Kutokana na hii story yangu hauwezi nikuta humu nashabikia kutoa watoto EMs na ISs na kuwapeleka kayumba

Naona wamiliki wa shule za EM's baada ya kuona mnaharibiwa soko la biashara zenu mmeamua kujibu mapigo
🀣🀣🀣🀣🀣

Wabongo wamestuka now Kayumba ndio habari ya mjini. Hadi Naibu Waziri WA elimu last month aliongea
 
Kwa hizi busara wewe ungefaa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA. HAKUNA FARAJA KWENYE UFUKARA. Pia shule za msingi za zamani zilikuwa zina unafuu kutokana na uchache wa wanafunzi na waalimu wenye wito. Hata kama kiingereza hatukujua lakini angalau tuliweza kuwa na miandiko mizuri na mambo kama kuandika barua ya kikazi kwa kiswahili tuliweza. Sasa hivi ukimwambia mtoto wa darasa la 7 andika barua ya kikazi hawezi. Mimi naunga mkono hoja yako kuwa kiingereza kianzie darasa la kwanza.
 
Wazazi tutafuteni pesa

Money is better than education
Wenzako " education" is better than money ndio maana wana jikamua vimilioni wanavyo vipata Kwa tabu halafu eti wanaenda kuvichoma shule za EMs . Utoto raha Kweli u just think anyhow
 
Shule nyingi za Kayumba wanafundisha English kuanzia chekechea japo rasmi ni kuanzia darasa la 3.


Halafu utajiri wa mtu haupimwi kwa kutazama shule ambayo mzazi unasomesha mtoto wako
 
Kama wazazi wako hawakukusomesha kwenye shule zinazo fuata mtaala wa Cambridge za kulipa kuanzia walau milioni 25 Kwa mwaka basi they have just wasted their money for nothing
 
Shule nyingi za Kayumba wanafundisha English kuanzia chekechea japo rasmi ni kuanzia darasa la 3.


Halafu utajiri wa mtu haupimwi kwa kutazama shule ambayo mzazi unasomesha mtoto wako
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ basi kama mtu ni tajiri anamsomesha mwanaye Kayumba atakuwa ni punguani
 
Ukweli kabisa
 
Mimi ni product ya kayumba..from scratch Nina rafiki yangu yeye ni Yorke Mimi ni cole

Yeye ni rivaldo Mimi ni Ronaldo wa Brazil world cup 2002....yeye alisoma EMS Mimi kayumba.. yeye primary alisoma EMS na secondary ya private..Mimi nilisoma kayumba both level secondary thanksgiving kwa rafiki zangu wa Tano hk,omy,Kim,salva,jm,gnk na e.t.c mwaka juzi salva Ali ibuka mfanyakazi Bora kitaifa...Kuna mwaka nikiwa form one...
Mtiani ulikua mgumu nikataka kumwangalizia...akaniambia sm Mimi sipati shida kwenye mtiani huwa nasoma..
Ili usipate shida kwenye mtiani uwe unasoma... after that nilikua naweka syllabus yote kichwani kabla ya mtiani.... Kwa kila somo nikawa book monger's

Mimi nili kariri nili tumia nguvu miaka ya ELIMU ya form one mpaka four nikaenda shule ya vipaji maalum
 
Hapo ndiyo shida inapoanzia. Timedaganywa kwamba kujua kingereza ni kuwa na Akili nenda China utashangaa waafrica bado tu watumwa wanl wazungu 100%
Mkuu sio kwamba kujua kingereza ndo kuwa na akili, bali kujua kingereza kunasaidia sana kwenye elimu na maisha ya kawaida.
Inshort hakikwepeki
 
Yani Dunia inakuelemea ukiwa katikati ya wanaojua Kingereza πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…sa hiyo huna wa kumlaumu. Uko peke yako, hujiwezi. Hadi Tell us about yourself inakutoa Jasho πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜…πŸ˜…
Akili ndogo.
 
Kuna tofauti kati ya kusoma/ kufundisha kwenye darasa lenye wanafunzi 130 na darasa la wanafunzi 30/40. Kuna utofauti mkubwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…