Kuwa Mwenyekiti wa kamati ya harusi ni kazi sana

Tafuteni hotel yenye garden hapo mtapata garden bure na watawafanyia arrangement ya viti na meza mtalipia chakula na vinywaji hela inayobaki mtamlipa mpiga picha watapata kumbukumbu ya picha. Wale wakalale kama haelewi alete hela.

Au nendeni Cozy Cafe wenyewe unalipia chakula na vinywaji, mapambo na eneo bure. Hiyo hela inatosha
 
[emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana yaani mwenye harusi katoa laki 5 tu kati ya 5M ...aisee bwana harusi katisha[emoji23][emoji23][emoji23]
 

Yes hata Cozy cafe patawafaa sana, kama wapo Daslam, pako vizuri.
 
Hii nimeipenda sana
 
Kama uenyekiti wa harusi ni Kazi wa Chama cha siasa utakuwaje?
 
Uenyekiti wa harusi ni kazi ngumu na ya kijinga. Fanya kazi zako... Hiyo wala sio kazi..

Mwambie kama anataka hayo makubwa unamtakia kila la kheri na umkabidhi mafungu na daftari la pledge...

Tunaacha kukaa chini kuchakata mawazo ya kibiashara na kuhangaikia financing ..tumekalia sare na ukumbi.. so sad.

Inabidi siku moja mchana tukiwa barabarani ishuke mvua kubwa ya vitu vizito ipige vichwa vyetu hivi mpaka akili ijiseti vizuri.
 
Wewe umezaliwa bongo ama? Mbona unajifanya hutujui sisi wabongo? Kwa nini michango tuchange mapema kiasi hicho? Nmataka hela yetu kuizungusha kwenye biashara zenu?Tutachanga siku 3 kabla.
Wabongo tuko tiyari changia harusi ila sio mgonjwa aliyepo hospital.😂😂
 
Tafuta mkeka, unga wa ngano kilo 15, mchele kilo 50 na nyama kilo 25 alafu vunga anza kutembea na chupa ya maji kubwa akikuuliza kila kitu kipo sawa? Kohoa kdogo fungua maji kunywa funda moja alaf muonyeshe ishara ya kutulia kwa mkono
Jibu bora zaidi kwa mwaka 2021. Litumike pia kwenye kamati zingine za harusi pale mambo yanapokwenda mrama. Nimecheka mno mkuu.
 
Mkabidhi kilichopo basi apange yeye wewe uwe mgeni mwalikwa
 
Mwambie amalize yeye kwanza ndiyo upate nguvu ya kutafuta wengine,maana swali litakuka bwana harusi latoa ngapi?
Halafu wanataka wapate zawadi ya 1/8 yaapato,bado walazwe,wakodiwe gari nk
 
Hivi kwani huwezi kufanya harusi pekee yenu bila michango?

Nauliza tu
Eti,mnaipiga pale church mkimaliza buku 50 za pastor then hao group mtu sita tu mnapiga bonge la dinner kituo chochote mnarudi home mbonji hiyo kilo 5 chenchi inabaki.
Harusi yangu nilipika mwenyewe chakula watu 100,watu walikula,kunywa mpk kusaza na kudance usiku wote.
Sikumchangisha mtu senti 10,walileta vizawadi tu.
 
Hii nimeipenda lazima niige
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…