jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Wanachukua bidhaa gani wanazoenda kuuza.?Hawa jamaa wanajiitaga makoti. Utakutana nao nje ya mji wakiwa na mizigo kwenye mifuko mikubwa ya sulphate maarufu kama "shangazi kaja". Mara nyingi huvaa rain buti kutokana na routes wanazokuwa nazo kwenye vichochoro vyenye vumbi.
Kariakoo wanachukua bidhaa kwa bei flan halafu wanaenda kuchuuza nje kabisa ya mji.
Ni watu wanaoona mbali sana. Kwao sh laki tatu huwaingizia laki tano. Hapo faida n laki 2 kwa siku.
Kama unamfahamu ungeweza kumfuatilia kimya kimya ungepata elimu utengeneze mpungaIntelegent quiz hakuna kisichowezekana duniani,ipo njia ispokuwa utakuta ni mchongo wa mtu fulani mchoyo,wapo watu au mtu ambaye namfahamu hutoka asb na laki 3 tu na kuingia nayo kariakoo,jioni hurudi na laki 5,anapiga mishe gani hasemi hata kidogo.
Idea nzuri sana,Kuna kipindi nliweka uzi hapa ikaonekana n kama napigia promo ka biashara kangu ka kubangaiza ka kuuza wavu za kuvua samaki.
Kumbe kuna jambo nlitaka nisaidie raia.
Anyway, uvuvi n moja ya sekta isiyokuwa na complications ktk uwekezaji.
Tukiachana na uvuvi mkubwa, kuna uvuvi mdogo ambao uwekezaji wake hauwez kuzidi hata 1mil na kwa siku ukawepo uwezekano wa mtu kupiga zaid ya 70k.
Shida n kwamba vijana hatutaki habari za uvuvi.
Usijali mkuu, nakucheki soon.Idea nzuri sana,
Hapa juzi kati nilipata fursa ya kwenda Kisiwani, Kisiwa maarufu tu hapa nchini,
Nilipata nafasi kuzungumza na watu kiasi chake kuhusu biashara ya uvuvi kama unavyo sema mchangiaji wa mada kwenye uzi huu wa kutengeneza million tatu kwa mwezi kwa mtaji wa laki tano tu.
Kama upo serious na biashara hii ya uvuvi naomba tuwasiliane baada ya hizi sikukuu za mwisho wa mwaka, email; tuwasilianesasa@gmail.com
Pamoja sana, email me, tuwasilianesasa@gmail.comUsijali mkuu, nakucheki soon.
Mkuu una ujuzi na biashara za msokoni?Superrrrrr edia na kama hupendi hiyo nenda kwa wakulima nunua kwa jumla leta mzigo sokoni alfajiri uza kwa jumla hukosi 50 kwa siku so miezi miwili ushapata 3M utakuja kunishukuru .
Tupe nondo uvuvi kwa mtaji wa laki 5Kuna kipindi huwa nawish kuwashawishi vijana wawekeze kwenye uvuvi lkn huwa nagundua kuwa wengi wetu hatuna ndoto za kutoka mijini.
Yaani bro ni huzuni. Vijana kama hawa wanaopenda shortcut ni mzigo mzito kwa taifa.Ukijipata Unazalisha 3M kwa Mtaji Wa Laki Tano ndani Ya Mwezi....Jua Kuna Sehemu unafanya 'Dhulma'.....Kifupi hautokwenda Mbinguni.
Embu Fikiria Aliyenunua Bodaboda kwa 2.5 M kwa Mwaka hardly anatengeneza kati ya Laki 7 mpaka Laki 9 na hiyo boda anamwachia dereva.
Think wisely,think twice...
Mkubwa hiyo avatar ya Hamza itakuletea matatizo makubwa🤣🤣🤣🤣
Huwezi kutengeneza milioni 3 ndani ya mwezi mmoja from zero capital labda uwe jambazi
elezea kiundani zaidi mkuu process zake hadi inapatikana hiyo elfu 70.Kuna kipindi nliweka uzi hapa ikaonekana n kama napigia promo ka biashara kangu ka kubangaiza ka kuuza wavu za kuvua samaki.
Kumbe kuna jambo nlitaka nisaidie raia.
Anyway, uvuvi n moja ya sekta isiyokuwa na complications ktk uwekezaji.
Tukiachana na uvuvi mkubwa, kuna uvuvi mdogo ambao uwekezaji wake hauwez kuzidi hata 1mil na kwa siku ukawepo uwezekano wa mtu kupiga zaid ya 70k.
Shida n kwamba vijana hatutaki habari za uvuvi.
Mkuu maana yake hapo huyo jamaa alikuwa anauza nyavu haramu.Kuna kipindi nilienda kusini huko,
ndugu yangu wa karibu alikuwa anauza nyavu za uvuvi, nyavu fulani ukikamatwa na wahusika, yatakupata ya Sabaya.
alikuwa ananunua wavu moja elfu arobaini mpaka hamsini kwa kule nyumbani.
akifika kusini huku anauza wavu moja laki mbili mpaka tatu.
wavu zilikuwa zikifika asubuhi saa kumi na mbili, mpaka saa nne asubuhi zote zimeisha.
alikuwa analeta wavu 30 mpaka 50 kwa safari moja.