joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Hivi kati ya jinsia ya ke na me ipi ina utitiri wa NGOs?Hii inahubiriwa na nyie wanaume kwa kasi sanaaa ila ni kwenye pesa tu, mengine hamtakiš¤£š¤£
Si mnajiita vichwa vya familia, sasa iweje hilo liwe tatizo!!!
Kwahiyo mnataka haki sawa au hamuitaki?
Wana ujinga mwingi hawa...yaani ukichat nao tuu utasikia bby nikwambie kituKuna mmoja kaniomba 30000 na hata sijamtongoza nimeshtuka hadi nikachekaš
Weeeeeh! Kuna hizi simbilisi hazina hela halafu zimeoa pisi za hatari.Uongo wapi bwana wewe..hao waliooolewa nanbroke men its because they ugly lookingš¤£š¤£š¤£š¤£š¤£
Wameolewa sio wameoa bwana.Weeeeeh! Kuna hizi simbilisi hazina hela halafu zimeoa pisi za hatari.
hahahahah, ungemsaidia tu mkuu na mungu angekubariki..Kuna mmoja kaniomba 30000 na hata sijamtongoza nimeshtuka hadi nikachekaš
Achana na NGO, hizo ni biashara za watu kujinufaisha. Sema, mnataka haki sawa au hamtaki?Hivi kati ya jinsia ya ke na me ipi ina utitiri wa NGOs?
Dah yani sikujua kutoa 30000 ni rahisi hivyo.Wana ujinga mwingi hawa...yaani ukichat nao tuu utasikia bby nikwambie kitu
Hapana aisee Bora ingekuwa mwanaume na namjua ningejua huyu kakwama na huwa wanashukuruhahahahah, ungemsaidia tu mkuu na mungu angekubariki..
Wewe ni mjinga mmja,ukitaka mwanamke akupende usimpe attention Wala kujifanya unampendaWasalam wakuu,
Kama mada inavojieleza. kwenye haya maisha inatokea kunamwanamke unampenda sana yani nawewe unatamani arudishe upendo kama unavompenda.
Cha ajabu sasa kadri siku zinavozidi kwenda unahisi kabisa mapenzi huyaoni ila unaona kabisa anakuchukulia ni kama fursa ya kujinufaisha kiuchumi hadi unahisi huyu atakua anataka tu kuokota kwa mgongo wa mapenzi.
Wanawake achen utapeli kama hela taften na nyie zakwenu kwenye mahusiano kila mtu kuna umuhimu wa kuprovide a provide.
au utasikia na shida na kiasi flani, ukijiroga kumwambia takupa mda flan utatamani simu ufunge, mana zitamiminika simu na sms had utaonesha ulikoweka hela ila ukiomba game vinamajibu ya shombo. utasikia mim sio sex toy, sasa unajiulza sasa hela zangu anadai za nini kana kwamba ni haki yake.. wanawake ni matapeli sana kwa mgongo wa mapenziWana ujinga mwingi hawa...yaani ukichat nao tuu utasikia bby nikwambie kitu
Dah kuhudumiwa na Mwanamke ni unyonge sana aisee. šššHata kudate a broke ass man ni kazi vilevile, maana unageuka mwanaume kwenye mahusiano ni kumuhudumia tu kijana mara buku mara afu tatu.
Eniweiz tuvumiliane.
Tajiri uko wapi sahivi, nikupigie? Ndio natoka bandarini kishusha kontenamaskin wenzenu. sisi matajir tunaona mnafake love yan mnafata hela tu.
sawa nimekubal mimi ni mjinga, ila naomba orodhesha hapa vitu vya kuzngatia(guidelines) ili next time niwanyoshe na mimi. karibuWewe ni mjinga mmja,ukitaka mwanamke akupende usimpe attention Wala kujifanya unampenda
Biashara za watu ila zinanguvu maana wanaruhusiwa kufanya kampeni mpaka mashuleni na hawa ndio walio tuharibia jamii yetu ya sasa, watoto wengi wa kiume wa siku hizi hawa fikiri kama wanaume.Achana na NGO, hizo ni biashara za watu kujinufaisha. Sema, mnataka haki sawa au hamtaki?
nipo kwenye private jet nelekea dubai, nikitoka dubai ntakua HAWAII kwa siku tatu nikitoka hapo naenda INSTANBUL baada ya hapo tarejea bongo land.Tajiri uko wapi sahivi, nikupigie? Ndio natoka bandarini kishusha kontena
niviumbe vya ajabu sana, yani mwanamke anakuomba kitu ila ukikumbka vile hawana shukran mzuka unakata ghafla.Hapana aisee Bora ingekuwa mwanaume na namjua ningejua huyu kakwama na huwa wanashukuru
Mwanamke shukrani hana mkuu.
Dah! Ila kwenye huu uzi tutaona shuhuda nyingi sana za wanaume walivofanyiwa na ke.Usinikumbushe machungu yule mtu alikua taahira na inakera sana kama mtu mzima miaka 35 anakosa elfu tatu ya kula? " baby naomba afu tatu nna njaa sijala tangu asubuhi.
Hawa ni kununia mbususu na kusepa zako. Mapenzi kwa mama yako tuu.au utasikia na shida na kiasi flani, ukijiroga kumwambia takupa mda flan utatamani simu ufunge, mana zitamiminika simu na sms had utaonesha ulikoweka hela ila ukiomba game vinamajibu ya shombo. utasikia mim sio sex toy, sasa unajiulza sasa hela zangu anadai za nini kana kwamba ni haki yake.. wanawake ni matapeli sana kwa mgongo wa mapenzi
notedHawa ni kununia mbususu na kusepa zako. Mapenzi kwa mama yako tuu.
Hawa wanawake wengine ni matapeli tuu.
Dont date broke gals