirudi anabadilishiwa tu cheo cha Muundo. Hawezi kuajiriwa tena kisa kaongeza elimu, never. Hiyo itakuwa ni double employment.

Hivyo, hizo nafasi zinatangazwa kwa wale ambao hawajawahi kupata cheque number tu.
 
Kazi gani inahitaji ajili kubwa ? Nimekuuliza u- justify HEAD HUNTING Kwa hizo kazi za NSSF imeshindwa Kwani ndo zinahitaji ajili kubwa
Unakimbilia tena kwenye HEAD HUNTING. Umenogewa na huo Msamiati ee

Ni hivi kuna kazi sio nyepesi kama mnavyodhani, na watu kama wamemaster utendaj kazi wapeni NAFASI/PRIOITY acheni roho za kwanini.
 
Hapa Magufuli alikuwa sahihi nakuambia kuna watu wapo taasisi nyeti wapya kabisa ila hato mwanzo hawakuwepo na baadae mtu anasema watu fulani hawana elimu Wakati walipata ubaguzi wa fursa tangu zamani ,wanasoma wanaishia kufanya biashara ila kazi serikalini hawapati.


Bro kuna msela aliomba inteership na alikuwa yupo vizuri akaambiwa hakuna tena mlango wa HR una tangazo kabisa "Hakuna nafasi za kujitolea wala mafunzo ya vitendo" ....wiki kadhaa wakaenda wengine tena wakapata wote wana ukaribu na HR ...

Yaliyopo ndani yanasikitisha kwe kweli.
Kama ramadhani dau alivyojaza waislamu nssf
 
Internal recruitment ni kwa wale wenye ajira tayari! Akijiendeleza ndani ya ajira na kupata degree kwa mfano, huyo anafanyiwa re-categorization!! Hakuna internal recruitment kwenye ajira mpya!! Patachimbika hadi mahakama ya rufaa ikibidi!! Wasipotrusikiliza, mchakato wa ajira utasimamishwa kwa COURT INJUCTION!! hadi pale kesi ya msingi ya tuhuma za kutaka kuajiri kwa misingi ya ubaguzi kinyume na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibara ya 13(1&4), itakaposikilizwa na kufanyiwa maamuzi.
Eti patachimboka Watanzania wanyonge mnavituko sana mnashindwa pigania mambo mengi ya ajabu ya serekali leo unasema patachimbika
 
Mtu anayeongeza ujuzi wa taaluma, say huyo wa diploma akapata bachelor akirudi anabadilishiwa tu cheo cha Muundo. Hawezi kuajiriwa tena kisa kaongeza elimu, never. Hiyo itakuwa ni double employment.

Hivyo, hizo nafasi zinatangazwa kwa wale ambao hawajawahi kupata cheque number tu.
Mkuu kuna watu hawajasoma tangazo ila wanacomment kwa mihemko mara waseme hao wanapanda daraja, mara wamejiendeleza. Ukweli utabaki palepale mama kapangwa na wajanja kaingia Kingi watu wamefungulia goli. Tutegemee vyeti feki miaka 5 ijayo
 
Bro, nimehustle kupata KAZI na niliandika hadi UZI humu wa kuomba KAZI.

Kuna watu ukiwaambia fanyeni INTERNSHIP wanakuona unaenda kupoteza muda.

Faida ya hizi Internship ni kwamba TAASISI unaijua na wao wanakujua yaani nitumie maneno ya KITAALAMU.

KTK HR processing kuna kitu kinaitwa ORG CULTURE mtu ambae hafiti kwenye CULTURE huwezi kufanya nae kazi na mkafikia malengo.

Sasa tyr mna nguvu kazi ambayo imefikia malengo mliyowekeana, anaijua Taasisi, anajua kufanya kazi (No need of TRAINING/OJT) anafanya kazi vzr. Utakuwa ni upuuzi kumuacha huyu ukachukua mwingine huko nje.. Hii mimi siikubali.

Wa ndani apewe PRIORITY.

Jana hapa kuna Uzi ulipostiwa kuna Intern wa Hospital ya Kaskazin huko wanalia posho etc. Em vaa viatu vya hao Intern wanahangaika wanafanya kazi kubwa kwa posho ndogo leo hii zitoke nafas za kazi et wasipewe wao waajiriwe wengine. INAKUIJIA AKILINI? tukiweka UNAFKI na UBINAFSI Pembeni?
Umeongea vyema sana mina-support waliojitolea wapewe nafasi mtu kafanya internship miaka mpaka mitatu unamuachaje

Kwenye maisha tusipende vya bure ndo tatizo kubwa la watanzania wengi
 
Ukianza kazi kama Intern ni taasisi chache sana zitakazopoteza RESOURCES kukupa training, hata ktk MPANGO wa Mafunzo (TP) TRAINEE huwa Haingii.
KWANZA una kiwango gani cha Elimu? Nisiwe natwanga maji kwenye kinu hapa.
Dah...!!ndo kama wasomi tunajibu hivy bila hoja nchi ngumu hii kuendelea...


Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Usikariri kuwa Kila anae- comment humu ni kijana,wengine ni wahenga long experience ambao hizo process tunazijua na nimekupatia mfano tu huo wa Neuro- Surgeon unapaniki .Niambie kuna justification gani ya hizo Junior job za NSSF kuhitaji HEAD HUNTING process kadri ya hoja yake . Transformations zimekuwa zikifanyika katika taasisi mbalimbali lakini isiwe upenyo wa kuwa- deny vijana wengine opportunities
Acha uongo mkuu
Neuro surgeon hata 20 hawafikii tanzania unaitaje interview
 
Tatizo ni kwamba hizo nafasi za kujitolea zinawekwa wazi na watu wanashindanishwa au mtu tu analeta ndugu yake aje ajitolee. Imagine kila kigo kaingiza watu wake hadi wamefika zaidi ya 300. Halafu unawapa ajira kwa kisingizio cha kujitolea. Unafikiri kwa mwendo huu mtoto wa mkulima atapata kazi?

Kuna watu hawawez kukuelewa…ila sababu ni kwamba majitu mengi hii nchi ni majinga na mapumbavu, kazi za ndani kwa ndani 300 kweli hapo waliokuwa hawawez kupata internship watapataje kaZi kama staili ndio hiyo ? Nchi ina mambo ya kingese sana hii…
 
Tatizo ni moja, VIJANA wengi wanategemea TANGAZO lipostiwe Ndio waombe kitu ambacho si sahihi.

Kuna watu wanatembea na BAHASHA huku na kule wanaenda front kutafuta kazi, sio kwa NSSF tu fatilia MIFUKO yote ya BIMA au yenye mlengo huo uone kama wanatangaza NAFASI za Internship.

Maombi wanapokea ni Mengi individually hivyo wanayachakata kama nafasi ipo mtu anaitwa kuanza.

Usitegemee hata siku moja et wawaite watu kuomba Internship never, watu wenyewe ndio wanaomba.

Haiiingii akilini una request 1000 za Internship alafu utoe tangazo la kuomba watu waombe INTERNSHIP.

USHAURI kwa VIJANA waende FRONT waombe AJIRA/INTERNSHIP popote bila kusubiri TANGAZO wajanja ndio wanaijua hii mbinu wanaenda FRONT mapema na bahasha zao.

Mkuu hata kama, something somewhere is not okay, internship ya idadi hiyo ya watu ? Kwanini msitangaze kazi moja kwa moja ? Mkuu hapo hakuna haki hawa madogo wataanza kutukaba mtaani muda si mrefu hii kitu inaenda kuwamaliza na chama lao la kisenge hilo….au ndio wanatengeneza tatizo ili waje walitatue ikikaribia uchaguzi ? How comes kila mtawala akija anakuja na mbinu hiyo hiyo kuna siku watu watachoka…ignorance inatumaliza aisee
 
Huwezi mnufaisha kila mtu. Ndio hayo madudu mnaleta ktk sehem zinazohitaji akili kubwa.

Ni Ajira tu za TZ ambazo unaajiri bila experience. Ukijaji unaanza kupigiwa kelele MIMI MTOTO WA MASKINI sijui nini na nini
Kazi gani hapo NSSF inayohitaji akili kubwa kuliko sehemu zingine? Si wametangaza kazi hizo hizo za kawaida kama ICT officer II, Accounts Officer II, Compliance Officer II, etc. Hizi post zina uajabu gani? Pole sana!!
 
Bro, nimehustle kupata KAZI na niliandika hadi UZI humu wa kuomba KAZI.

Kuna watu ukiwaambia fanyeni INTERNSHIP wanakuona unaenda kupoteza muda.

Faida ya hizi Internship ni kwamba TAASISI unaijua na wao wanakujua yaani nitumie maneno ya KITAALAMU.

KTK HR processing kuna kitu kinaitwa ORG CULTURE mtu ambae hafiti kwenye CULTURE huwezi kufanya nae kazi na mkafikia malengo.

Sasa tyr mna nguvu kazi ambayo imefikia malengo mliyowekeana, anaijua Taasisi, anajua kufanya kazi (No need of TRAINING/OJT) anafanya kazi vzr. Utakuwa ni upuuzi kumuacha huyu ukachukua mwingine huko nje.. Hii mimi siikubali.

Wa ndani apewe PRIORITY.

Jana hapa kuna Uzi ulipostiwa kuna Intern wa Hospital ya Kaskazin huko wanalia posho etc. Em vaa viatu vya hao Intern wanahangaika wanafanya kazi kubwa kwa posho ndogo leo hii zitoke nafas za kazi et wasipewe wao waajiriwe wengine. INAKUIJIA AKILINI? tukiweka UNAFKI na UBINAFSI Pembeni?
Hujaelewa concern ya watu kumbe! Shida ya mtoa mada na wanaounga mkono hoja sio internal employment, bali tatizo kwa taasisi tajwa ni urasimu uliopo kwenye kupata hizo nafasi. Hoja imeanzia hapo. I hope you comprehend.

Kuhusu kuajiri interns in place of new applicants, hilo liko vivid.
 
Acha uongo mkuu
Neuro surgeon hata 20 hawafikii tanzania unaitaje inter

Acha uongo mkuu
Neuro surgeon hata 20 hawafikii tanzania unaitaje interview
Acha kukurupuka soma na kuelewa point yangu.Nimetoa mfano wa 'Neuro-Surgeon' kama kada ambazo ni very specialized na hivyo ku- justify process ya HEAD HUNTING Ili kupata mtu sahihi,na siyo through advertisement and interview.kama huelewi maana ya HEAD HUNTINg omba msaada kwenye tuta, pathetic!
 
Mkuu hata kama, something somewhere is not okay, internship ya idadi hiyo ya watu ? Kwanini msitangaze kazi moja kwa moja ? Mkuu hapo hakuna haki hawa madogo wataanza kutukaba mtaani muda si mrefu hii kitu inaenda kuwamaliza na chama lao la kisenge hilo….au ndio wanatengeneza tatizo ili waje walitatue ikikaribia uchaguzi ? How comes kila mtawala akija anakuja na mbinu hiyo hiyo kuna siku watu watachoka…ignorance inatumaliza aisee
Nani kasema hao watu 300 ni watu wa INTERNSHIP? Tatizo mnakurupuka mno.
 
Kazi gani hapo NSSF inayohitaji akili kubwa kuliko sehemu zingine? Si wametangaza kazi hizo hizo za kawaida kama ICT officer II, Accounts Officer II, Compliance Officer II, etc. Hizi post zina uajabu gani? Pole sana!!
Anhaa kwahiyo ni sahihi kurecruit MARAPURAPU? haya yanayolia kila siku MIMI MTOTO WA MASKINI?
 
Hujaelewa concern ya watu kumbe! Shida ya mtoa mada na wanaounga mkono hoja sio internal employment, bali tatizo kwa taasisi tajwa ni urasimu uliopo kwenye kupata hizo nafasi. Hoja imeanzia hapo. I hope you comprehend.

Kuhusu kuajiri interns in place of new applicants, hilo liko vivid.
Malalamiko siku zote yapo tu, mie mwenyewe nawamind PSRS kila siku ingawa waliniita Kazini. Ninasababu zangu kwanini nawamaindi. Na ntaendelea kuwamaindi.

Kuhusu utaratibu wa upatikanaji wa nafasi kila taasisi ina njia zake za kupata watu, NSSF ni sehem ambayo watu wengi wanapatolea macho ukiwa ktk mfumo utajionea ni jinsi gani watu wanaomb sana maombi ya Intern au kuhamia ktk hizo taasisi zenye kuvutia watu.

Wanapokea maombi mengi na wanakubali watu wengi vilevile. Huo muda wa kuanza kutangaza nafasi ya INTERN unatoka wapi wakat una mzigo wa maombi upo mezani?
 
Back
Top Bottom