Mkuu unaamini zile stori za zamani enzi za Nyerere? Mambo yameboreshwa sana miaka hii kuliko enzi zile.Ndugu Execute , leo hii kweli hiyo taasisi ndiyo imekuwa imara sana zaidi ya enzi hizo!!!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukicheki wavuti ya KMK , jukumu lake namba tatu ni "Address Operational issues of TISS and PCCB"
Bila shaka masuala yasiyo operational yatakua chini ya mamlaka ya uteuzi
Nadhani utaratibu huo unaatumika pia kwa IGP na KM wao wa Mambo ya Ndani
Hakuna chief of staff wa raisi, bali Ikulu.
So katibu wa Ikulu ndio chief of staff in the state house.
Kwa maana hiyo KM Ikulu ndio mshauri wa karibu zaidi wa Rais kuliko KMK na DG wa Usalama. Hivyo ana nguvu kwa maana ya mshauri wa karibu zaidi wa Rais.Katibu Myeka ndio nasikia leo hilo neno Myeka ila sidhani ndio chief staff. Katibu wa Ikulu ndio mkuu wa shughuli za Ikulu that equates to ‘chief of staff’.
Katibu wa wizara ya mambo ya ndani on paper ni mkubwa kuliko mkuu wa idara ya usalama na katibu mkuu kiongozi ndio boss wao ambae yupo Ikulu.
Chief Staff ndio head ndani ya Ikulu wa watumishi wote kila anachoambiwa raisi na yeye anatakiwa kukijua na ndio mshsuri wake mkuu kwenye maamuzi na nchi nyingi anaingia vikao vya baraza la mawaziri kwa sababu kila anachoshauriwa raisi na yeye lazima akijue.
Elimu yako ulipata wapi aisee, Katibu Mkuu kiongozi ni Mkuu wa utumishi wa umma.Diwani Athman ameshuka sana. Katibu Mkuu Ikulu ana supervise watumishi wa Ikulu tu. Lakini siyo watumishi wa Ofisi Binafsi ya Ikulu (OBR). Majukumu yake ni madogo kuliko hata Makatibu Wakuu wa Mawizara hususan kasma
Mtu aliyepanda cheo ni Moses Kusiluka ambaye anakuwa Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), huyu ni Mkuu wa Makatibu Wakuu wote.
Of course hiyo ndio role yake, kila anachoambiwa raisi na yeye anatakiwa akijue pia, kutoka kwa mshauri wake yeyote.Kwa maana hiyo KM Ikulu ndio mshauri wa karibu zaidi wa Rais kuliko KMK na DG wa Usalama. Hivyo ana nguvu kwa maana ya mshauri wa karibu zaidi wa Rais.
Watakaokuelewa ni wachache sana.Chief of staff (katibu wa Ikulu) ni nafasi nyeti sana and very senior kwenye serikali yeyote duniani.
Nchi nyingine hasa zenye unitary constitution kama muundo wa UK (ambao tume-copy) ni mkubwa kushinda katibu mkuu kiongozi ambae ni head of civil services (which includes idara za usalama).
In other words Diwani Athumani hiyo ni promotion.
Kwa maana hiyo KM Ikulu ndio mshauri wa karibu zaidi wa Rais kuliko KMK na DG wa Usalama. Hivyo ana nguvu kwa maana ya mshauri wa karibu zaidi wa Rais.
Hawa watu ni wa kuwapuuza tu mhenga mwenzangu. Sasa mtu anashindwa vipi kujua nani mkubwa kati ya MKURUGENZI na KATIBU MKUU, tena Katibu Mkuu Ikulu (Chief of Staff).Nendeni mkajifunze historia mjue Dr Hassy Kitine na Mzena baada ya kutoka kuwa ma DG wa TISS walipelekwa wapi?
Katibu Mkuu Ikulu sio cheo cha mchezo mchezo Dunia nzima
hadhi ya Balozi ni ndogo kuliko hadhi ya Katibu Mkuu wa Foreign affairs
hadhi ya Katibu Ikulu ni kubwa kuliko Katibu wa Wizara yeyote
Huyo ndo hafaiNi Bora wakamrudisha KP.....
Shida inaanza kwenye succession planning ya vyama vya siasa watu wana ascend kwa kusoma tena kidogo mlengo wa chama cha siasa na uelewa wa nafasi za serikali (civil services) bila ya kufahamu sifa zinazotakiwa kupewa hizo nafasi.Watakaokuelewa ni wachache sana.
Lakini cha kujiuliza ni kwamba, kama hatufuati katiba tuliyojiwekea wenyewe, tunawezaje kufuata katiba ya wakoloni!!???
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafsiri yako siyo sahihi,katibu wa ikulu cyo chief of staff.labda katibu mkuu kiongozi unaweza mlinganisha na chief of staff wa mataifa makubwa.Chief of staff (katibu wa Ikulu) ni nafasi nyeti sana and very senior kwenye serikali yeyote duniani.
Nchi nyingine hasa zenye unitary constitution kama muundo wa UK (ambao tume-copy) ni mkubwa kushinda katibu mkuu kiongozi ambae ni head of civil services (which includes idara za usalama).
In other words Diwani Athumani hiyo ni promotion.
Mimi siyo chawa Sufiani , labda kama kakppi swali languKumbe huyu ndie suphian juma Chawa maarufu wa mh.rais kwa Sasa twitter? Coz kule Twitter nako kauliza swali Kama Hilo hilo
Katibu mkuu kiongozi anaitwa ‘cabinet secretary’.Tafsiri yako siyo sahihi,katibu wa ikulu cyo chief of staff.labda katibu mkuu kiongozi unaweza mlinganisha na chief of staff wa mataifa makubwa.
Hana lolote huyo mchumia tumboKaka Pohamba ,hapa umewaacha hawa vizazi vya bongo fleva njia panda.
Nimefurahi kukuona tena jukwaani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upumbavu ni haiba ya mtu sio dharau wala tusi. Kama kuna mtu mnene, mfupu, mrefu sas mwingine ni mpumbavu. Au anaweza kuwa mpumbavu mnene au mpumbavu mfupi😃 zinaweza kuwa combinedSawa wewe mwenye akili, mwenye kudharau wengine kisa mrengo wao wa siasa.
Inaonywsha una matege weweUpo serious kweli? From mkurugenzi wa usalama wa taifa to Katibu wa ikulu afu unauliza swali kama hili? Ndo maana unamshabikia mbowe
Nani alikuonesha?Inaonywsha una matege wewe
Nadhani kuna majukumu wanaripoti moja kwa moja kwa Rais na mengine kwa KM wa Wizara yao husika...Cdf, Igp, Dg Tiss, ndio wasaidizi na washauri Raisi anapotekeleza majukumu ya Amiri Jeshi Mkuu wa vyombo vya ulinzi na usalama.
Tiss ina influence nje ya nchi kumbe?Demotion kubwa.... umetoka kusimamia idara nyeti yenye influence kubwa ndani na nje ya nchi, na kwenye mustakabli wa nchi, kwenda kusimamia ikulu tu! Tena naona kawekwa karibu ili asifurukute