Kuvaa Hijab ni dini au udhaifu wa wanaume?

Nimezungumzia now hatuvai namna zilivoamrishwa zivaliwe manakshi nakshi ni mengi kias kutamanisha ndo lengolangu lilikuwa hapo
Anaetakiwa kurekebishwa na kuacha tamaa ni mwanaume, na sio kumpa mwanamke mzigo wa manguo, binadamu anauwezo wa ku control hisia zake
Kama vile tu baba hawezi tamani mtoto wake wa kike ,ila anae tamani ni mgonjwa wa akili ndo hivyo wanaotamani hovyo wanawake kisa nywele ni wagonjwa wa akili (sex maniac)
 
ni 1wakorinto 11:24
 
Hivi unajua maana ya hijab?
 
Hivi unajua maana ya hijab?
Ndio hii Umar alileta idea yake , Muhammad akaweka verse

Soma
Umar said:.... , both righteous and evil doers enter your wives, so why don't you tell them to observe the hijab? Then the verse of hijab was revealed. ...... and it was revealed like that. Musnad Ahmad 157
 
Unanikumbusha, Vijana wa kariakoo na mbezi, wakipita wadada walivaa kimini cha kihasara hasara, wanamzonga wengine wakiingiza mikono yao kule, mpaka wanamchania hicho, kisketi mpaka anabaki Uchi, ila uzuri wanawake wanasitliana, hujitokeza mama mwema, na kumpa kitenge chake.

Ila siku hizi, wadada wameacha kuvaa nguo hizo hayo maeneo.
 
Kwa hiyo tukubaliane kwamba shida sio Mungu ila ni sisi tu ndo tuna shida kuamulia watu wamfuate Mungu kwa nguvu.
Kila mtu kaumbwa na Mungu na kuzaliwa peke yake, hivyo kazi ya kumuamini, kumshukuru na kumuabudu ni jambo na kazi binafsi pia. Kusimangana, kupigana na kushurutishana juu ya Mungu sio sawa na sio jukumu la mtu mwingine. Ndio maana Mungu akasema atamheremu na kumuokoa yule amtakae. Na hajasema huyo atakaeokolewa atakuwa ana sifa gani, kavaaje au anaabuduje,
 
Kwa hiyo huyo mwenyezimungu aliwaambia Muwalazimishe wavae hata wasipotaka kuvaa?
 
We mtoa mada kama unaamini Mungu ndie ameumba wanaadamu basi lazma ujue kuna sheria zake zinazopatikana katika misingi ya dini. Kasome dini ya uislamu ufahamu vzr na ukristo ufahamu vzr ndio ulete tena mada. Maana hapo umebwabwaja pumba tupu.
Hizo sheria zake aliwaambia nyie wala mlenda mulazimishe watu wazifuate?
 
Kwahiyo wanawake wavae hijab na nicarb kwasababu TU ya kichaa aliyekwenda kuwachungulia wanawake wanaojisaidia porini, siku hizi mtu kama huyo SI anafungwa miaka 30? Siku hizi haKuna vichaka vya kujisaidia kila mtu anakwenda chooni kwenye marumaru, vioo, AC, maji na jacus, kama sababu ilikuwa hiyo je hivi sasa Kuna haja ya hijab tena? Lakini Aya si unateremshiwa ukiwa usingizini ukiwa peke yako na wewe ndiye unaesema nimeoteshwa, hakuna shahidi.
 
Hujajibu swali, nahitaji jibu tu
 
Mwanaume ndio mwenye Dunia yake na mwanamke alitoka ubavuni mwa mwanaume kwa hiyo lazima apangiwe masharti jinsi ya kuishi katika utawala wa mwanaume asiishi jinsi anavyotaka yeye
Wanaume wote mmetoka kwenye tupu za wanawake, mama zenu, lazima muwe na staha na wanawake, lazima muwaseme vizuri. Ulikuwa tumboni kwa mwanamke halafu ghafla unasema mwanaume ndiye mwenye dunia yake, tuache ulofa.
 
Sasa taratibu za mahali zinatoka kwa Mungu? Acha ulofa.
 
Wanaume wote mmetoka kwenye tupu za wanawake, mama zenu, lazima muwe na staha na wanawake, lazima muwaseme vizuri. Ulikuwa tumboni kwa mwanamke halafu ghafla unasema mwanaume ndiye mwenye dunia yake, tuache ulofa.
Yaleyale ya Kuku na Yai, abgalia chimbuko la mwanadamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…