Kutoka uwanja wa Uhuru: Tamasha la CCM linalojumuisha wasanii Tanzania

Acha wivu wa kike ,ccm pesa iko ,hiyo sio saccos kama chadema ,ni taasisi kubwa na bora barani
 
Ya ccm waachie wao ccm wenyewe, mbona nyie chadema hakuna mtu aliyekuja kuwauliza hela za kuonga madereva bodaboda kwenye misafara ya tundu lissu.
 
Yule anakwenda kutafuta sign za wa wadhamini hamuoni kama anatumia vibaya hela za Chama?????
 
Tundu lissu haitaki wasanii kujaza watu ccm ni kawaida ya kutumia wasanii kujaza watu
 
Wastaafu mafao yao wanazungushwa miaka ya kutosha tu kumbe hela zao zinapelekwa kwny mambo ya hovyo hovyo tu.
Ccm inatumia hela zake vuzuri,!
Haitumii kulewea konyagi kama mwenyekiti wenu afanyavyo
 
Limbukeni na mshamba anakoipeleka hi nchi Mungu ndio anajua .
 
Kumbe unafikiriwaliokuja wamekuja kuangalia CCM inataka kufanya nini au wamekuja kuangalia wasanii?


Utapata jibu kwamba wamekuja kushangaa wasanii.
Wasanii was CCM.
Pwahahaha. Mtakufa na ugonjwa wa moyo.
 
Kwenye mikutano ya CCM watu watafuata burudani, ila kwenye mikutano ya CDM watu watafuata sera na nondo za kufa mtu toka kwa wakili msomi, Tundu Antipas Lissu.

Nyie jidanganyeni na hao wasanii wachumia tumbo.
 
Usiku SAA NNE na dakika 36 King Kiba CCM oyee.
Kuna watu watakufa na shinikizo la moyo

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…