Kutengeneza milioni 3 ndani ya mwezi mmoja

Kutengeneza milioni 3 ndani ya mwezi mmoja

Hawa jamaa wanajiitaga makoti. Utakutana nao nje ya mji wakiwa na mizigo kwenye mifuko mikubwa ya sulphate maarufu kama "shangazi kaja". Mara nyingi huvaa rain buti kutokana na routes wanazokuwa nazo kwenye vichochoro vyenye vumbi.

Kariakoo wanachukua bidhaa kwa bei flan halafu wanaenda kuchuuza nje kabisa ya mji.

Ni watu wanaoona mbali sana. Kwao sh laki tatu huwaingizia laki tano. Hapo faida n laki 2 kwa siku.
Wanachukua bidhaa gani wanazoenda kuuza.?

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabet man tafuta odd ya 6 tuu yan chukua timu 2 au 3 then tia mzigo wote uwo utapata ela unayoiota
 
Intelegent quiz hakuna kisichowezekana duniani,ipo njia ispokuwa utakuta ni mchongo wa mtu fulani mchoyo,wapo watu au mtu ambaye namfahamu hutoka asb na laki 3 tu na kuingia nayo kariakoo,jioni hurudi na laki 5,anapiga mishe gani hasemi hata kidogo.
Kama unamfahamu ungeweza kumfuatilia kimya kimya ungepata elimu utengeneze mpunga
 
Kuna kipindi nliweka uzi hapa ikaonekana n kama napigia promo ka biashara kangu ka kubangaiza ka kuuza wavu za kuvua samaki.
Kumbe kuna jambo nlitaka nisaidie raia.

Anyway, uvuvi n moja ya sekta isiyokuwa na complications ktk uwekezaji.
Tukiachana na uvuvi mkubwa, kuna uvuvi mdogo ambao uwekezaji wake hauwez kuzidi hata 1mil na kwa siku ukawepo uwezekano wa mtu kupiga zaid ya 70k.

Shida n kwamba vijana hatutaki habari za uvuvi.
Idea nzuri sana,
Hapa juzi kati nilipata fursa ya kwenda Kisiwani, Kisiwa maarufu tu hapa nchini,
Nilipata nafasi kuzungumza na watu kiasi chake kuhusu biashara ya uvuvi kama unavyo sema mchangiaji wa mada kwenye uzi huu wa kutengeneza million tatu kwa mwezi kwa mtaji wa laki tano tu.
Kama upo serious na biashara hii ya uvuvi naomba tuwasiliane baada ya hizi sikukuu za mwisho wa mwaka, email; tuwasilianesasa@gmail.com
 
Idea nzuri sana,
Hapa juzi kati nilipata fursa ya kwenda Kisiwani, Kisiwa maarufu tu hapa nchini,
Nilipata nafasi kuzungumza na watu kiasi chake kuhusu biashara ya uvuvi kama unavyo sema mchangiaji wa mada kwenye uzi huu wa kutengeneza million tatu kwa mwezi kwa mtaji wa laki tano tu.
Kama upo serious na biashara hii ya uvuvi naomba tuwasiliane baada ya hizi sikukuu za mwisho wa mwaka, email; tuwasilianesasa@gmail.com
Usijali mkuu, nakucheki soon.
 
Superrrrrr edia na kama hupendi hiyo nenda kwa wakulima nunua kwa jumla leta mzigo sokoni alfajiri uza kwa jumla hukosi 50 kwa siku so miezi miwili ushapata 3M utakuja kunishukuru .
Mkuu una ujuzi na biashara za msokoni?
Bidhaa gani ambazo naweza kununua na kuuza , mie sina ujjuzi ila nataka kujaribu
 
Ni simpo ila ni ngumu kwa mtaji ulionao utapata ushauri mwingi sana lkn mtaji wako ni mdogo kutokana Na muda ulio jiwekea
 
Huu ndo upumbavu unaowafanya watu wengi wafeli. Kutaka hela nyingi kwa haraka. Angalau weka malengo kwamba mwezi huu wa kwanza utengeneze laki 5 nyingine, unaofuatia 1m, unaofuatia 2m, na ule wa tatu 4m. Sio ghafla from laki 5 to 3m.
 
Ukijipata Unazalisha 3M kwa Mtaji Wa Laki Tano ndani Ya Mwezi....Jua Kuna Sehemu unafanya 'Dhulma'.....Kifupi hautokwenda Mbinguni.
Embu Fikiria Aliyenunua Bodaboda kwa 2.5 M kwa Mwaka hardly anatengeneza kati ya Laki 7 mpaka Laki 9 na hiyo boda anamwachia dereva.
Think wisely,think twice...
 
Ukijipata Unazalisha 3M kwa Mtaji Wa Laki Tano ndani Ya Mwezi....Jua Kuna Sehemu unafanya 'Dhulma'.....Kifupi hautokwenda Mbinguni.
Embu Fikiria Aliyenunua Bodaboda kwa 2.5 M kwa Mwaka hardly anatengeneza kati ya Laki 7 mpaka Laki 9 na hiyo boda anamwachia dereva.
Think wisely,think twice...
Yaani bro ni huzuni. Vijana kama hawa wanaopenda shortcut ni mzigo mzito kwa taifa.
 
Kuna kipindi nliweka uzi hapa ikaonekana n kama napigia promo ka biashara kangu ka kubangaiza ka kuuza wavu za kuvua samaki.
Kumbe kuna jambo nlitaka nisaidie raia.

Anyway, uvuvi n moja ya sekta isiyokuwa na complications ktk uwekezaji.
Tukiachana na uvuvi mkubwa, kuna uvuvi mdogo ambao uwekezaji wake hauwez kuzidi hata 1mil na kwa siku ukawepo uwezekano wa mtu kupiga zaid ya 70k.

Shida n kwamba vijana hatutaki habari za uvuvi.
elezea kiundani zaidi mkuu process zake hadi inapatikana hiyo elfu 70.
 
Kuna kipindi nilienda kusini huko,
ndugu yangu wa karibu alikuwa anauza nyavu za uvuvi, nyavu fulani ukikamatwa na wahusika, yatakupata ya Sabaya.


alikuwa ananunua wavu moja elfu arobaini mpaka hamsini kwa kule nyumbani.

akifika kusini huku anauza wavu moja laki mbili mpaka tatu.

wavu zilikuwa zikifika asubuhi saa kumi na mbili, mpaka saa nne asubuhi zote zimeisha.
alikuwa analeta wavu 30 mpaka 50 kwa safari moja.
Mkuu maana yake hapo huyo jamaa alikuwa anauza nyavu haramu.
Sasa je hakuna nyavu za halali ambazo zinaruhusiwa?
 
Back
Top Bottom