Kuwa makini na aina hii ya majibu toka kwa mwanamke

Mwanamke kutokumpa ngono mwanaume mwenye fedha anayemsumbua ni sawa na mwanaume kutokumgusa rafiki mrembo wa mkewe aliyeomba hifadhi kwao huku akipita kila siku na kanga iliyolowa mkewe akiwa safarini.
 
Kwahiyo blaza yaani utume laki kubet puss*?wakati hiyo laki ungepata pus*y kali na bila usumbufu ikakupa raha ya kutosha...
 
Kuna weekend nilimtafuta mrembo nimtoe dinner tukafahamiane. Nilipanga kutumia chini ya 2hrs, one day before hajakubali akaniuliza tutaenda kiwanja gani (namna ya kulinganisha hadhi). Nikamtajia sehemu ya kawaida ila haiko mbali, lengo langu asinicheleweshe nikimaliza mambo yangu nachomoka faster nafika mazingira anasogea nimsome kama anafaa kwa kampani.

Kwenye chats akadai "kwanza sijui kama nitapata muda" nikamwambia hapohapo acha usijue siji tena. Nina mambo mengi ya kufanya sitaki majaribio.
 
Huyo ulimuweza kweri kweri 😂 haezi rudia huo ujinga. Akili hio anayo mwanangu Jay 26. Huyo ukizingua promise hata dakika 5 tu anakutupa na namba anafuta😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…