Kuuliza si ujinga: Hivi Diwani Athumani kashuka au kapanda?

Ukicheki wavuti ya KMK , jukumu lake namba tatu ni "Address Operational issues of TISS and PCCB"

Bila shaka masuala yasiyo operational yatakua chini ya mamlaka ya uteuzi


Nadhani utaratibu huo unaatumika pia kwa IGP na KM wao wa Mambo ya Ndani

..kwa mfano, katibu mkuu wizara ya ulinzi ana mamlaka gani kwa Mkuu wa Majeshi, au Mnadhimu Mkuu?
 
Kwa maana hiyo KM Ikulu ndio mshauri wa karibu zaidi wa Rais kuliko KMK na DG wa Usalama. Hivyo ana nguvu kwa maana ya mshauri wa karibu zaidi wa Rais.
 
Elimu yako ulipata wapi aisee, Katibu Mkuu kiongozi ni Mkuu wa utumishi wa umma.
Katibu wa Baraza la Mawaziri.
 
Kwa maana hiyo KM Ikulu ndio mshauri wa karibu zaidi wa Rais kuliko KMK na DG wa Usalama. Hivyo ana nguvu kwa maana ya mshauri wa karibu zaidi wa Rais.
Of course hiyo ndio role yake, kila anachoambiwa raisi na yeye anatakiwa akijue pia, kutoka kwa mshauri wake yeyote.
 
Watakaokuelewa ni wachache sana.

Lakini cha kujiuliza ni kwamba, kama hatufuati katiba tuliyojiwekea wenyewe, tunawezaje kufuata katiba ya wakoloni!!???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa maana hiyo KM Ikulu ndio mshauri wa karibu zaidi wa Rais kuliko KMK na DG wa Usalama. Hivyo ana nguvu kwa maana ya mshauri wa karibu zaidi wa Rais.

..Cdf, Igp, Dg Tiss, ndio wasaidizi na washauri Raisi anapotekeleza majukumu ya Amiri Jeshi Mkuu wa vyombo vya ulinzi na usalama.
 
Hawa watu ni wa kuwapuuza tu mhenga mwenzangu. Sasa mtu anashindwa vipi kujua nani mkubwa kati ya MKURUGENZI na KATIBU MKUU, tena Katibu Mkuu Ikulu (Chief of Staff).
 
Watakaokuelewa ni wachache sana.

Lakini cha kujiuliza ni kwamba, kama hatufuati katiba tuliyojiwekea wenyewe, tunawezaje kufuata katiba ya wakoloni!!???

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida inaanza kwenye succession planning ya vyama vya siasa watu wana ascend kwa kusoma tena kidogo mlengo wa chama cha siasa na uelewa wa nafasi za serikali (civil services) bila ya kufahamu sifa zinazotakiwa kupewa hizo nafasi.

Sasa kuna katiba inayompa raisi madaraka ya kuteua kila sehemu hapo ndio vurugu machi ilipo akazimishwi kufuata utashi.

Ila serikalini kwenyewe bado wanamfumo mzuri sana tena sana, kwenye succession planning sema unaishia kwenye nafasi ya ukurugenzi wa wizara. Ukiwasikiliza wakurugenzi karibu wote ni very technical kwenye field zao na wanajua ufanyaji kazi wa wizara zao kinaga ubaga.
 
Tafsiri yako siyo sahihi,katibu wa ikulu cyo chief of staff.labda katibu mkuu kiongozi unaweza mlinganisha na chief of staff wa mataifa makubwa.
 
Kumbe huyu ndie suphian juma Chawa maarufu wa mh.rais kwa Sasa twitter? Coz kule Twitter nako kauliza swali Kama Hilo hilo
Mimi siyo chawa Sufiani , labda kama kakppi swali langu
 
Tafsiri yako siyo sahihi,katibu wa ikulu cyo chief of staff.labda katibu mkuu kiongozi unaweza mlinganisha na chief of staff wa mataifa makubwa.
Katibu mkuu kiongozi anaitwa ‘cabinet secretary’.
 
Sawa wewe mwenye akili, mwenye kudharau wengine kisa mrengo wao wa siasa.
Upumbavu ni haiba ya mtu sio dharau wala tusi. Kama kuna mtu mnene, mfupu, mrefu sas mwingine ni mpumbavu. Au anaweza kuwa mpumbavu mnene au mpumbavu mfupi😃 zinaweza kuwa combined
 
..Cdf, Igp, Dg Tiss, ndio wasaidizi na washauri Raisi anapotekeleza majukumu ya Amiri Jeshi Mkuu wa vyombo vya ulinzi na usalama.
Nadhani kuna majukumu wanaripoti moja kwa moja kwa Rais na mengine kwa KM wa Wizara yao husika.

Ndio maana ya hivyo vyombo kuwa chini ya Wizara ambayo mtendaji mkuu ni KM. Masuala ya bajeti, sheria na sera yanaratibiwa na KM. Mengineyo ya kiusalama ndio yanakwenda kwa Waziri na Mhe Rais
 
Demotion kubwa.... umetoka kusimamia idara nyeti yenye influence kubwa ndani na nje ya nchi, na kwenye mustakabli wa nchi, kwenda kusimamia ikulu tu! Tena naona kawekwa karibu ili asifurukute
Tiss ina influence nje ya nchi kumbe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…