Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani inakuwaje unatembea na mke wa mtu mpaka unazaa nae.
Hili ni jambo hatari sana katika jamii yetu.
Kuna hatari gani hapo?Yaani inakuwaje unatembea na mke wa mtu mpaka unazaa nae.
Hili ni jambo hatari sana katika jamii yetu.
Mambo hatari ni Yale amabayo akili imeyatafsiri .Katika jamii yetu hayo ndo mambo hatari sana kama alivyoainisha mweka mada!, ila kwa wenzetu cyber crime, biological weapons pamoja na nuclear bomb hayo ndo mambo ya hatari kila mtu anayaogopa!.
Mengine hata sio hatari, hatari zipo za aina nyingi zipo mpaka za kisaikolojia watu wanapandikizwa vitu kichwani wanacharuka mpaka wanavaa mabomu anakuja kujilipua nalo!, hii ndio aina ya hatari mbovu, mbaya maana huyu akipata siraha yoyote mmekwisha!.Mambo hatari ni Yale amabayo akili imeyatafsiri .
😁😁😁😁👆Mengine hata sio hatari, hatari zipo za aina nyingi zipo mpaka za kisaikolojia watu wanapandikizwa vitu kichwani wanacharuka mpaka wanavaa mabomu anakuja kujilipua nalo!, hii ndio aina ya hatari mbovu, mbaya maana huyu akipata siraha yoyote mmekwisha!.
Sasa hiyo ni sawa na hii ya mweka mada!, kwamba mtu akitembea na mke wa mtu ni hatari!.
Mke ama mume akishatoka nje jua ndo kwisha hata umzuru yoyote ni sawa na hakuna kitu, binadamu akilitaka jambo lake utapambana ufe!
Kuliwa kiboga na mwenye mke.Kuna hatari gani hapo?
Si mpaka ukamatweKuliwa kiboga na mwenye mke.
Hii ndio ile kupanga ni kuchagua.Katika jamii yetu hayo ndo mambo hatari sana kama alivyoainisha mweka mada!, ila kwa wenzetu cyber crime, biological weapons pamoja na nuclear bomb hayo ndo mambo ya hatari kila mtu anayaogopa!.