Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Sijui heshima mnaichukuliaje? Hao wa kijijini ni uoga na ambao sio wasomi ni nidhamu za woga tu lakini sio kama wana heshima.Unaishi dunia gani mkuu. Elimu na kipato ni factors kubwa sana zinazochangia heshima ya mwanamke. Kadiri mwanamke anavyozidi kupanda ngazi kieleimu na kouchumi ndivyo anazidi kupoteza sifa za mke bora.
SAWA mdogo wangu nimetulia,ila pole na haya Mashangazi uchwara!Ndo sababu ukaiita miaka hiyo, Miaka hiyo mawasiliano ya simu hayakuwepo na kama yalikuwepo yalikuwa kwa mbinde sasahivi huyo single maza ana simu inam-connect na mzazi mwenzie ndani ya dk 0 wapo wanakunjana unataka watu wavumilie?
Kipindi hicho wanawake wana aibu ya kuolewa na kuachika unalinganisha na sasa kipindi cha kina Dida Shaibu mwenye ndoa 4+ na zote kaachika na uso wake mkavu tu hata haya hana!!?
Sikiliza mkuu, Wewe Kaa Tulia.
Sawa mkuu oa ferministSijui heshima mnaichukuliaje? Hao wa kijijini ni uoga na ambao sio wasomi ni nidhamu za woga tu lakini sio kama wana heshima.
Kila mtu aoe ambaye ataona anafaa. Ila ndoa inaweza kukupelekesha haijalishi umeoa msomi, mwenye hela au laSawa mkuu oa ferminist
All women are modern, sawa mkuu???, ndio maana wanaish katika modern society.Modern woman
N masikitiko makubwaMkuu hebu jazia nyama kidogo yule single mother alikufanyia kitu gani?
We acha tuu, unambeba na mapungufu yake na mizigo yake ila Dah 🙌Ilikuwaje boss?
Kwa hiyo hao wanawake unaowaita magolikipa ndio hawastahili kuolewa kabisa au hawana haki ya kuolewa sio?No wonder kuna wanaume wanaamuq kuoa golikipa bora maisha yampige lakini awe na mnyonge wake nyumbani
Inferiority complex yasumbua wanaume
Yah n tamu knoma, ila ndo hvy tenaIla mbususu yake sii tamu mwanawane
The future is uncertainty but that's not the reason for you to gamble on toxic woman.Kila mtu aoe ambaye ataona anafaa. Ila ndoa inaweza kukupelekesha haijalishi umeoa msomi, mwenye hela au la
Huyo jamaa uliyemjibu hii comment ni first class simp, yaani ni aina ya wale wanaume waliochotwa na usasa wenye mlengo wa kike, jamaa anajikutaga ni bonge la liberal na wakati ni mjinga tu mmoja anayetamani kuishi maisha yasiokuwa na uhalisia wa ulimwengu huu.Hakuna complex yoyote kiukweli mienendo ya wanawake wa kisasa haifai., kwamba mwanamke alete jeuri na umalaya halafu umfumbie macho ili uonekane hauna iyo inferiority compex?
Kuna ulazima gani wa mke wa mtu kuvaa nguo fupi au kuchelewa kurudi nyumbani. Mwanamke akivaa nguo za heshima na akimuaga mumewe anaenda wapi vile vile akiwahi kurudi home atapungukiwa nini?
Wanawake wa kisasa wamechagua hoe and partying life style wenyewe wanajua ndio uhuru, wamechagua kuwa jeuri, wabinafsi wenyewe wanajua ndio ferminism iyo na hayo yote wanataka kuyafanya bila kuwa accountable kwa yoyote.
Most of men like you have been brainwashed to think putting up with this nonsense makes you a strong man. Being a strong man means set boundaries and demand respect, you have to hold these women accountable.
All these women claim to be right advocates and ferminist are just pure evil bitches, they love to give morals but have non and they enjoy the company of weak men.
I yet to see a woman in leadership position or ferminist who is not an evil twisted soul far from womanhood
Kwani utajua ni toxic, watu wanabadilika.The future is uncertainty but that's not the reason for you to gamble on toxic woman.
Muhimu unapata utam wa mbususu mengine ya avumilikaYah n tamu knoma, ila ndo hvy tena
Feminists ni wanawake au watu waliopaswa kupuuzwa tangu tuingine Karne ya 21.Feminism ni nini?
Mbona neno hili huwa hatulisikii kwenye mada zinazohusu vita?
Au wenzangu mnikumbushe labda pengine kuna siku Feminist waliwahi kudai haki ya wanawake kukaa front line huko Ukraine na Gaza ila mi tu sikusikia?
"Ladies first" ni kauli mbiu nayokutana nayo mara nyingi kwenye maswala ya kimaslahi na sio kwenye mambo magumu.
Ni ulimbukeni tu, Beyonce ana sura, pesa na kalio la haja ila katulia kwenye ndoa yake, hapa nyumbani mwanamke kumiliki tu saloon basi tako mbwata!Ukiwa Feminists ni shida,
Single mother ni shida,
Ukiomba pesa malalamiko
Ukimzidi mwanaume wako kipato kama yeye sio marioo tatizo.
Ukimzidi mwanaume elimu ni tatizo
Ukivaa nguo za kubana sio wife material
Ukitoka nyumbani unatakiwa kuomba ruhusa.
Ukichelewa kurudi nyumbani tatizo.