Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #101
Malizia kuongea bbySio lazima ukiwa na heshima , upendo utapendwa nawengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malizia kuongea bbySio lazima ukiwa na heshima , upendo utapendwa nawengi
Yes, ukijua kubembeleza hutodaiwa hela Wala Nini watajitolea kukutunza ila ukijifanya mjuaji unazimwaMalizia kuongea bby
mimi naona wote tupo sawa..... ni watu wachache ndo wana mitazamo mibayaWewe lete yako tyone
Kwa hiyo mwanaume kumtongoza mwanamke wa kizungu ni kudanga?Sasa mbona wanaume munawadangia wazungu
Sifa izo tunazo sisi peke yetu darYes, ukijua kubembeleza hutodaiwa hela Wala Nini watajitolea kukutunza ila ukijifanya mjuaji unazimwa
Ndio ninyi mnajipitisha mahotelin nakuomba namba ovyo ovyo tuKwa hiyo mwanaume kumtongoza mwanamke wa kizungu ni kudanga?
Lakin arusha punguzenmimi naona wote tupo sawa..... ni watu wachache ndo wana mitazamo mibaya
Paka hizo powder, lip bum na kuvaa shanga kama kawaida yenu mkadange muone kama mtawapata..Wanaume wa arusha tunajua mnawadangia wazungu ilo halina ubishi
WachaaSifa izo tunazo sisi peke yetu dar
😂😂😂😂 kumbe kweli mnadangaga case closedPaka hizo powder, lip bum na kuvaa shanga kama kawaida yenu mkadange muone kama mtawapata..
nini....Lakin arusha punguzen
Bora mwanaume wa Arusha anaomba namba kwa wanawake watasha anakuwa anatengeneza mazingira, kuliko nyie wabongo kazi kujipitisha kwenye mabaa na kugongea pombe kwa wanaume mwishowe mnaenda binuka.Ndio ninyi mnajipitisha mahotelin nakuomba namba ovyo ovyo tu
Ndio nani??Baby mimi nina show mbovu? Mjibu Sinoni
Harafu wanajiita wanaume wa DarAnakataaa wakat noel kinara anatokea uko uko
KataNdio nani??
Unamaanisha nini we mjuaji?Harafu wanajiita wanaume wa Dar
Ingekuwa vzr ungenipa dem wak akaja kukuhadithiaUnaongelea show ya kukata mauno au kugugumia?
Kitandan et na show mbovu?Ndio nani??