Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
😁 nikuulize swali jepesi tu dogo sana.Utaratibu wa kujaza nafasi za Utumishi wa Umma ni tofauti na private kama ungekuwa na kampuni yako ni sawa. Ila kwenye Utumishi wa Umma Ajira ni kwa ushindani,usawa na uwazi na ninaposema Ushindani ni lazima uangalie waliopo ndani na waliopo nje. Naomba kama una nafasi usome na kupitia Sheria, Kanuni, Taratibu na Miongozo mbalimbali inayoguide masuala ya Ajira katika Utumishi wa Umma.
Mashrti ya Kudumu unafkiri kibali chake ni chepes kias hicho ee?Umesoma tangazo vizuri mkuu?
Unajua maana ya wafanyakazi wenye " Fixed contract" ndio wanatakiwa waombe.
Hawa wenye fixed contract wanatakiwa kurenew contract sio kuomba kazi. Hili tangazo maana yake wanaingia kwenye ajira ya kudumu na sio promotion kama unavyosema hapà
Nasikitika sana taifa ili kuwa na vijana wa ovyo kiasi iki, elewa kinachopigiwa kelele umu.Sasa unalia lia nini? Na Tangazo uliliona wapi? Ukikataliwa Nongwa, waliokubaliwa Connection au sio
Skia mzee, kama huna Ajira na unataka uzoefu atleast Internship usisite kunichek PM. Karibu.Nasikitika sana taifa ili kuwa na vijana wa ovyo kiasi iki, elewa kinachopigiwa kelele umu.
TISS na NSSF mkuu😁 nikuulize swali jepesi tu dogo sana.
TISS recruitment yao inatangazwa wapi? Ukinipa majibu hapo sitaendelea na Mjadala.
Umeelewa swali?TISS na NSSF mkuu
Ichi ndicho tunachokikataa umu kama unaintern iwekwe wazi why nikufwate PM, upuuzi wako umejihidhihirisha hadharani, ndo maana nakuona wewe ni m binafsi na pia mashaka ya elimu yako sasa ndo kabisa yanajionyesha.Skia mzee, kama huna Ajira na unataka uzoefu atleast Internship usisite kunichek PM. Karibu.
Umerukia mada bila kujua kinachoongelewa kwa undani!! Hatuzungumzii kupandisha watu madaraja, hatuzungumzii watu ambao tayari ni waajiriwa wa NSSF na wanataka kupewa nafasi nyingine ndani ya NSSF. Tunazungumzia habari ya waajiriwa wapya na NSSF kuamua kutoa nafasi hiyo kwa "wanaojitolea na wenye mikataba mifupi-(hawa si waajiriwa, hawafanyiwi kupandishwa madaraja kama unavyodai, au kubadilishiwa nafasi)". Wewe ndo umetangaza ujinga kwa kurukia bila kujua undani na huenda hata hilo tangazo hujalisoma binafsi.Kuna mda unafanya jambo ukiamini utainekana una akili kumbe nduo unatamgaza ujinga wakom Internal vacancy ni process legal kabisa na mara nyingi huwa inalenga kupandisha watu madaraja maana unaomba kazi iliyo juu yako. Then hizo nafasi zinazoachwa ndio wanapewa new comers ambao hawajui kazi wanaanza. Ila hizo za internal zinataka wanaojua kazi za NSSF zinafanywaje daily, yaani hapo unapata kazi halafu hamna ataeanza kukuambia majukumu yako ni haya. Kama ulikuwa msaisizi wa boss sasa unakuwa boss so unajua cha kufanya.
Vijana wa siku hizi sijui wanasoma nini mkuuTISS na NSSF mkuu
Hii ndo maana halisi ya connection sasa tunayoipinga umuSkia mzee, kama huna Ajira na unataka uzoefu atleast Internship usisite kunichek PM. Karibu.
Sawa, Mimi Mpuuzi. Kwaheri.Ichi ndicho tunachokikataa umu kama unaintern iwekwe wazi why nikufwate PM, upuuzi wako umejihidhihirisha hadharani, ndo maana nakuona wewe ni m binafsi na pia mashaka ya elimu yako sasa ndo kabisa yanajionyesha.
Kwamba kuna kibali cha masharti ya kudumu na vibali vingine? Mimi ni nguli wa masuala haya kaka. Nimegundua unajibu tu ili ujibu. Rejea issue nilizoeleza hapo juu. Hiyo ndio best practise na haijawahi kubadilika. Nsssf wamechemka big time.Mashrti ya Kudumu unafkiri kibali chake ni chepes kias hicho ee?
Yaani kwa akili yako unalinganisha TISS na NSSF. Unataka kanuni zinazoendesha TISS ndo ziigwe na taasisi zingine? Unaijua TISS kweli au unaisikia tu!! Kama ndo akili zako zinakutuma hivyo, basi unastahili kusamehewa bure!!😁 nikuulize swali jepesi tu dogo sana.
TISS recruitment yao inatangazwa wapi? Ukinipa majibu hapo sitaendelea na Mjadala.
Endelea kukaza fuvu, kwa hii MENTALITY yako wewe ukiajiriwa utaleta shida sana ktk maeneo ya kazi.Hii ndo maana halisi ya connection sasa tunayoipinga umu
Unataka kusema nini KATIBU anatoa VIBALI kulingana na aina ya MKATABA wewe una unguli gani bhana hujui kitu simpo hicho na ww kumbe TAKATAKA tu wacha nifanye mambo ya msingi.Kwamba kuna kibali cha masharti ya kudumu na vibali vingine? Mimi ni nguli wa masuala haya kaka. Nimegundua unajibu tu ili ujibu. Rejea issue nilizoeleza hapo juu. Hiyo ndio best practise na haijawahi kubadilika. Nsssf wamechemka big time.
Huu ni mwendelezo wa uhuni wao, baada ya ule wa udiniNSSF si ni ya Bakwata au ule upuuzi wao walishaacha.
Umetumia neno UTUMISHI wa UMMA.Yaani kwa akili yako unalinganisha TISS na NSSF. Unataka kanuni zinazoendesha TISS ndo ziigwe na taasisi zingine? Unaijua TISS kweli au unaisikia tu!! Kama ndo akili zako zinakutuma hivyo, basi unastahili kusamehewa bure!!
Mmh! sijipambani Mimi Mwenywe kuna wengine pia kama Mimi wanahitaji izo nafasi, nikifanya unavyotaka wewe vitatokea vitu vya ovyo ovyo sana, fikiria vizazi vinavyofwata kwa huu upuuz wako nini kitatokea, anyway sio lazima wasomi wote waajiriwe atleast kuwe na Mfumo wa haki Ajira ni haki ya kila mtuEndelea kukaza fuvu, kwa hii MENTALITY yako wewe ujiajiriwa utaleta shida sana ktk maeneo ya kazi.
Ndio maana watu wanakuja humu JF wanaandika nyuzi za kuomba kusaidiwa kazi au kibarua. Mimi mwenyewe niliwahi kuandika kuomba huo MSAADA humu.
Sasa kama hujui maana ya NETWORKING endelea kukomalia huo ujinga wako.
Sasa vigezo unavipima Kwa ku-restrict wengine au Kwa kufanya MCHAKATO ulio wazi ambao una EFFECTIVE competition?Kuna TAASISI hizo hizo za serikali ww hauna HAKI ya kupata AJIRA.
AJIRA sio haki ya Kila Mtanzania.
Ajira upate basi UFITI na vigezo na masharti yanayoambatana na AJIRA husika.
Toeni hiyo DHANA ya Ajira ni haki kwa kila MTANZANIA na muamini kwamba AJIRA NI KWA YULE MWENYE VIGEZO husiku/STAHIKI.