naomba nikupe mfano mdogo tu mkuu, wewe kwenu mlikuwa mnakula milo mitatu kila siku, hutajihisi uchungu watoto wako wakila milo miwili ?Kwahiyo unasomesha English Schools kwa presha/hofu tu ila sio matakwa yako, kwa maana ungekuwa uko huru wanao wangesoma Kayumba?
Mkuu shule sio muhimu sana kumpeleka private kitu muhimu ni ku spend muda na mwanao. Hakikisha bia yake ya kwanza anakunywa na wewe. Kaa nae karibu mfundishe jinsi ya kuwa mwanaume. Shule ni muhimu lakini watoto wa wasiojiweza wanatoboa kwa sababu wazazi wanakaa karibu na watoto.Chekechea na Primary nimesoma english medium private.
Sekondari Form 1 hadi 6 nimesoma Boarding private, Msosi Pilau kila J5 na J2, Ugali ni nadra sana.
Chuo kikuu sikupata mkopo ila si haba sikuwahi kupata changamoto za kiuchumi.
Rasmi na mimi nikawa baba, nikaanza kuwaza watoto waje kusoma KAYUMBA wakati mimi sijasoma huko ? Kwa jinsi wazazi walivyonipambania maisha ya shule yawe mepesi kweli watoto wangu waanze kwenda kayumba ?
Hali yangu ni tofauti na waliowahi kusoma kayumba, wao hata wakiwa matajiri wanaweza kusomesha watoto kayumba kwa uhuru, wana uzoefu na hizo shule kwahiyo wanaweza kuwasaidia watoto mawazo na ushauri, sasa mimi sijasoma kayumba wala siyajui mazingira yapoje nitamshauri nini mtoto ?
Hivi hata wazazi watanichukuliaje ? wamepambana nisome kwa raha kisha wajukuu wao niwasomeshe kayumba ??
Kwa mfano mwepesi, hata kama ulisoma kayumba, kwenu ulikuwa unakula milo mitatu, ni kwamba na wewe ukiwa mzazi kuna msukumo unakuingia upambane kuhakikisha watoto wanakula milo mitatu, vinginevyo utajihisi vibaya, nafsi haitakuwa na amani, utajisikiaje wazazi wako au ndugu zako wa karibu wakijua ?
Nina watoto watatu napambana mno watoto wasije pitia maisha ambayo mimi sikupitia,
Hadi sasa napambana sana japo kipato si kikubwa.
- First yupo form 1 boarding, ada milioni 2 na nusu kwa mwaka
- wa pili yupo Primary day ada laki 9.
- Huyu mwengine nae soon anaanza shule hio ya laki 9
- Sina mpango wa kuongeza mtoto wa tatu labda uchumi ukae sawa
Nimelenga hasa kuwarahisisha maisha watoto, kuhusu kufaulu hizo ni bidii zao na uwezo wao (hata kayumba kuna vipanga)
- Vyoo visafi kila siku vinasafishwa
- Chakula kizuri shuleni
- Mazingira tulivu
- Usafiri shuleni hadi nyumbani
- kutumia kiingereza kwenye masomo tangu shule ya msingi
- Kila mwanafunzi ana kiti na dawati lake
- Hakuna kujazana darasani
- kujifunza computer utotoni
- Library
- masomo ya kupika, kushona, kuchora, n.k.
- Marafiki wengi hutokea familia zinazojali malezi
- n.k.
Ninajua zipo shule za bei rahisi mfano kuna shule za serikali za englsh medium, shule za sekondari za jumuia ya wazazi, n.k. kwa research yangu zimetofautiana kidogo na Kayumba.
Kwa sasa nina miaka 36 kiuchumi bado najibana sana hasa kwasababu bado najenga ili nihamie kwangu, imenibidi nitembelea IST ili kupunguza gharama za mafuta, wife ana passo, Simu yangu ina miaka mitatu sijabadili, wife nae nashukuru anajua tunayopitia nae kapunguza vizinga
Kusomesha private kumelenga zaidi kumrahishia mtoto maisha ya shuleni kuzidi ufaulu.Mtoto wa Kayumba form anapata division one, wewe umetumia miaka minne kulipa school total million 20 halafu mtoto anapata division two.
Wazazi tuanze kutumia akili, wazazi wengi hawana akili hata kama wana degree.
Tafadhali kaka usipambane kwenye maisha kukwepa aibu, Bali pamban kutimiza malengo.Chekechea na Primary nimesoma english medium private.
Sekondari Form 1 hadi 6 nimesoma Boarding private, Msosi Pilau kila J5 na J2, Ugali ni nadra sana.
Chuo kikuu sikupata mkopo ila si haba sikuwahi kupata changamoto za kiuchumi.
Rasmi na mimi nikawa baba, nikaanza kuwaza watoto waje kusoma KAYUMBA wakati mimi sijasoma huko ? Kwa jinsi wazazi walivyonipambania maisha ya shule yawe mepesi kweli watoto wangu waanze kwenda kayumba ?
Hali yangu ni tofauti na waliowahi kusoma kayumba, wao hata wakiwa matajiri wanaweza kusomesha watoto kayumba kwa uhuru, wana uzoefu na hizo shule kwahiyo wanaweza kuwasaidia watoto mawazo na ushauri, sasa mimi sijasoma kayumba wala siyajui mazingira yapoje nitamshauri nini mtoto ?
Hivi hata wazazi watanichukuliaje ? wamepambana nisome kwa raha kisha wajukuu wao niwasomeshe kayumba ??
Kwa mfano mwepesi, hata kama ulisoma kayumba, kwenu ulikuwa unakula milo mitatu, ni kwamba na wewe ukiwa mzazi kuna msukumo unakuingia upambane kuhakikisha watoto wanakula milo mitatu, vinginevyo utajihisi vibaya, nafsi haitakuwa na amani, utajisikiaje wazazi wako au ndugu zako wa karibu wakijua ?
Nina watoto watatu napambana mno watoto wasije pitia maisha ambayo mimi sikupitia,
Hadi sasa napambana sana japo kipato si kikubwa.
- First yupo form 1 boarding, ada milioni 2 na nusu kwa mwaka
- wa pili yupo Primary day ada laki 9.
- Huyu mwengine nae soon anaanza shule hio ya laki 9
- Sina mpango wa kuongeza mtoto wa tatu labda uchumi ukae sawa
Kusomesha private kumelenga zaidi kumrahishia mtoto maisha ya shuleni, Suala la kufaulu wapo mpaka wanafunzi wanaokaa kwenye sakafui darasani wanapasua vibaya mno.
- Vyoo visafi kila siku vinasafishwa
- Chakula kizuri shuleni
- Mazingira tulivu
- Usafiri shuleni hadi nyumbani
- kutumia kiingereza kwenye masomo tangu shule ya msingi
- Kila mwanafunzi ana kiti na dawati lake
- Hakuna kujazana darasani
- kujifunza computer utotoni
- Library
- masomo ya kupika, kushona, kuchora, n.k.
- Marafiki wengi hutokea familia zinazojali malezi
- n.k.
Ninajua zipo shule za bei rahisi mfano kuna shule za serikali za englsh medium, shule za sekondari za jumuia ya wazazi, n.k. kwa research yangu zimetofautiana kidogo na Kayumba.
Kwa sasa nina miaka 36 kiuchumi bado najibana sana hasa kwasababu bado najenga ili nihamie kwangu, imenibidi nitembelea IST ili kupunguza gharama za mafuta, wife ana passo, Simu yangu ina miaka mitatu sijabadili, wife nae nashukuru anajua tunayopitia nae kapunguza vizinga
Kwa mfano mwepesi hata kama umesoma kayumba lakini ulipambaniwa ule milo mitatu (breakfast, lunch na dinner), ni kwamba na wewe ukiwa mzazi kuna msukumo unakuingia upambane kuhakikisha watoto wanakula milo mitatu, vinginevyo ni aibu yako binafsi hata kama utaifanya iwe siri.Tafadhali kaka usipambane kwenye maisha kukwepa aibu, Bali pamban kutimiza malengo.
Aibu haziishi kiongozi ila malengo unaweza kuyatimiza.
Hongera sana kwa kuwa na mawazo mema kwa familia yako, hongera sana kwa kuweza kupata mke anaeweza kusikilizana na mkakubaliana kwa yaliyo mema kwa maisha yenu na vizazi vyenu, naomba sana mumtumainie sana Mungu ktk mawazo yenu ili myatimize na kuwaombea sana watoto wenu waweze kuwa watiifu na wakamilifu ktk yale mnayo waongoza na kuwafunza, mbarikiwe sana.Chekechea na Primary nimesoma english medium private.
Sekondari Form 1 hadi 6 nimesoma Boarding private, Msosi Pilau kila J5 na J2, Ugali ni nadra sana.
Chuo kikuu sikupata mkopo ila si haba sikuwahi kupata changamoto za kiuchumi.
Rasmi na mimi nikawa baba, nikaanza kuwaza watoto waje kusoma KAYUMBA wakati mimi sijasoma huko ? Kwa jinsi wazazi walivyonipambania maisha ya shule yawe mepesi kweli watoto wangu waanze kwenda kayumba ?
Hali yangu ni tofauti na waliowahi kusoma kayumba, wao hata wakiwa matajiri wanaweza kusomesha watoto kayumba kwa uhuru, wana uzoefu na hizo shule kwahiyo wanaweza kuwasaidia watoto mawazo na ushauri, sasa mimi sijasoma kayumba wala siyajui mazingira yapoje nitamshauri nini mtoto ?
Hivi hata wazazi watanichukuliaje ? wamepambana nisome kwa raha kisha wajukuu wao niwasomeshe kayumba ??
Kwa mfano mwepesi, hata kama ulisoma kayumba, kwenu ulikuwa unakula milo mitatu, ni kwamba na wewe ukiwa mzazi kuna msukumo unakuingia upambane kuhakikisha watoto wanakula milo mitatu, vinginevyo utajihisi vibaya, nafsi haitakuwa na amani, utajisikiaje wazazi wako au ndugu zako wa karibu wakijua ?
Nina watoto watatu napambana mno watoto wasije pitia maisha ambayo mimi sikupitia,
Hadi sasa napambana sana japo kipato si kikubwa.
- First yupo form 1 boarding, ada milioni 2 na nusu kwa mwaka
- wa pili yupo Primary day ada laki 9.
- Huyu mwengine nae soon anaanza shule hio ya laki 9
- Sina mpango wa kuongeza mtoto wa tatu labda uchumi ukae sawa
Suala la kufaulu wapo wanafunzi wanaokalia ndoo wanapasua vibaya mno, Kusomesha private kumelenga zaidi kumrahishia mtoto maisha ya shuleni.
- Vyoo visafi kila siku vinasafishwa
- Chakula kizuri shuleni
- Mazingira tulivu
- Usafiri shuleni hadi nyumbani
- kutumia kiingereza kwenye masomo tangu shule ya msingi
- Kila mwanafunzi ana kiti na dawati lake
- Hakuna kujazana darasani
- kujifunza computer utotoni
- Library
- masomo ya kupika, kushona, kuchora, n.k.
- Marafiki wengi hutokea familia zinazojali malezi
- n.k.
Ninajua zipo shule za bei rahisi mfano kuna shule za serikali za englsh medium, shule za sekondari za jumuia ya wazazi, n.k. kwa research yangu zimetofautiana kidogo na Kayumba.
Kwa sasa nina miaka 36 kiuchumi bado najibana sana hasa kwasababu bado najenga ili nihamie kwangu, imenibidi nitembelea IST ili kupunguza gharama za mafuta, wife ana passo, Simu yangu ina miaka mitatu sijabadili, wife nae nashukuru anajua tunayopitia nae kapunguza vizinga
hongera ungenipa kama najimuduHongera sana kwa kusoma private, kumiliki magari ya kutembelea na kusomesha watoto private schools.
Lakini atleast atakua na UFAULU.Mtoto kama ana akili hata akisoma kayumba anafaulu vizuri tu. Kama kilaza hata ukimpeleka English Medium bado atakuwa na ufaulu hafifu.
Za dollar ni International schools zenye mitaala ya cambridge hawafati mtaala wa necta,unachokizungumza ni sawa, ila kwako inakuwa kama mateso, yaani mzigo umekuelemea, kiuhalisia hatutakiwi kuwafanya watoto waishi maisha tuliyoishi sisi, yaani kama sisi tulisoma kayumba basi walau watoto wetu wasome hizo za medium, na kama sisi tulisoma medium watoto wetu wasome zile za kulipa kwa dola yaani international, na hiyo inatakiwa iwe within yourself sio kwa sababu baba alinisomesha medium basi na mimi nalazimika nimlipie mwanangu medium kwa presha ya wanaonizunguka lakini si kwa sababu nina nia hiyo
Kupanga ni kuchagua. Hayo uliyoyaorodhesha, ukiachilia usafiri niliyapata sekondari ya Usagara- Tanga, ya Serikali.Chekechea na Primary nimesoma english medium private.
Sekondari Form 1 hadi 6 nimesoma Boarding private, Msosi Pilau kila J5 na J2, Ugali ni nadra sana.
Chuo kikuu sikupata mkopo ila si haba sikuwahi kupata changamoto za kiuchumi.
Rasmi na mimi nikawa baba, nikaanza kuwaza watoto waje kusoma KAYUMBA wakati mimi sijasoma huko ?
Hali yangu ni tofauti na waliowahi kusoma kayumba wao hata wakiwa matajiri wanaweza kusomesha watoto kayumba kwa uhuru, wana uzoefu na hizo shule kwahiyo wanaweza kuwasaidia watoto mawazo na ushauri, sasa mimi sijasoma kayumba wala siyajui mazingira yapoje nitamshauri nini mtoto ?
Natoa mfano mwepesi hata kama umesoma kayumba lakini ulipambaniwa ule milo mitatu, ni kwamba na wewe ukiwa mzazi kuna msukumo unakuingia upambane watoto wale milo mitatu, ukikutana na mzazi aliekulia maisha ya milo miwili nae analisha watoto mara mbili, akikupa ushauri kwamba ulishe watoto mara mbili ni ngumu kumuelewa hata kama watoto wake wana nguvu na afya kuzidi wako.
Ndivyo ilivyo kwa upande wangu, nilipambaniwa ili maisha yangu ya shule yawe mepesi ni ngumu mimi kuwapeleka watoto Kayumba, pia hata wazazi watanichukuliaje ? wamenipambania nisome kwa raha kisha waje kuona wajukuu wanaenda kayumba ?
Kwa sasa nina watoto watatu nawapambania wasije pitia maisha ambayo mimi sikupitia,
- First yupo form 1 boarding, ada milioni 2 na nusu kwa mwaka
- wa pili yupo Primary day ada laki 9.
- Huyu mwengine nae soon anaanza shule hio ya laki 9
- Sina mpango wa kuongeza mtoto wa ziada labda uchumi ukae sawa
Suala la kufaulu wapo wanafunzi wanaokalia ndoo wanapasua vibaya mno, Kusomesha private kumelenga zaidi kumrahishia mtoto maisha ya shuleni
- Vyoo visafi kila siku vinasafishwa
- Chakula kizuri shuleni
- Mazingira tulivu
- Usafiri shuleni hadi nyumbani
- kutumia kiingereza kwenye masomo tangu shule ya msingi
- Kila mwanafunzi ana kiti na dawati lake
- Hakuna kujazana darasani
- kujifunza computer utotoni
- Library
- masomo ya kupika, kushona, kuchora, n.k.
- watoto wengi hutokea familia zinazojali malezi na maadili.
- n.k.
Ninajua zipo shule za bei rahisi mfano kuna shule za serikali za englsh medium, shule za sekondari za jumuia ya wazazi, n.k. kwa research yangu zimetofautiana kidogo na Kayumba.
Kwa sasa nina miaka 36 kiuchumi bado najibana sana hasa kwasababu bado najenga ili nihamie kwangu, imenibidi nitembelea IST ili kupunguza gharama za usafiri, Simu yangu ina miaka mitatu sijabadili, wife nae nashukuru anajua tunayopitia nae kapunguza vizinga
kujenga au kujijenga?Dogo umezaa mapema sana,anyway pambana na hali yako.
Sisi wenzako 36 tuna watoto 2 hawajaanza shule serious za mahela makubwa makubwa. Tunatumia muda huu kujenga. Wakishaanza kuwa serious, ujenzi hakuna ni kusomesha tu.
Wakimaliza kusoma ni mwendo wa bata na mama yao, labda na mtoto mmoja wa mwisho.
Wewe wazazi wako wanajivunia nn kutoka kwako ?Dadeki noma sana.
Hivi watoto huwa wanawasaidia nini maishani?? Zaidi ya wengi kulalamika, sionagi watu wakisifia uwepo wao.
(Tafiti nimeifanyia jf na mtaani)
Mbona wengi tu kwani nyege zinachagua English medium au Kayumba?English medium zina faida kwenye hilo hakuna ubishi
Ushawahi sikia binti wa english medium kapewa mimba na boda?
Pambania.