Kutangaza nafasi za ajira kwa watu "Wa ndani ya NSSF" ni Ubaguzi, Rais Samia ingilia kati, unachonganishwa na wananchi!

Mzee hizo nafasi za kujitolea tu Huwa hazipatin kwahiyo waache ubabaishaji
 
Nakumbuka wakati fulani hili shirika liliwahi kuwa na upendeleo wa kidini kwwnye ajira
 
Mbona mnamuhukumu/mnatumia fimbo kumchapia Rais wakati na yeye wanamzunguka ndo mnayo mpa uongo/ mambo kama haya sasa yanayotekea...hii kauli ni ya mchechu kutoka kwa wakuu wa taasisi na wenyeviti wa board

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Tatizo ni kwamba hizo nafasi za kujitolea zinawekwa wazi na watu wanashindanishwa au mtu tu analeta ndugu yake aje ajitolee. Imagine kila kigo kaingiza watu wake hadi wamefika zaidi ya 300. Halafu unawapa ajira kwa kisingizio cha kujitolea. Unafikiri kwa mwendo huu mtoto wa mkulima atapata kazi?
 
Hao wanaojitolea wameshindanishwa na nani hadi wakapata nafasi ya kujitolea?
PSRS wanaangalia umasikini wa mtu au alama zako kwenye usaili?
 
Mama hana muda huo, kwanza sidhani kama kuna mtoto wake hata mmoja mwenye shida ya ajira.
 
Bila kushindanisha watu?
Nop! Wanashindanishwa watu wa ndani kwanza.
Akikosekana mwenye sifa anatufutwa mtu wa nje.
That is how many employers retain and promote best employees.
Is this new to you?
Gosh!
Hujasoma tangazo la NSSF vizuri kwahiyo hujui unachocomment hapa. Rudia kulisoma utaona kitu. Wanaotakiwa kuomba ni wenye "fixed contract" tu.
 
Kodi unalipia matak😠😠 wakati huna ajira, hembu kaa kimya maskini wewe
 
Mtoto wa kigogo= kigogo

Mtoto wa mkulima= mkulima

Mtoto wa nyoka = nyoka


πŸ˜‚πŸ˜‚ Sio lazima wote tukae ofisini wengine kalimeni viazi, tupate michemsho wakati wa lunch na bei tutawapangia msisahau

Utumishi walitutesa sana, ni zamu yetu hii
 
Hasara ya kuvimbiwa hii ubongo lazima ugeuke uwe ujiuji ukizungukwa na kamasi, unalichokiandika ndo matokeo ya kamasi iz, hii inaonyesha namna ulivyokilaza na malezi ya ovyo uliyopewa, dah watu najisi wanazidi kuongezeka na sio bure ni dalili mmojawapo ya🌈 laana mkubwa kabisa
 
Jikite kwenye hoja, ofisi ni chache mtatosha wote...? Acheni wachache waliobahatika wachukue nafasi wamezihangaikia ujue mbwa wewe
 
Hao wanaojitolea wameshindanishwa na nani hadi wakapata nafasi ya kujitolea?
PSRS wanaangalia umasikini wa mtu au alama zako kwenye usaili?
Tatizo ni moja, VIJANA wengi wanategemea TANGAZO lipostiwe Ndio waombe kitu ambacho si sahihi.

Kuna watu wanatembea na BAHASHA huku na kule wanaenda front kutafuta kazi, sio kwa NSSF tu fatilia MIFUKO yote ya BIMA au yenye mlengo huo uone kama wanatangaza NAFASI za Internship.

Maombi wanapokea ni Mengi individually hivyo wanayachakata kama nafasi ipo mtu anaitwa kuanza.

Usitegemee hata siku moja et wawaite watu kuomba Internship never, watu wenyewe ndio wanaomba.

Haiiingii akilini una request 1000 za Internship alafu utoe tangazo la kuomba watu waombe INTERNSHIP.

USHAURI kwa VIJANA waende FRONT waombe AJIRA/INTERNSHIP popote bila kusubiri TANGAZO wajanja ndio wanaijua hii mbinu wanaenda FRONT mapema na bahasha zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…