Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Utakua fala wa mwisho ukibadir hiyo avatar Wanakusoma akili afu wanakudharau kwamba lolote wakisema unatekelezaLabda niwe nimelewa mzee 😂
mwamba namkubali kichiz hasa wakiwa na Ashanti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakua fala wa mwisho ukibadir hiyo avatar Wanakusoma akili afu wanakudharau kwamba lolote wakisema unatekelezaLabda niwe nimelewa mzee 😂
Tutafute hela, wanawake hawana majibu mabaya hata kidogo. Ni watiifu kweli kweli
Siyo kupumua zake tu mkuu, mwache aendelee kudanga!Leo nimeamua niwape TiP wale amateurs kwenye dating & hooking up games kuwa ukiona unapokea majibu ya aina hii usipoteze muda hata kidogo. Endelea na shughuli zingine za kujenga taifa tu.
1. Labda ntakuja...(Hii ni kwamba haji kabisa)
2.Nitakujulisha....(Hana mpango wowote na wewe)
3. Sina hakika sana.... (Huyo ana uhakika kabisa haji)
4.Nitajitahidi nije...( Hatajitahidi kwa lolote)
5.Nitakufikiria usijali...(Hana ambacho atakifikiria hata kidogo)
Check with the next girl huyu wacha apumue zake, ana mtu wa kumkeep busy.
Ukisikia gundu ndio hilo yaani unakataliwa hadi na malayaSome crazy shiyt 😂😂😂
Acha hizo 🤣🤣🤣Leo nimeamua niwape TiP wale amateurs kwenye dating & hooking up games kuwa ukiona unapokea majibu ya aina hii usipoteze muda hata kidogo. Endelea na shughuli zingine za kujenga taifa tu.
1. Labda ntakuja...(Hii ni kwamba haji kabisa)
2.Nitakujulisha....(Hana mpango wowote na wewe)
3. Sina hakika sana.... (Huyo ana uhakika kabisa haji)
4.Nitajitahidi nije...( Hatajitahidi kwa lolote)
5.Nitakufikiria usijali...(Hana ambacho atakifikiria hata kidogo)
Check with the next girl huyu wacha apumue zake, ana mtu wa kumkeep busy.
Ila nimecheka 🙌🤣🤣🤣🤣Tutafute hela, wanawake hawana majibu mabaya hata kidogo. Ni watiifu kweli kweli
🤣Jmn mtu ukitaka kumla lzm umtinze ebooss umle matumizi apate wapi? 🤣🤣Hawa wanaume siwaelewi kwann wanaona wanawake wanapenda Hela tuMbna unapita mule mule, ila sio kwa Malaya hata wa kawaida pia.
Ss ndugu utasemaje mwanamke anapenda fedha ,km umeamua akumla mi jukumu lakoBoss wala haihitaji kuwa legend, hili linajulikana ila ni fedha ndo kidogo ni ngumu kuamua kumpa mwanawake wa mtaani sababu haipatikani kirahisi.
😂😂😂😂😂🙊Ukimshtua na muamala lazima atimbe....
Mzee mtoto km hatak ujue hatak tu trust miUkimshtua na muamala lazima atimbe....
[emoji23][emoji23][emoji23] hahahaaa full mikazo!!!Kwanza dame unamuomba namba anakuuliza ya nini, namwambia haya mama safari njema
Tunawapa pesa sababu hatutaki kupotezeana muda na maigizo maana tunajua mwanamke anapenda fedha na akiipewa anajiacha ila as long as sio mkeo hana cha thamani anachotoa kudeserve matunzo maana kama ni kufurahia ngono sote tunaifurahia sasa kwanini utunzwe? Nini cha ziada unatoa? Kama ni bao na wewe si unalipiga wakati wa ngono? Kama ni kuvaa hata mwanaume anavaa ndo aje kwako mkafanye ngono.Ss ndugu utasemaje mwanamke anapenda fedha ,km umeamua akumla mi jukumu lako
Yaani u atakua umle halafu nani ampe matunzo?
Hapa wale wa KATAA NDOA wanamaisha mazuri sana! Hawataki stress za kipuuzi kama hizo wake/mademu za watu wanaliwa sanaMwanamke kutokumpa ngono mwanaume mwenye fedha anayemsumbua ni sawa na mwanaume kutokumgusa rafiki mrembo wa mkewe aliyeomba hifadhi kwao huku akipita kila siku na kanga iliyolowa mkewe akiwa safarini.
Nilifanyaga upuuzi huo enzi za balehe zikinisumbua sumbua, nilipogonga 30yrs tu huwa nakula Ke kimasihara bila mitongozo sirias, wala chapaa...[emoji2]Hiii iko na mwenyewe [emoji2].. endelea tu kurusha rusha ndoano utapata
Uko sahihi kabisa kwa 100% Chifu.Tatizo tunawataka sana wanawake, dawa ya mwanamke ni kutokumtaka. Kazi ya kutafuta mpenzi ni ya mwanamke ndio maana wanaenda kwa Mwamposa kuombewa.
Tatizo wanaume wengi tumejipa ilo jukumu ndio maana tunatesekea mapenzi, hadi tunashindwa kufanya mambo ya maana.
Makubwa ss km hakuna Cha maana zaidi si Bora ubaki Kwa mkeo tu?Tunawapa pesa sababu hatutaki kupotezeana muda na maigizo maana tunajua mwanamke anapenda fedha na akiipewa anajiacha ila as long as sio mkeo hana cha thamani anachotoa kudeserve matunzo maana kama ni kufurahia ngono sote tunaifurahia sasa kwanini utunzwe? Nini cha ziada unatoa? Kama ni bao na wewe si unalipiga wakati wa ngono? Kama ni kuvaa hata mwanaume anavaa ndo aje kwako mkafanye ngono.
Makubwa 😳