Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa huwa unareact vipi juu ya hiyo hali alafu pisi kali ndio zinajigonga gonga?😃😃Nikienda sehemu nikiwakuta basi inakuwa kero, wanadhani bosi katika kumbe hakuna kitu
Ndyo, kwenye boxer guu la mtotoVipi umejaziajazia sehemu sehemu pia au?
Sometimes nachukua namba, lakini badae napiga chini tu, maana nikiendelea zaidi nitaumbukaSasa huwa unareact vipi juu ya hiyo hali alafu pisi kali ndio zinajigonga gonga?😃😃
Una weusi mzuri my😂
Mfano wanasema Marekani ni taifa la mashoga, Je raia wote wa U.S.A wanakuwa wanajihusisha na LGBTQ?Umejuaje hayo bro, au na wewe ulishawahi kuwa shoga?
Hii mada haihusu hayo mambo, kama na wewe ni mmojawapo na unataka kuwasemea, nenda kwenye mada zinazohusu hayo mamboMfano wanasema Marekani ni taifa la mashoga, Je raia wote wa U.S.A wanakuwa wanajihusisha na LGBTQ?
angalau amesifiwa na jinsia kinzani...Huyu ndo kijana handsome ninayemjua, 40 years old
View attachment 3060447
The Point is,Hii mada haihusu hayo mambo, kama na wewe ni mmojawapo na unataka kuwasemea, nenda kwenye mada zinazohusu hayo mambo
Sijali hayo majina wanayoniita, mimi nimetoa maoni au kuleta mada hii nikijua kabisa wapo ambao watasema maneno ya aina hiyoMfano huu Uzi umepelekea umeitwa
Mboga
Mchicha
Sawa, kuna lingine la nyongeza au ni hayo tu?The Point is,
mwanaume anayejisifia uzuri, huwa ana vinasaba fulani vya LGBTQ.
70% ya wanaojisifu si watu wa kazi na ni rahisi kuachia exhaust
Nimeona ile issue yetu usiniulize tena🤨Huyu ndo kijana handsome ninayemjua, 40 years old
View attachment 3060447
Punguza hasira😂Nimeona ile issue yetu usiniulize tena🤨
Tumefuta urafiki sichezi na wewe tena 😪Punguza hasira😂
Tumefuta urafiki sichezi na wewe tena 😪