Kuuliza si ujinga: Hivi Diwani Athumani kashuka au kapanda?

Wote hao mzena na kitine ni enzi za zamani kabla usalama haujawa taasisi imara kama miaka hii. Kwa miaka ya karibuni tumeona wakipelekwa nje kwenye balozi.

Hapo ukiangalia vizuri huyu Diwani ataanza kuwa chini ya aliyekuwa msaidizi wake kwenye masuala ya usalama. Sio afya sana kwa taifa.
 
Ni Mkuu wa Watumishi wa Serikali nchini na Katibu wa Baraza la Mawaziri wa Jamhuri.
 
Sasa huyu Diwani siyo Katibu Mkuu Kiongozi
 
Chief of staff (katibu wa Ikulu) ni nafasi nyeti sana and very senior kwenye serikali yeyote duniani.

Nchi nyingine hasa zenye unitary constitution kama muundo wa UK (ambao tume-copy) ni mkubwa kushinda katibu mkuu kiongozi ambae ni head of civil services (which includes idara za usalama).

In other words Diwani Athumani hiyo ni promotion.
 
Wala hakuna tatizo lolote jamani , nimeuliza tu maana kutoka kuwa Mkurugenzi wa Tiss hadi kuwa Katibu Mkuu Ikulu , sijajua wapi ni juu .

Je sasa amepandishwa Cheo au Ameshushwa ?

Natanguliza shukrani .
Amepanda maana Diwani Athumani ki hadhi ni sawa tu na mkurugenzi wa idara wizarani...

Now ni katibu mkuu.
 
Hivi kuondoka kwa Diwani ndio TISS itakua Bora ?

Tunataka mabadiliko ya sura ya mtu au mabadiliko ya kitaasisi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…