Kutoa kwenye ATM kwango cha laki nne kwa mkupuo mmoja ni kidogo sana, nashauri waongeze

Kutoa kwenye ATM kwango cha laki nne kwa mkupuo mmoja ni kidogo sana, nashauri waongeze

Ilitakiwa tuwe na noti za laki moja halafu ziweze kutoka zaidi ya ya 40 yaani 100,000 x 40 = 4,000,000 ipatikane kwa mkupuo
Divisibility itashindikana,pesa bora kwa mujibu wa sifa zake kiuchumi lazima iwe na uwezo wa kugawanyika(change),la sivyo uchumi utaathirika sana eneo la mabadilishano ya bidhaa na huduma.
 
Divisibility itashindikana,pesa bora kwa mujibu wa sifa zake kiuchumi lazima iwe na uwezo wa kugawanyika(change),la sivyo uchumi utaathirika sana eneo la mabadilishano ya bidhaa na huduma.
Mkuu mimi hata huo uchumi siuelewi sana ila sasa hivi hela imekuwa ngumu sana... kuitumia 100,000 imekuwa rahisi kama kuitumia 10,000 lakini kuipata imekuwa ngumu kama kupata 1,000,000 waongeze tu hizo noti
 
Divisibility itashindikana,pesa bora kwa mujibu wa sifa zake kiuchumi lazima iwe na uwezo wa kugawanyika(change),la sivyo uchumi utaathirika sana eneo la mabadilishano ya bidhaa na huduma.
USD 100 ni sawa na laki 3 kasoro za kibongo.

vipi hio dollar bill haina divisibility?
 
Noti 40 TU kwa ATM za zaman zile
Kwahiyo, kama zimewekwa elfu 10, kumi, basi mwisho ni laki nne. This means, kwa ATM zetu hizi huwezi kuilaumu bank kwa kufanya laki 4 kuwa ndo maximum amount ya ku-draw kwa mara moja. Ila wakifanya uhuni wa kuweka elfu 5 tano hapo ndo walaumiwe.
 
pale kimara TRA, moja inatoa 400k na moja inatoa 600k max
 
laki 4 kwa watu 50 kwa kutwa ni mil 20.

Atm inapaswa kuwa na Sh ngapi kwa watalaam?
ATM za zamani ambazo ndio nyingi hapa Tanzania NCR ATM’s, zina cassette nne za pesa na kila cassette ukiweka elfu kumi kumi inaweza kuweka 20M, so ATM ikiwa full loaded ni M80, yani cassette 1 inauwezo wa kuweka noti 2000 za pesa yeyote. Sasa basi sababu moja ya wao kufanya hivyo ni kutafuta faida sababu ATM ni kitengo cha pili kwa kuipa faida BANK, na sababu ya pili 80M sio nyingi kwa sehemu kama mbagala zinaicha chap alafu lawama zinaanza , especially kwa ATM ambazo zipo offsite, the same reason inafanya huwez kukuta shs 1000 kwenye ATM nyingi sababu ni loss kwa bank.
 
Tulisha discuss humu kwamba wanafanya wizi kama wizi mwingine ,ukitoa laki 4 means wanalamba chao 1500 hadi 2000 ,ukitoa tena wnachukua chao ,kuna uhuni mwingine wanaweka noti za elfu 5 hivyo max utachukua laki 2 tu na watalima buku jero hadi buku 2.
NMB ndio wana huo mchezo wa buku tano tano, CRDB kuna ATMs special za buku tano tano na nyingini ni wekundu tupu sijui kama wamebadilika sasa hivi.

Benki za kimataifa ni wekundu tupu.
 
USD 100 ni sawa na laki 3 kasoro za kibongo.

vipi hio dollar bill haina divisibility?
Divisibility ni ndani ya taifa inapotumiwa fedha husika lakini linapokuja suala la ununuaji na uuzaji wa pesa kimataifa kama hiyo dollar dhidi ya shilingi divisibility hatuizungumzi.Ndiyo maana kwenye soko la dunia dollar imefanywa kuwa universal currency(pesa pekee inayotymika kama kipimo cha thamani dhidi ya pesa nyingine) lakini haina maana kuwa dollar ipo juu ya fedha nyingine.Kuna pesa kama dinnar zipo juu sana kuliko hata hiyo dollar.Wamarekani wamekuwa tu wajanja kwenye makubaliano baina yao na nchi zote za G5 pesa yao ikafanywa universali currency.
 
Mkuu mimi hata huo uchumi siuelewi sana ila sasa hivi hela imekuwa ngumu sana... kuitumia 100,000 imekuwa rahisi kama kuitumia 10,000 lakini kuipata imekuwa ngumu kama kupata 1,000,000 waongeze tu hizo noti
Mkuu kiuchumi pesa inapaswa kuwa tu kichocheo cha mabadilishano na katika miiko yake haipaswi kila mtu awe nayo maana uchumi utashuka,inapaswa wachache wenye uwezo wa kuchochea huduma na bidhaa kama benki kuu na wawekezaji watengeneze mazingira ya watu kutoteseka kwa kupata mahitaji yao muhimu ya bidhaa na huduma na sio kujaza maburungutu ya pesa ndani.Kwa wewe mtafutaji wa pesa unapaswa kuwa sehemu ya wanaoitega pesa kupitia biashara,huduma,kipaji au wazo usijaribu kuitafuta pesa kwa nguvu zako mwenyewe mkuu kwa kutumia kazi za nguvu(physical work) utakufa na hutaipata kwa kiwango kikubwa.
 
Unatumia benki gani na rangi (aina) ya card yako kwanza?
Rangi ya card haihusiani kabisa na idadi ya noti ambazo Atm inatoa kwa muamala, kuna black card ambazo zinakuwa na daily limit ya hadi 20 millions kwa siku, lakini bado kwenye Atm itatoa mafungu ya laki nne nne.
Crdb wana zile Atm za touch screen, zenyewe limit ni laki 6 kwa muamala.
 
Tulisha discuss humu kwamba wanafanya wizi kama wizi mwingine ,ukitoa laki 4 means wanalamba chao 1500 hadi 2000 ,ukitoa tena wnachukua chao ,kuna uhuni mwingine wanaweka noti za elfu 5 hivyo max utachukua laki 2 tu na watalima buku jero hadi buku 2.
Sio wizi Atm machines zimekuwa designed kutoa noti 40 tu. Kadiri pesa inavyokuwa haina thamani ndo idadi ya noti zinazotoka kwe ye Atm inavyozidi kutakiwa kuwa nyingi.
Transaction ya 100 dollar bills kwa noti 40 sio pesa ndogo.
 
Sio wizi Atm machines zimekuwa designed kutoa noti 40 tu. Kadiri pesa inavyokuwa haina thamani ndo idadi ya noti zinazotoka kwe ye Atm inavyozidi kutakiwa kuwa nyingi.
Transaction ya 100 dollar bills kwa noti 40 sio pesa ndogo.

Uhuni wa kuweka elfu 5 ili maximum utoe laki 2....Kama elfu 10 zimeisha kwanini wasubiri mpaka ziieshe wakati kuna tracking ya kujua idadi ya noti zilizobaki? Hivi kwenye familia wanayoweka vitu stock ,yaani house girl/mama/baba mpaka vitu vinaisha inakuwa hamna mtu anayejua?
 
Uhuni wa kuweka elfu 5 ili maximum utoe laki 2....Kama elfu 10 zimeisha kwanini wasubiri mpaka ziieshe wakati kuna tracking ya kujua idadi ya noti zilizobaki? Hivi kwenye familia wanayoweka vitu stock ,yaani house girl/mama/baba mpaka vitu vinaisha inakuwa hamna mtu anayejua?
Mchezo huu sana upo nmb,
 
Bank nyingi bado zinamawazo ya kikoloni.Kuna bank ata kutoa milion 20 wanakukagua mara mbili mbili wakati nawao wala hawana uhadilifu wowote.Ni akili za kijima tu zinatusumbua.Laki 4 ni ndogo sana kama tuko serious na kasi ya kukuza uchumi na kulinda muda.
 
Ni kweli kwamba wanapaita faida lakini pia Kuna watu wanataka watoe 15,000 au 25,000, wakiweka noti zote za 10,000/- Hilo kundi litalalamika pia. Fikiria mtu ana 18,000 au 29,000 anataka atoe 15,000 au 25,000, itakuaje kama mashine imewekwa misimbazi tupu?
Azania bank atm zao kiwango cha chini ni 5000 cha juu laki 6 wamewezaje? Na ukitoa chini ya 300,000 atm inakuchanganyia noti za 5000 na 10,000
 
Back
Top Bottom