Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #141
unakumbuka sinema hii ya sirro wakati wa sakata la MO , ulimuamini ?yaani.maisha haya,.mnyika anamcheka siro eti anatumwa, sas sijue yeye anajituma au antumwa na mbowe mtu alilewa ,yeye anakazana kurefusha kamdomo kake kumshutumu siro utadhani siro.ndiye aliyempa mbowe konyagi. amuchie mbowe aseme baada ya kupiga konyagi aliona nini? wengine huwa wanaona ndugu zao waliotangulia
Pembe la ng'ombe linafichikaje ?mnashindwa hata kuficha aibu ya polisi
Maisha yanaendelaje hapo kumuomba?Mbowe alilewa waache kumfichia aibu
Kila mtu anajua Mbowe ni mlevi wa kutupwa
Mwambieni huyo mseminari Mnyika aache kubwabwaja
Mwanachama wa nini?In case Mbowe ni mlevi basi mwambien ajitahidi kuji control, wanachama tumechoka kumtetea
Mlilewa wote wapi na mlikunywa kiasi ganiMbowe alilewa waache kumfichia aibu
Kila mtu anajua Mbowe ni mlevi wa kutupwa
Mwambieni huyo mseminari Mnyika aache kubwabwaja
Ila safari hii Polisi wamejidhalilisha sana na bado aibu kubwa inakujaPembe la ng'ombe linafichikaje ?
Mngejua mnavyozidi kuropoka ndiyo mnazidi kuwaharibia mnaodhani mnawajenga, huko waliko wanatamani kuyarudisha midomoni mwao haya mauzushi yao.Cha muhimu apunguze kulewa sana
Nafikiri upellelezi wa mtu aliyelewa ni rahisi kuliko kumjua aliyempa pombe. Kumjua mshambuliaji ndo ngumu kabusa.Mngejua mnavyozidi kuropoka ndiyo mnazidi kuwaharibia mnaodhani mnawajenga, huko waliko wanatamani kuyarudisha midomoni mwao haya mauzushi yao.
awamu ya 5 imedhalilisha kila iliyemtumikisha , angalia makanisa na maaskofu njaa walivyodhalilika , leo Kakobe na Pengo hawawezi hata kutoka nje kwa aibu .Ila safari hii Polisi wamejidhalilisha sana na bado aibu kubwa inakuja
Inaaminika we anyika ni makini kuliko wenzako wengi. Usikubali kujiingiza kwenye utetezi wa kipuuzi na uongo. Yaani unaamini alishambuliwa na watu wakamkanyaga kanyaga na kumvunja mguu halafu baadaye aje dereva wake ambaye labda alishuhudia hayo au labda alishaondoka washauriane wasaidiwe na nani ndio waamue kumpigia simu dada/mama fulani ndio aje?
Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika leo ametoa kauli kali ambayo ndio kauli halali ya Chama chake kuhusiana na Propaganda za kishamba zinazosambazwa na Jeshi la Polisi zikiongozwa na IGP Sirro mwenyewe kuhusiana na shambulizi alilofanyiwa Mh Mbowe na Watu waliotumwa kumdhuru..
Ngugu yangu toa ushahidi basiiiMbowe alilewa waache kumfichia aibu
Kila mtu anajua Mbowe ni mlevi wa kutupwa
Mwambieni huyo mseminari Mnyika aache kubwabwaja
Kama unao ushahidi nenda kawasaidie Polisi ili waache kubwabwaja.Kwanini hili suala asije Mbowe mwenyewe aeleze kilichotokea?
Kwanini kina Mnyika ndio wapo mstari wa mbele kumtetea Mbowe badala ya yeye mwenyewe kuja kueleza umma?
Chadema acheni uhuni
Soma "between the line" mkuu, Konyagi ndio watu wasiojulikana!Kumbe jibu unalo,na unajua kwamba Mbowe alishambuliwa na watu wa idara??
Hujui kitu wewe , Shut up !Inaaminika we anyika ni makini kuliko wenzako wengi. Usikubali kujiingiza kwenye utetezi wa kipuuzi na uongo. Yaani unaamini alishambuliwa na watu wakamkanyaga kanyaga na kumvunja mguu halafu baadaye aje dereva wake ambaye labda alishuhudia hayo au labda alishaondoka washauriane wasaidiwe na nani ndio waamue kumpigia simu dada/mama fulani ndio aje?...
Hongera Mnyika! This is what we were waiting for. It is great!
Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika leo ametoa kauli kali ambayo ndio kauli halali ya Chama chake kuhusiana na Propaganda za kishamba zinazosambazwa na Jeshi la Polisi zikiongozwa na IGP Sirro mwenyewe kuhusiana na shambulizi alilofanyiwa Mh Mbowe na Watu waliotumwa kumdhuru...
Hujui kitu wewe , Shut up !
Mpaka sasa wamesha mshindwa.Kisheria ukitaka kumtuhumu mtu kwa ulevi wa pombe, ni lazima upime asilimia ya kilevi (alcohol %).
Haiwezekani watu wanaotunga na kusimamia utekelezaji wa she ria za Inchi kudai kuwa mtu alikuwa amelewa chakari.
Hii chakari ni % ngapi?...
Ni mjinga tu atakae amini alichosema mnyika,sote tunajua mbowe alilewa
Kondomu mko wengi sanaIla kwa hili la kuanguka Mbowe, kwakweli limeaibisha chama na uanachama wote. CDM ninavyowajua kama Mbowe angekua amepigwa wangeongea mpaka tungejuta hahaa ila kwa kuwa ni nguvu ya pombe aah wapo kimya wanarusharusha miguu tuu