Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,821
Si hayupo ndo maana kila laana mnamtupia.
Lakini kumbuka yule ni product ya CCM. Hivyo kama unamuona alikuwa mbovu basi ndo malengo na mikakati ya CCM kutuletea kile kiama
Usiyempenda
Ni Mgao au hitilafu?Kabla Shujaa Mwendazake hajatuaga, tuliambiwa nchi imepaa na sasa tupo uchumi wa kati.
Baada ya ziara zenye tija za Mama, ambazo hakika zimefungua nchi na uchumi kupaa sana tumefkia hapa leo nchi kuwa gizani
Nyerere alitufundisha na kutuasa kuwakataa hawa wapuuzi wanaolizamisha Taifa bila soni wala aibu
Lucas mwashambwa ChoiceVariable johnthebaptist Mshana Jr
Wewe huna hoja unaweweseka na Bado Namba utaisoma zaidi 👇😁😁😁daraja la msingi DC alikuwa anatosha kabisa kukata utepe na sio huu ujinga mnafanya sasa siku ya kwenda kuzindua Daraja la JPM samia so atahamia Mwanza kabisa mwezi mzima
Usanii na uongo kama kawaida ya wanasiasa tushawazoea mwaka 2014 enzi ya jk Muhongo alisema tunaanza kuuza umeme kiko wapi mmeturudisha kule kule😏Ccm ikikaa pembeni watu wachache chama gani? 😂😂😂😂
Mama wa Taifa ni 🔥🔥🔥
View: https://twitter.com/RashdaZunde/status/1714314220253192275?t=56ZwnRpKy_BsxVwDjkb5iw&s=19
Kilimo cha kutegemea mamlaka ya Hali ya Hewa TMA watoe ramli zao.Kesho tuu atajiuzulu Wala usijali View attachment 2784726
Nakubaliana nawe, maanq eneo hilo katuletea Mikataba 20+ yq kimkakati. Ameanza na MOU ya DP World......
Hoja inajibiwa kwa hoja picha ya hiko kidaraja ina hoja gani hapo chawa weWewe huna hoja unaweweseka na Bado Namba utaisoma zaidi 👇
View: https://twitter.com/WizarayaUJ/status/1713751711544742065?t=CszdAvCqx2ZA_rNPcMm4rA&s=19
Usanii na uongo ulikuwa unafanya na yule mtu wenu wa propagandaUsanii na uongo kama kawaida ya wanasiasa tushawazoea mwaka 2014 enzi ya jk Muhongo alisema tunaanza kuuza umeme kiko wapi mmeturudisha kule kule😏
Midomono na vichwani kawajaa😁😁😁😁hakika mlinyooshwaKutokuwepo kwake Nchi imepona View attachment 2784747View attachment 2784748
Kidaraja Gabi wewe nyumbu? Nimekuwekea Barabara unasema kidaraja,kama.una njaa nenda ule unawewesekaHoja inajibiwa kwa hoja picha ya hiko kidaraja ina hoja gani hapo chawa we
Hakika imepoa kwa sababu hata umeme wa kuendeshea shughuli za maisha umegeuka luxury commodity.Kutokuwepo kwake Nchi imepona View attachment 2784747View attachment 2784748
Barabara gani mlojenga nyingi,we uliuona wapi mzanzibar akaweza jambo?Kidaraja Gabi wewe nyumbu? Nimekuwekea Barabara unasema kidaraja,kama.una njaa nenda ule unaweweseka
Alituharibia Nchi ndio maana tutamlaani Hadi mwishoMidomono na vichwani kawajaa😁😁😁😁hakika mlinyooshwa
Mnamuota mpaka kesho dadekiiii
Umeme ni swala dogo mwisho wake January mvua ikinyesha na baada ya June hutosikia tena Kuna mgao Hadi 2100Hakika imepoa kwa sababu hata umeme wa kuendeshea shughuli za maisha umegeuka luxury commodity.
Nishati ya mafuta ni deal la Abdu.
Endelea kupiga makofi ya shangwe
Alijiweka madarakani?Alituharibia Nchi ndio maana tutamlaani Hadi mwisho View attachment 2784751