ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Hujui kitu zaidi ya porojo za machadomoChina gani hiyo ambayo ukame ulitokea ukasababisha mgao wa umeme?
Au China ya mitaa yenu... Kenya penyewe hawana shida ya umeme, alafu unalinganisha China na Tanzania... Yani china kuwe na shida ya mgao wa umeme... Mwaka juzi gani, weka link hapa ya kuonesha China kulikuwa na mgao mwaka juzi? China ukikatika umeme hata nusu saa ni hasara kwa taifa
Mabikioni Kwa mabilioni ya miradi zinashushwa na mvua hazitoki mtaani?Uchumi ambao mnauona nyinyi tu... Huku mtaani hauonekani? Umeme kukatika, vitu kupanda bei, mafuta ya petroli bei na mambo kadha wa kadha.
Au mnatuona watanzania ni wajinga si ndio
Nchi ipo kwenye wakat mgumu Sana, matapeli ya siasa hata hayana muda na sisiKabla Shujaa Mwendazake hajatuaga, tuliambiwa nchi imepaa na sasa tupo uchumi wa kati.
Baada ya ziara zenye tija za Mama, ambazo hakika zimefungua nchi na uchumi kupaa sana tumefkia hapa leo nchi kuwa gizani
Nyerere alitufundisha na kutuasa kuwakataa hawa wapuuzi wanaolizamisha Taifa bila soni wala aibu
Lucas mwashambwa ChoiceVariable johnthebaptist Mshana Jr
Haujajibu swali langu; hapo ulipo umeme haukatiki?Lini Tanzania hii umeme ukiacha kukatika au haukuwahi kukatika? Harafu usikariri kwamba Kila Mkoa umeme unakatika.
Uliza wanaopata umeme kutoka Uganda na Zambia kama umeme unakatika.
Mwisho hakuna Cha uchawa ni facts kwenda mbele au kwenu huko hakuna shule za Samia?
View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1714315415386562693?t=8ynwPl-_TSpTg9KAEwg3Jw&s=19
Kwa hiyo mda wote Niko hewani natumia Sola au? Umeme Huwa haukatiki Mkoa wa Rukwa hata siku Moja ,tunatumia umeme wa Zambia.Haujajibu swali langu; hapo ulipo umeme haukatiki?
Hakika !Utapiga dislikes zako hadi vidole viungue.
CCM imeshindwa. Ni wakati wa kukaa pembeni kuwapisha wenye uchungu na nchi
CC Erythrocyte
Kabla Shujaa Mwendazake hajatuaga, tuliambiwa nchi imepaa na sasa tupo uchumi wa kati.
Baada ya ziara zenye tija za Mama, ambazo hakika zimefungua nchi na uchumi kupaa sana tumefkia hapa leo nchi kuwa gizani
Nyerere alitufundisha na kutuasa kuwakataa hawa wapuuzi wanaolizamisha Taifa bila soni wala aibu
Lucas mwashambwa ChoiceVariable johnthebaptist Mshana Jr
baada ya mikutano ya kisiasa kuruhusiwa,Kabla Shujaa Mwendazake hajatuaga, tuliambiwa nchi imepaa na sasa tupo uchumi wa kati.
Baada ya ziara zenye tija za Mama, ambazo hakika zimefungua nchi na uchumi kupaa sana tumefkia hapa leo nchi kuwa gizani
Nyerere alitufundisha na kutuasa kuwakataa hawa wapuuzi wanaolizamisha Taifa bila soni wala aibu
Lucas mwashambwa ChoiceVariable johnthebaptist Mshana Jr
Hadi Tanesco..Taifa letu linapaa kimaendeleo na kuwa mfano wa kuigwa Barani Afrika. Ni kazi ya serikali ya CCM Ambayo imeifanya Tanzania kupata mafanikio katika kila eneo.
Taifa letu linapaa kimaendeleo na kuwa mfano wa kuigwa Barani Afrika. Ni kazi ya serikali ya CCM Ambayo imeifanya Tanzania kupata mafanikio katika kila eneo.
Nyerere ndio wakwanza kututengenezea aina hii ya viongozi wa ccm tulionao leoKabla Shujaa Mwendazake hajatuaga, tuliambiwa nchi imepaa na sasa tupo uchumi wa kati.
Baada ya ziara zenye tija za Mama, ambazo hakika zimefungua nchi na uchumi kupaa sana tumefkia hapa leo nchi kuwa gizani
Nyerere alitufundisha na kutuasa kuwakataa hawa wapuuzi wanaolizamisha Taifa bila soni wala aibu
Lucas mwashambwa ChoiceVariable johnthebaptist Mshana Jr
Au ndio baada ya uchumi wa bluu, umekuwa uchumi mweusihuku walikata ijumaa, jmosi ukawaka, wakakata jpili, j3 ukawaka
leo wamekata asubuhi, wakarudisha saa 7
wamekata tena mda huu swafi kabisa
Yeye ndie chanzo cha yote haya, hii ni ajabu sana kumsifu alieanzisha na kuwalaumu wanafata mkondoNyerere alitufundisha na kutuasa kuwakataa hawa wapuuzi wanaolizamisha Taifa bila soni
Sahihi kabisaNyerere ndio wakwanza kututengenezea aina hii ya viongozi wa ccm tulionao leo
Usidhani unatoa majibu ya hovyo kwangu, bali unaliambia Taifa ambapo wengi ni wasomi wa Cuba ambao they can unmask Romans anywhere everywhereHapana hajatoa Rais umetoa wewe 😂😂
View: https://twitter.com/Hakingowi/status/1714225989016768840?t=q3pQAewWVyyInMQdcbd6xQ&s=19
Sio za maendeleo Ni za basketry,naendelea kukudanganya kama ifuatavyo 👇Usidhani unatoa majibu ya hovyo kwangu, bali unaliambia Taifa ambapo wengi ni wasomi wa Cuba ambao they can unmask Romans anywhere everywhere
mnasema kila wilaya inapewa bilion 50 (hatujui kama za maendeleo au basketry) badala ya bilion 2. Mbona ripoti ya CAG inasema vinginevyo? Asilimia ya fedha zinazopelekwa za maendeleo zinakuwa pungufu hadi chini ya 30%?
Ndo maana nakwambia kawadanganye wale chiriku mnaowasomba kwa malori ambao kwao hali ngumu wanajua ni God's given na siyo chama cha mapinduzi