Ukiheshimu ubinadamu wake hutapoteza muda naye, utamuacha apambane na hali yake.Mtu anafika hadi 33 halafu anajifanya ndio amekuwa serious na Maisha. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikuulize kitu, unajua maana ya neno bikra?Wakati huo wewe unataka umkute binti bado bikra, je na wewe mwanaume ulikuwa bado 'bikra' ?
Sasa umeshagundua binti sio bikra, umri wake umekwenda na yuko focus kutaka umuoe, kwanini umlaumu kwa huo msimamo wake?
Tuishi humo mwamba.Nimekuelewa sana humu [emoji817]
Mizigo ipo tu haiishi boss. Yaani wanawake wapo tena wazuri na hawataki ndoa na unajipigia unamwaga hata sehemu ya ubongo. Hakuna haja ya kufuga mwanamke ambaye hutamuoa kwa ahadi ya kumuoa. Kwanza ni gharama.Watu tunafata mzigo kama wao wanavyotaka hela zetu we vipi wewe?
Inategemea unaoa chap kwa malengo gani. Mwingine anataka aanze straight kujenga familia bila kujali nini kitatokea baadae. Mwingine anakaa muda mrefu sababu anataka kupata mke rafiki yaani mwanamke ambaye watajuana na kuweza kujenga urafiki ndani ya mahusiano yao.Ni kweli mahusiano yanayokaa muda mrefu huishia kuvunjika kuliko kuzaa ndoa. Ni tafiti zimeonesha hivyo. Waoaji halisi hawanaga longo longo nyingi, kuvuta muda au kupoteza muda ya kusaka kufahamiana huku wakinyandua..
Waoaji halisi huwa wanajipanga wao binafsi kimya kimya, kisha wanapoint binti anayefaa, chap wanapiga michakato rasmi ya kueleweka na kuheshimika na mwisho ndoa tayari.
yupo nikupe namba?Natafuta mwanamke wa kuoa. Asiwe na umri zaidi ya miaka 28. Awe Mkristo.
Asiwe na Watoto Zaidi ya mmoja.
Aliye tayari aje PM.
Ni kweli ila usiwe mzembe kiasi hicho kuamini haraka haraka. Ni by slim chance sana miaka hii kulala na mwanamke akashika ujauzito siku hiyo hiyo unless awe ni house girl au mwanafunzi.Mimba hutungwa siku moja, ndani ya sekunde chache sana katika kufanya ngono.
Hivyo haihitaji ulale na mwanamke mara nyingi, masaa mengi ili umpe mimba. Mara moja tena ndani ya sekunde chache mimba inakuwa yako.
Kabisa. Ukiamua kumfuga basi uwe ufugaji uria, unamweleza kabisa mambo ya ndoa hakuna, aelewe kabisa.Umesema vyema ni hit and run
Ni akili, wewe kama haujui wanaume wanatafuta nini huwezi elewa na utaona kila wanalofanya ni kumchezea mwanamke.Yaani vijana wa kiume wa kizazi hiki wengi ni ovyo mnoo. Yaani kijana anataka kumchezea msichana weee, kumpotezea muda weeee, halafu mwisho ndio kijana ajitafakari kama anafaa kumuoa huyo binti ama la!
Hiyo ni akili au matope?
Unajua jamii imewalea wanaume wawe mazoba sana miaka ya nyuma ndio maana kulikuwa na misemo kama " mke hapigwi","kitanda hakizai haramu","Mwanamke hapewi maneno anapewa pesa" na kadhalika.Ukikutana na mwanamke wa kuoa wala hujiulizi maswali mengi maana kila kitu kinaonekana mapema sana, wala hahitaji kuuliza "utakuja lini kwetu", kila kitu kiko wazo from within.
Ukikutana na mtu asiyeeleweka hata moyo unakuwa mzito, unakuwa mzito kufanya maamuzi, akisema habari za kuoana unahisi jazba na unaanza kumkinai(kinahi).
The decision to marry comes from within!!
Kwanza ujue kuwa hadi inafikia hatua mwanamke anapewa offer ya ndoa ni tayari mwanaume ndie kaamua so basically ndoa inaanza na mwanaume wewe usilete kiswali cha utapeli hapa.Nani kasema mwanaume ndio anatangaza ndoa?
Kuanzia kwenye dini, sheria na jamii ndoa ni patano la watu wawili waliopendana na kupatana kutaka kuishi pamoja. Mmoja hawezi na hapaswi kumlamisha mwingine.
Kila mahusiano lazima yawe na malengo (objectives) na hitimisho (conclusion). Sasa binti anayejitambua (haijarishi umri wake na tabia zake) atataka kuhoji malengo ya huo uhusiano na hitimisho lake ni nini mapema sana. Sasa wewe mwanaume ukiwa ndio wale akili ndogo na fupi za kutoka kubalehe na ndio unajifunza uhuni wa kingono ni lazima utamchukia na kumuona huyo binti sio, kumbe shida ni upeo wako mdogo wa kimakuzi.
Sijasema mwanamke ni innocent au mwanaume ni tatizo. Nimesema ambianeni ukweli, hizo ngono mnazofanya mwisho wake ni upi. Kila mtu awe na amani na maamuzi yake.Unaweza ukatazamia upande m'moja kwa kumuona huyo mwanamke innocent na huyo mwanaume ni tatizo.
Sahihi.But most of the time ni mfumo wa maisha aliyoishi sasa yameanza kuzaa matunda. Sote tunapoanza mahusiano kwa mara ya kwanza huwa tunafahamu kuwa kuna good side na bad side of things. Na tunatakiwa kuchagua kwa umakini na kuzingatia mafunzo ya maadili.
Hakuna sympathy kuna maamuzi. Upo tayari kuoa? Chukua mwanamke aliyetayari kuolewa. Haupo tayari kuoa chukua mwanamke asiye na wazo la kuolewa. Mambo ya historia ya mtu na makosa yake ni yake na MUNGU wake.Sasa kama mtu alifanya bad choices tena kwa makusudi huko utotoni then automatically unategemea akija kubungua maisha yake hadi miaka 30 then aje kutegemea sympathy ya wanaume wastaarabu tena awe exonerated na nature?
Kila mtu apambane na matokeo ya chaguzi zake za maisha, usijiweke kwenye nafasi ya kumpa hayo matokeo. Kama ulivyosema, acha nature iamue sio wewe kuhalalisha kumtumia sababu alishakosea huko nyuma.Haiwezekani.
You do the crime u do the time. Hakunaga easy escape kwenye maisha, everything you do with your own energy and Force will have reciprocating force and energy from nature.
Upo sawa mkuu, unavuna unachopanda ila mavuno acha akutane nayo mwenyewe siyo ujiweke kwenye hiyo nafasi.Ukiruka ruka na wanaume bila utaratibu tegemea by the time umechoka utakutana na wanaume wenye misimamo yao ambao nina uhakika hautaqualify vigezo vyao hata 10% ya wanachotaka. Na utakuwa na option ya kuchagua aidha kufuata maelekezo na muongozo wake ama upite hivi ukafie mbele na wale wanaume ambao ni dead beat.
Upo sahihi kabisa kuhusu kujitunza. Ila haupo sahihi kujiweka kwenye nafasi ya kuadhibu. Umekuta hajajitunza, anataka umuoe, achana naye akatafute atakayemuoa.Kumbuka kuna mabinti wamejitunza, wanajiheshimu, wanajilinda na wana adabu, hawa ndio wanastahili kupewa first priority, mimi nikikutana na binti bikra lazima nimpe respect sababu kajitunza.
Mkuu, single child yoyote ana baba yake. Hakuna maadili yanayoporomoka upande mmoja.Sasa vijana na wanaume wamestuka miaka hii ndio maana hata ndoa zimepungua na masingle mother wameongezeka hii inawatisha sana hawa wanafiki wanaotaka wanaume tifeli na tuingie gharama za kubeba mizigo isiyotuhusu.
Mbona hao wakula pesa zako na wewe kula mzigo wapo tele mtaani wanauza na wanajua wanachokifanya.Watu tunafata mzigo kama wao wanavyotaka hela zetu we vipi wewe?
Hicho kitu kilifanya nikaachwa friends walimpa kichwa Sana nilikuwa na mipango nae alivyozidisha mambo akanitamkia kuwa hanitaki nikajikaza kiaskari tu saivi naskia skia Kwa marafiki zangu flani anakusalimia alinipigia simu Leo na Mimi Aya bhana sawaHii ni pressure from friends and ndugu zake akiangalia wote wapo in strong relationship nawezingine wameolewa kabisa inamfanya anachanganyikiwa balaa tena hatakula unamkuta amekonda balaa
Hamna bali tume yaona na vingine vilitukuta.Dah umeongea vema sana mtu wangu, we ni pastor au?
Kama umesoma vizuri kule juu kwenye moja ya reply zangu utakuta nimesema sehemu kuwa mwanamke ambaye hana bikra kabla ya yote, hana haki wala mamlaka ya kumuamulia au kumharakisha mwanaume kuingia nae kwenye Ndoa.Mimi nilishakujibu tangu kitambo.
Ni sahihi na haki kabisa kwa binti aliyejipanga na kutamani kuolewa sasa kuhoji mapema kabisa malengo ya uhusiano unaotaka kuujenga naye. Asipofanya hivyo huyo binti atakuwa ni mjinga kabisa.
Wewe unataka aje ghetoni kwako, alale na wewe, atoke out na wewe, lakini hutaki kusikia ahoji ni lini utamuoa au lini utakuja kujitambulisha kwao. Sasa ulitaka ahoji nini?
Tumekataza kuoa watu kwasababu tumewaonea huruma.Acheni haya mambo, viatu vyao hatuwezi kuvivaa wakuu.
Tuwahurumie dada zetu.
Hapa wanapita kusoma na kuumia sana