Hawa ndio ma-IT wetu sasa, kila siku wao wapo kwenye ofa app unapata bure na website unapata bure 😆Akikujib nitag..Nimepata na wasiwasi baada ya kutaja
laki 3 [emoji28]
Hata unakoenda kununua bidhaa dukani,kuna bei ya bidhaa Fulani ukitajiwa lazima ushtuke.Jamaa amenishtua alipotaja laki 3
Toa ufafanuziMkuu nadhani hapo kwenye laki 3 umetype vibaya
Kila kitu unaweza kupata bure kwenye mtandao kama unajua namna ya kukipataHawa ndio ma-IT wetu sasa, kila siku wao wapo kwenye ofa app unapata bure na website unapata bure 😆
Software ya kuingiza mamilioni Kuidevelop ni Laki tatu tu za Kitanzania😂Wewe ni IT wa Bongo? Au nchi gani?
Hata bure unaweza kupata kama unajua namna ya kupataSoftware ya kuingiza mamilioni Kuidevelop ni Laki tatu tu za Kitanzania😂
Aisee kama kila kitu kinapatikana bure kwa nini serikali huwa inaingia gharama za kutisha kuunda mifumo mfano kama GepG si wangeushusha tu mtandaoni waka host tu kwa gharama ndogo au ndio janja janja za hawa ma-IT wetu ?Kila kitu unaweza kupata bure kwenye mtandao kama unajua namna ya kukipata
Kuna gharama ndogo za kawaida zinazofahamika wazi, hosting na domain, vingine vyote baada ya hapo unaweza kupata bure
Ila IT specificiliasts wengi hawapendi kutoa msaada wa bure
Mfumo huo umetoka mbinguni au umeundwa na watu?Aisee kama kila kitu kinapatikana bure kwa nini serikali huwa inaingia gharama za kutisha kuunda mifumo mfano kama GepG si wangeushusha tu mtandaoni waka host tu kwa gharama ndogo au ndio janja janja za hawa ma-IT wetu ?
Vitu sio rahisi hivyo-Ulivyosema hapa ndo mawazo ya vijana wengi wa Tanzania.Akili zao wengi wanafikiria vitu vingi au vyote ni easy kama vile kwenye Movies na Series mnazoangalia kila kukicha. Unajua kuwa Unatakiwa kuprotect(kulinda) mfumo wako agaist Hackers,Virus na Ransoms?? Kwa Back ground vitu sio rahisi kama inavyoonekanaKila kitu unaweza kupata bure kwenye mtandao kama unajua namna ya kukipata
Kuna gharama ndogo za kawaida zinazofahamika wazi, hosting na domain, vingine vyote baada ya hapo unaweza kupata bure
Ila IT specificiliasts wengi hawapendi kutoa msaada wa bure
Sawa kama alifanya coding ni Malaika wako au mzazi wako hapo nakubariana na wewe kuwa utapata free.Wewe unasema projects za wanafunzi wa India,Pakstani na kwengineko Asia zilizojaa kwenye Internet-ila linapokuja kuwa na App ya kumake Money umakini unahitajikaHata bure unaweza kupata kama unajua namna ya kupata
Kwani wewe huwezi kufanya hizo coding?Sawa kama alifanya coding ni Malaika wako au mzazi wako hapo nakubariana na wewe kuwa utapata free.Wewe unasema projects za wanafunzi wa India,Pakstani na kwengineko Asia zilizojaa kwenye Internet-ila linapokuja kuwa na App ya kumake Money umakini unahitajika
Umeundwa na watu ambao ni wafanyakazi wa hapo hapo serikalini na walikuwa wanalipwa hela nyingi tu nje ya mshahara wa kawaida kwa ajili ya kutekeleza hiyo project.Mfumo huo umetoka mbinguni au umeundwa na watu?
Kama umeundwa na watu hao watu hawawezi kuwepo huko serikalini kama serikali ikitaka kuwa nao?
Ingelikuwa hivi basi makampuni ya huko kwa wenzetu yasingekuwa yanawekeza millions of dollars katika kuajili wataalam mbalimbali katika development.Kila kitu unaweza kupata bure kwenye mtandao kama unajua namna ya kukipata
Kuna gharama ndogo za kawaida zinazofahamika wazi, hosting na domain, vingine vyote baada ya hapo unaweza kupata bure
Ila IT specificiliasts wengi hawapendi kutoa msaada wa bure
Sawa acha ninyamaze pia. Nimekuonyesha sampuli ya kitu Wabongo wanaweza fanya. Naona ume ignore.
But nikwambie tu kuwa hata huko India kuna tatizo. Nimewahi shuhudia project imefanywa na mbongo, jamaa wakaamua kutumia wahindi... kufupisha stori ni kuwa project haikuendelea beyond alipoiacha mbongo. Na waliishia ku terminate contract.
Nadhani pamoja na ma IT wa Bongo kuwa sifuri, hawajui, na pamoja na kuwa hakuna software za maana zilizotengenezwa Bongoland na Wabongo, kuna haja ya kupunguza emotions kwenye hili na kuwa logical. Unasema Wakenya ndio wanaweza, muulize MK254 kama kenya hakuna wakora wa IT. Kila nchi ina matapeli na kila nchi ina wataalam wazuri.... Except Bongoland of course ambayo IT wake ni sifuri, zero kabisa 😉
IT wa Bongo umetisha. Nimecheka kwa sauti mpaka daah!Kila kitu unaweza kupata bure kwenye mtandao kama unajua namna ya kukipata
Kuna gharama ndogo za kawaida zinazofahamika wazi, hosting na domain, vingine vyote baada ya hapo unaweza kupata bure
Ila IT specificiliasts wengi hawapendi kutoa msaada wa bure
Ndivo mnafanya. Unalipwa mil 30 unaenda kuedit template huko unajifanya guru wa coding[emoji23][emoji23].IT wa Bongo umetisha. Nimecheka kwa sauti mpaka daah!
Kwani na mimi ni IT wa Bongo?Ndivo mnafanya. Unalipwa mil 30 unaenda kuedit template huko unajifanya guru wa coding[emoji23][emoji23].
Wewe ni mbongo sio IT wa bongo.Kwani na mimi ni IT wa Bongo?
Mi sio IT kabisaa. Tena IT wa Bongo? Nitake radhi kabisa!
Ingelikuwa hivi basi makampuni ya huko kwa wenzetu yasingekuwa yanawekeza millions of dollars katika kuajili wataalam mbalimbali katika development.
Haya ndiyo yanawafanya watu waonema IT wabongo hakuna kitu. Hata ukichukua script lazima ziboreshwe ziongezwe security ziwe customized.Chief mkwawa alikuambia zipo scripts
Stephano akakuambia hizo ni classified ads templates
Unataka kunipotezea muda wangu bure
Nnaishi Kwa Coding .Coding ndo inanipa Kula Mademu na BeerKwani wewe huwezi kufanya hizo coding?