Na alikuwa na mtoto dah kudadadeki, wanawake wana balaa hawa khaaaaaah?Mimi ilinitokea nikamwambia siwezi kuoa kwa sasa tuwe wote kama miaka 2 tukisomana lakini mwezi mmoja ndio nisema Nitakuoa nitakuwa mwongo akaniambia yeye NI mzuri na anaweza pata mtu mwingine,nikamwacha baada ya mda anaanza maneno ooh Yale niliongea tu sababu umri Naona unaenda na blabla kibao wakati huo nimeshapata chombo ingine nikamkaushia mpk Leo anataka tuwe wote mara sijui mwanangu amekukumbuka nk.
Kuna vitu unachanganya hapa.Usahihi wa mwanamke ni kujitunza na kumtii mwanaume wake basi. Hayo mengine ni ya kwako. Wewe umekwenda kuliwa huko tumekutana uanze nipush kukuoa na sijajua una tabia gani za mazoea na sijui unajimudu vipi kitabia.
Kipi sijaelewa hapo?Wewe hii mada haujaielewa hata kidogo, hebu soma kwanza koments kisha utaelewa direction ya mada. Umevamia gari la msiba ukijua la abiria.
Sio kweli unachosema ni kitu kingine kabisa. Unajua wanaume wanalala na wanawake kwa sababu tofauti.Tatizo la nguvu za kiume chanzo chake kikuu ni kipi?
Wanaume tunajiua tartibu kwa kudhani kushughulika kingono na wanawwke ndiyo urijali. Kisaikolojia kuna damage kubwa sana kwa mwanaume ambye huruka na wanawake wengi kuliko mwanamke anayeruka na wanaume wengi.
Kuchomeka na kupush agenda kunahitaji stability, stamina na energy ambazo kadiri unavyojianika kwa kasi ndo unavyosinyaa.
Namshukuru Mungu, nilijitunza na mpaka sasa utu uzima wangu nacharge kama nilivyokuwa twentieth. Rika langu wengi nawaona wanavyohaha na madawa ya kuongeza nguvu.
Wanawake ni reciprient, tatizo lipo kwa sender
Na ana mtoto.Haya maswali yaende sambamba na tabia njema inayoshawishi aolewe
Sio anauliza huku mileage imetembea kilometer za kutosha
Kwahiyo unadhani wakati anafanya hivyo yeye alikuwa hajui kuwa anafanya kosa?Hataki kurudia makosa. Kama kakaa miaka 3 na kumpa mwanaume kila kitu na hakumuoa kwanini arudie tena kufanya hivyo ilihali anataka kuolewa?
Unakuta hao age goo nao wanakuvutia kufanya nao ngono ijapokuwa wengi michosho kwenye ndoaAge 33 unategemea kama anahitaji kuolewa asiulize hayo maswali? Binafsi naona kama kijana huna malengo ya ndoa fanya ngono na binti asiye na malengo ya ndoa.
Umesema vyema ni hit and runTena unaachana nae kabisa ukiona anataka ndoa na huna nia ya kumpa hilo hitaji. Usitembee na binti wa watu kuanzia ana miaka 27 mpaka 32 halafu unamkimbia kuwa hafai na ukute na mimba ushampa.
Natafuta mwanamke wa kuoa. Asiwe na umri zaidi ya miaka 28. Awe Mkristo.
Asiwe na Watoto Zaidi ya mmoja.
Aliye tayari aje PM.
Nipo Aaliyyah wangu. Mambo niaje?Exactly alafu umeadimika sana
Mtu anafika hadi 33 halafu anajifanya ndio amekuwa serious na Maisha. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Age 33 unategemea kama anahitaji kuolewa asiulize hayo maswali? Binafsi naona kama kijana huna malengo ya ndoa fanya ngono na binti asiye na malengo ya ndoa.
sikutarajia kabisa kukutana na ccm kwenye huu uzi😊Sawa na wabunge wa ccm wanavoteseka 2025 na wananchi wao.
Wa kuonewa huruma ni wajane tuAcheni haya mambo, viatu vyao hatuwezi kuvivaa wakuu.
Tuwahurumie dada zetu.
Hapa wanapita kusoma na kuumia sana
Una hasira nao?Wa kuonewa huruma ni wajane tu
Kila la kheri katika hiliNani kasema mwanaume ndio anatangaza ndoa?
Kuanzia kwenye dini, sheria na jamii ndoa ni patano la watu wawili waliopendana na kupatana kutaka kuishi pamoja. Mmoja hawezi na hapaswi kumlamisha mwingine.
Kila mahusiano lazima yawe na malengo (objectives) na hitimisho (conclusion). Sasa binti anayejitambua (haijarishi umri wake na tabia zake) atataka kuhoji malengo ya huo uhusiano na hitimisho lake ni nini mapema sana. Sasa wewe mwanaume ukiwa ndio wale akili ndogo na fupi za kutoka kubalehe na ndio unajifunza uhuni wa kingono ni lazima utamchukia na kumuona huyo binti sio, kumbe shida ni upeo wako mdogo wa kimakuzi.
Unaweza ukatazamia upande m'moja kwa kumuona huyo mwanamke innocent na huyo mwanaume ni tatizo.Tena unaachana nae kabisa ukiona anataka ndoa na huna nia ya kumpa hilo hitaji. Usitembee na binti wa watu kuanzia ana miaka 27 mpaka 32 halafu unamkimbia kuwa hafai na ukute na mimba ushampa.
Boss,Wewe unawajua wanawake au unawaongelea tu hapa?
Ni kweli, Binadamu anaweza kufanya unyama na akakupa sababu ya msingi. Mwanamke ni binadamu.Mwanamke anaweza zaa na baba yako na akakupa sababu ambayo yeye anaona ni ya msingi.
Ni sawa, kama siwezi kumpa anachotaka, na yeye hawezi nipa ninachotaka sasa wa nini kwangu? Matatizo huanza pale ushindani wa kukomoana unapoingia.Unachotakiwa kujua ni kuwa wanawake huwa hawatafuti unachotaka wewe wanatafuta wanachotaka wao kwanza.
Watu tunafata mzigo kama wao wanavyotaka hela zetu we vipi wewe?Sasa mwanaume ulifuata nini kwa huyo binti unayedhani tabia yake sio njema, umri wake umekwenda na amejipanga kuolewa?
Kwani ulilazimishwa kuanzisha naye uhusiano?
Kwa kifupi sana, haijarishi binti ana tabia gani mbaya, amechezewa kiasi gani na umri wake umekwenda, bado yuko sahihi kwa 100% kutamani kuolewa, kujali hatima yake ya kuolewa na kuolewa na mtu anayeeleweka.