Kutangaza nafasi za ajira kwa watu "Wa ndani ya NSSF" ni Ubaguzi, Rais Samia ingilia kati, unachonganishwa na wananchi!

Kutangaza nafasi za ajira kwa watu "Wa ndani ya NSSF" ni Ubaguzi, Rais Samia ingilia kati, unachonganishwa na wananchi!

Bro, nimehustle kupata KAZI na niliandika hadi UZI humu wa kuomba KAZI.

Kuna watu ukiwaambia fanyeni INTERNSHIP wanakuona unaenda kupoteza muda.

Faida ya hizi Internship ni kwamba TAASISI unaijua na wao wanakujua yaani nitumie maneno ya KITAALAMU.

KTK HR processing kuna kitu kinaitwa ORG CULTURE mtu ambae hafiti kwenye CULTURE huwezi kufanya nae kazi na mkafikia malengo.

Sasa tyr mna nguvu kazi ambayo imefikia malengo mliyowekeana, anaijua Taasisi, anajua kufanya kazi (No need of TRAINING/OJT) anafanya kazi vzr. Utakuwa ni upuuzi kumuacha huyu ukachukua mwingine huko nje.. Hii mimi siikubali.

Wa ndani apewe PRIORITY.

Jana hapa kuna Uzi ulipostiwa kuna Intern wa Hospital ya Kaskazin huko wanalia posho etc. Em vaa viatu vya hao Intern wanahangaika wanafanya kazi kubwa kwa posho ndogo leo hii zitoke nafas za kazi et wasipewe wao waajiriwe wengine. INAKUIJIA AKILINI? tukiweka UNAFKI na UBINAFSI Pembeni?
Culture culture ndio upuuzi gani wewe ? .Hayo ni mashirika ya umma ,kila mtu ana haki ya kuomba na kushindana kupata kazi ,acha upuuzi wenu huo wa kujihisi nyie ndio wateule mnaijipa entitlement ya kupata hizo kazi .
Who the fvck are you ?
Kazi zirudishwe psrs kila mtu apewe Chande sawa ya kushindana.
Ninyi ndio vilaza vyeti feki na watumishi hewa ,mnataka muingie kwenye system kinyemela tu .
Unajua hata madhumuni ya kuanzishwa mfumo wa PSRS wewe ? ,Au unadhani psrs ilianzishwa kama pambo tu ?
Mnakera sana
 
Tatizo ni moja, VIJANA wengi wanategemea TANGAZO lipostiwe Ndio waombe kitu ambacho si sahihi.

Kuna watu wanatembea na BAHASHA huku na kule wanaenda front kutafuta kazi, sio kwa NSSF tu fatilia MIFUKO yote ya BIMA au yenye mlengo huo uone kama wanatangaza NAFASI za Internship.

Maombi wanapokea ni Mengi individually hivyo wanayachakata kama nafasi ipo mtu anaitwa kuanza.

Usitegemee hata siku moja et wawaite watu kuomba Internship never, watu wenyewe ndio wanaomba.

Haiiingii akilini una request 1000 za Internship alafu utoe tangazo la kuomba watu waombe INTERNSHIP.

USHAURI kwa VIJANA waende FRONT waombe AJIRA/INTERNSHIP popote bila kusubiri TANGAZO wajanja ndio wanaijua hii mbinu wanaenda FRONT mapema na bahasha zao.
Lkn hoja hiyo hai- legitimize process ya recruitment internally Kwa nafasi zote hizo Kwani NSSF ni Public Entity yenye masilahi mapana ya Kila mwananchi.
Hata hivyo,ruhusa Kwa Taasisi hizo kuajiri wenyewe badala ya PSRS sidhani ilimaanisha wapunguze ushindani Kwa kuzuia wengine wasiombe,bali wangetangaza Kwa Kila mwenye sifa aombe na wao wangekuwa strict kwenye SHORTLIST na INTERVIEW na kuzingatia uzoefu wa kazi husika ambapo obvious watu competent wangepatikana ikiwemo Hawa walioko INTERN na Wenye FIXED CONTRACT,otherwise hiyo ni kama kupeana ushindi wa mezani
 
Kwani ww ulipoomba hapo internal ulikuwa unajua au ndo baada ya kujua unaleta dharau zako....
Nini maana ya kutoa training kwa waajiriwa wap!!!
Alafu unasisitiza MIMI sio Mnafiki
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Ukianza kazi kama Intern ni taasisi chache sana zitakazopoteza RESOURCES kukupa training, hata ktk MPANGO wa Mafunzo (TP) TRAINEE huwa Haingii.
KWANZA una kiwango gani cha Elimu? Nisiwe natwanga maji kwenye kinu hapa.
 
Mimi sio MNAFKI.
nimefanya kazi ktk International Organization na nilifanya INTERN ktk Taasisi kubwa tu ya serikali.

Nimeona changamoto na mapungufu ya recruitment processes. Siongelei kiushabiki hapa.
Ule ujinga wa kuomba mtu PSRS alafu anakuja mtu MWEUPE kichwani na kazi ni technical alafu INTERN ndio anamfundisha kazi huyo MWAJIRIWA mpya.

Hayo nimeyaona. Siwez kuongea sanaaa maana tyr AKILI zenu zimehamia TUMBONI hamfikirii Utendaji kazi mnafikiria namna ya kujikwamua kiuchumi. Ndio maana MASKINI wengi ni WEZI hata wakiajiriwa wanafkiria Kuiba na maendeleo ya haraka haraka. Nje ya kufikiria nijiboreshe vipi kiutalaam na ni vip nitaboresha maslahi ya Taasisi kwa ujumla.

Nakupa hii.

US Embassy recruitment yao inampaka REFERRAL yaan kama hakuna mtu anakujua pale UBALOZINI ww hutoboi. Unajua ni kwanin? Sina JIBU.
Hongera sana kwa kuwa tajiri, ni ili linaonyesha ni namna gani ulivyo mbinafsi, na wewe pia najua ni mmojawapo wawapenyezaji watu wako wa intern uko..
 
Umeongea umemaliza kaka,asiekuelewa aendelee ,kazi ni za kuzisaka jamani door to door yani mtu una relax ndani unataka kazi zitangazwe kwenye mtandao ndiyo uombe sawa ndiyo umeaminishwa hivyo ila nashauri vijana fanyeni door to door gonga dondosha bahasha omba kazi/ internship
Haya Majinga yamejazana ktk Magrp ya Whatsapp yanatagemea link itumwe au PDF itumwe ndio wakimbilie kuomba.

Wenzao wanasaka mlango kwa mlango. Alafu wanakuja kupiga makelele
 
Bro, nimehustle kupata KAZI na niliandika hadi UZI humu wa kuomba KAZI.

Kuna watu ukiwaambia fanyeni INTERNSHIP wanakuona unaenda kupoteza muda.

Faida ya hizi Internship ni kwamba TAASISI unaijua na wao wanakujua yaani nitumie maneno ya KITAALAMU.

KTK HR processing kuna kitu kinaitwa ORG CULTURE mtu ambae hafiti kwenye CULTURE huwezi kufanya nae kazi na mkafikia malengo.

Sasa tyr mna nguvu kazi ambayo imefikia malengo mliyowekeana, anaijua Taasisi, anajua kufanya kazi (No need of TRAINING/OJT) anafanya kazi vzr. Utakuwa ni upuuzi kumuacha huyu ukachukua mwingine huko nje.. Hii mimi siikubali.

Wa ndani apewe PRIORITY.

Jana hapa kuna Uzi ulipostiwa kuna Intern wa Hospital ya Kaskazin huko wanalia posho etc. Em vaa viatu vya hao Intern wanahangaika wanafanya kazi kubwa kwa posho ndogo leo hii zitoke nafas za kazi et wasipewe wao waajiriwe wengine. INAKUIJIA AKILINI? tukiweka UNAFKI na UBINAFSI Pembeni?
Huo uzoefu uliopata kama Intern inatakiwa ukusaidie kushinda kwenye FAIR Competition lakini siyo kulilia ushindi wa mezani Kwa ku- restrict wengine wasiombe nafasi
 
Culture culture ndio upuuzi gani wewe ? .Hayo ni mashirika ya umma ,kila mtu ana haki ya kuomba na kushindana kupata kazi ,acha upuuzi wenu huo wa kujihisi nyie ndio wateule mnaijipa entitlement ya kupata hizo kazi .
Who the fvck are you ?
Kazi zirudishwe psrs kila mtu apewe Chande sawa ya kushindana.
Ninyi ndio vilaza vyeti feki na watumishi hewa ,mnataka muingie kwenye system kinyemela tu .
Unajua hata madhumuni ya kuanzishwa mfumo wa PSRS wewe ? ,Au unadhani psrs ilianzishwa kama pambo tu ?
Mnakera sana
Kuna TAASISI hizo hizo za serikali ww hauna HAKI ya kupata AJIRA.

AJIRA sio haki ya Kila Mtanzania.

Ajira upate basi UFITI na vigezo na masharti yanayoambatana na AJIRA husika.

Toeni hiyo DHANA ya Ajira ni haki kwa kila MTANZANIA na muamini kwamba AJIRA NI KWA YULE MWENYE VIGEZO husiku/STAHIKI.
 
Ukianza kazi kama Intern ni taasisi chache sana zitakazopoteza RESOURCES kukupa training, hata ktk MPANGO wa Mafunzo (TP) TRAINEE huwa Haingii.
KWANZA una kiwango gani cha Elimu? Nisiwe natwanga maji kwenye kinu hapa.
Kwa mtu aliyesoma fani akaelewa,kazi nyingi kama hizo za NSSF siyo Sky- Rocketing ni za kawaida sana mtu akipewa ORIENTATION ya one or two weeks ana master Kila kitu tusiwanyime wengine ridhiki Kwa cheap justification
 
Kuna TAASISI hizo hizo za serikali ww hauna HAKI ya kupata AJIRA.

AJIRA sio haki ya Kila Mtanzania.

Ajira upate basi UFITI na vigezo na masharti yanayoambatana na AJIRA husika.

Toeni hiyo DHANA ya Ajira ni haki kwa kila MTANZANIA na muamini kwamba AJIRA NI KWA YULE MWENYE VIGEZO husiku/STAHIKI.
Namashaka Sana na elimu yako pitia vizuri Uzi mkuu Acha kutunisha misuli ya kichwa shirikisha na ubongo pia elewa Uzi huu unasemaje, serikali haina uwezo wa kuajiri wasomi wote, Ila kuwe na Mfumo wa haki katika utafutaji wa izo Ajira.
 
Lkn hoja hiyo hai- legitimize process ya recruitment internally Kwa nafasi zote hizo Kwani NSSF ni Public Entity yenye masilahi mapana ya Kila mwananchi.
Hata hivyo,ruhusa Kwa Taasisi hizo kuajiri wenyewe badala ya PSRS sidhani ilimaanisha wapunguze ushindani Kwa kuzuia wengine wasiombe,bali wangetangaza Kwa Kila mwenye sifa aombe na wao wangekuwa strict kwenye SHORTLIST na INTERVIEW na kuzingatia uzoefu wa kazi husika ambapo obvious watu competent wangepatikana ikiwemo Hawa walioko INTERN na Wenye FIXED CONTRACT,otherwise hiyo ni kama kupeana ushindi wa mezani
Inabidi Tujue ni Nafasi Gani hasa. Hilo moja.

Kuna kazi hata ufanyeje watatoka watu wa humo humo ktk pool. Na hao ndio priority ya kwanza..

Wakisema waweke experience 2yrs utaskia MALALAMIKO ohh SISI WATOTO WAMASKINI sijui nn
 
Hivi ni kweli mama Samia utakaa kimya katika hili? Hili la kuwatenga watanzania walio wengi kwenye fursa ya ajira huko NSSF? Au utajiunga na baadhi ya wana CCM wenye roho ngumu ambao husema "kelele za chura hazimzuii mtu kuteka maji". Kilio na malalamiko haya ni makubwa sana, na tegemeo la wananchi ni kuona Rais wao akiwatetea dhidi ya vigogo wanaojali matumbo yao tu na yale ya watoto wao basi!! Vigogo hao tayari walishapeleka watoto wao na jamaa zao kwenye taasisi mbalimbali za umma "kwa gia ya kujitolea" na mikataba mifupi. Halafu yakaanza kampeni hadharani kutaka waliojitolea wapewe kipaumbele!! Rais wetu mpendwa chonde chonde usilalie upande wa vigogo hao wenye uroho na ubinafsi uliokithiri. Ninajua NSSF wakiachwa waendelee na ubaguzi huu, mashirika mengine yatafuata!
 
Hongera sana kwa kuwa tajiri, ni ili linaonyesha ni namna gani ulivyo mbinafsi, na wewe pia najua ni mmojawapo wawapenyezaji watu wako wa intern uko..
Ukiwa KICHWA why nisikufanyie RECOMMENDATIONS?? Binafsi nahusudu sana mfumo wa HEAD HUNTING haujawahi kufeli huo mfumo.

Ila huu ujinga wa KUITANA watu 30k mnafanyishwa mitihani ni upuumbavu kabisa. Sitaki hata kuusikia
 
Namashaka Sana na elimu yako pitia vizuri Uzi mkuu Acha kutunisha misuli ya kichwa shirikisha na ubongo pia elewa Uzi huu unasemaje, serikali haina uwezo wa kuajiri wasomi wote, Ila kuwe na Mfumo wa haki katika utafutaji wa izo Ajira.
Wewe si nimekuuliza uliomba nafasi gani hujanijibu? Uliomba lini? Na kwa njia gani?

Na uniambie hilo tangazo ulipata wapi wakati unasema Hawatangazi nafasi.
 
Kwa mtu aliyesoma fani akaelewa,kazi nyingi kama hizo za NSSF siyo Sky- Rocketing ni za kawaida sana mtu akipewa ORIENTATION ya one or two weeks ana master Kila kitu tusiwanyime wengine ridhiki Kwa cheap justification
Mfano kazi gani labda. Ya kufundishwa wiki moja au mbili?
Itaje.
 
Ukiwa KICHWA why nisikufanyie RECOMMENDATIONS?? Binafsi nahusudu sana mfumo wa HEAD HUNTING haujawahi kufeli huo mfumo.

Ila huu ujinga wa KUITANA watu 30k mnafanyishwa mitihani ni upuumbavu kabisa. Sitaki hata kuusikia
Head Hunting mostly hufanyika kwa nafasi chache na unique and Very Specialized Jobs like Neuro Surgeon etc lakini siyo Kwa hizi Entry Jobs Kwa wingi huu wa 300+ kama hizi za NSSF
 
Wewe si nimekuuliza uliomba nafasi gani hujanijibu? Uliomba lini? Na kwa njia gani?

Na uniambie hilo tangazo ulipata wapi wakati unasema Hawatangazi nafasi.
Nilipita mlango kwa mlango majibu niliyopewa basi...kwa nafasi za intern walizotangaza pia niliomba na nilitwa
 
Back
Top Bottom