Ukiona mtu anapiga mayowe sana kwa jambo flan ujue yeye ndiyo muhusika zaidi.Hawa wa kibongo mbona mnashindwa kuwaondoa? Maneno yenu na vitendo vyenu ni zero kabisa. Ndio maana huwa naona kama nyie ndo wadau/wateja wakubwa wa hao watu.
You mean Kipemba/KimombasaNo kisomo wamemshugulikia huyu!
Kwa hiyo wewe kwenye familia yako watu huwa hawafi,hamjawi kufiwa na je wanaokufa ni hawa wenye matendo maovu tu?KAMA NI KWELI ASANTE SANA MUNGU WA MBINGUNI.
UO UPUMBAVU WAO NAUCHUKIA HATARI.
YANI NINA ALEGY NA DHAMBI
Kwaiyo ninyi hamtakufandio yale tunayasema kila siku ukiwa na matendo yasiyo mpendeza Mungu basi mungu atakushughulikia kwa njia zake, either magonjwa au mauti.
mifano ya hasira za mungu ipo mingi tu, kwa mfano; watu wa sodoma na gomora waliuwawa na Mungu kwa kuwashushia garika.
Binaadamu badilikeni, vinginevyo tutakabiliana na hasira za Mungu mwenyewe.
usipo fanya matendo mabaya hufi.Sodoma na gomora waliangamizwa/walikufa kutokana na matendo yao ya kishetani.
ukifanya matendo maovu ya kumchukiza aliye kuumba jua mungu atakushughulikia kwa namna yake either kifo, maradhi au ajali.
Hicho ndio alikua anakitafuta, tayari amesha kipate.NB: Pamoja na taarifa rasmi za kitabibu kutothibitisha binafsi najua huyo jamaa kapumzishwa not otherwise
Mashoga acheni makasirikousipo fanya matendo mabaya hufi.
Yawezekana wewe sio shoga na unapinga sana mashoga hiyo safi..ila je wewe ni mkamilifu kuzidi hao mashoga mbele za muumba wako??Mashoga acheni makasiriko
uwezo wako wa akili uko chini mnooooo, kwanza nashangaa unawezaje ishi kwa akili ulizo nazoMashoga acheni makasiriko
Hata hujajibu hoja yanguKafa kiaibu lakini mkuu.
Mzee unatetea sana,na wewe ni mfuasi wa upinde?Timu ya kwanza kuaga ni Qatar hao hao wanao-host WC. Weka akiba ya maneno.
Mimi nimechangia kimaandazi maandazi tu.Hata hujajibu hoja yangu
OkMimi nimechangia kimaandazi maandazi tu.
Endelea kujianika humu! The context is so clear.Mzee unatetea sana,na wewe ni mfuasi wa upinde?
wewe unaweza kuchanganua mambogani? kiazi wewe.Sipatani na wafia dini, mara zote hawana hoja wamekaririshwa na kuwa brainwashed.
Hawana akili ya kuchanganua mambo kiuhalisia.
Na wewe ndo wale wale. Gimbi pori wewewewe unaweza kuchanganua mambogani? kiazi wewe.
kione halafu kina bana pua eti "wafiadini hawawezi kuchanganua mambo"toa ujinga na ushamba wako hapa.Na wewe ndo wale wale. Gimbi pori wewe
Mtu kavutishwa sumu umekazana kumsingizia Mungumtetezi wao aliye kuwa anajigamba kwa mbwembwe huko Qatari kaanguka uwanjani kafa.
mbwembwe zote kwisha.
hilo ni funzo kwa wanachama wake wote duniani na wenye matendo kama hayo kuwa kazi ya sodoma na gomora haifai. ni chukizo mbele za mungu na adhabu yake ni umauti kama walivyo angamizwa watu wa sodoma na gomora.
Kumbuka jambo moja kuwa; Mungu huwa hachezewi, acha acha.
ni suala la muda tu, hao wabongo wanao fanya ushetani huo balaa lao litawafika.