guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,758
AhahahaNdiyo. Mzee Nyerere aliwaita mabeberu wakaiangusha bei ya zao la mkonge halina bei hadi leo. Alipokuja Mzee Mwinyi akabadilisha jina wakawa wahisani au wafadhali, Mzee Mkapa akawaita wawekezaji. Mzee Kikwete akawaita wadau wa maendeleo sasa awamu hii tunaanza kurudi kule kule kwa Nyerere ambaye walimtaiti mpaka akaukimbia urais
Ubepari uliokuwa imaana hujui maana ya kukuaKuna ubepari na ubapari ulio komaa..ebu fafanua vizuri umekomaa vipi..?
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ule nao unauita uchaguzi?Baada ya kichapo cha mbwa mtu kwenye box la kura naona unaibuka na nyuzi za kitoto. Unajua nini maana ya Beberu? Unadhani kila mfadhili ni Beberu. Unafahamu dhana nzima ya Imperialism? Tumia akili zako unapofanya ukosoaji wa kiuchambuzi.
Tatizo ccm mumejusahau na kulifanya Taifa la Tanzania kama kichwa cha mwendawazimu. Kila mwenyekiti wenu mpya anakuja kujifunzia kunyoa hapo toka uhuru. Sijui kama hata wewe mwenyewe unaelewa ulichokiandika.Wewe endelea kuota tu, eti maendeleo yatakuja na ufadhili. Tumefadhiliwa tangu tulipopata uhuru, lakini 2015 hapajakuwa na meandeleo yoyote. Nchi zilizokuwa nyuma ka,ma Korea Kusini, malaysia, Vietnam, etc zote zimeendelea kwa kutumia pesa za ndani tu. Wewe bado unatamani na kung'ang'ania kufadhili. Wewe ni sawea na baba wa familia anayeshindwa kulisha familia yake akitegemea misaada na kuhemea kutoka kwa ndugu na marafiki. ebu angalia kutegemea kwetu mapato ya ndani kumetufikisha wapi katika miaka mitano (UCHUMI WA KATI).Mtu mwenye aklili na kutaka kuendelea ataendelea tu kwa kutotegemea misaada peke yake. Kwanza hata hiyo misaada huwa ina masharti ya kuturudisha nyuma wakatyi mwingine. Jitegemee kwanza, mikopo iwe ni pla two.
hivi wewe ukitaka kuanzisha biashara (kujiendeleza) utategemea misaada tu. Kabla hata ya kupata mkopo inabidi waangalie uwezo wako wa kuwalipa, na una nini cha kuchukuwa ukishindwa kulipa.
Well said.Hata wanaotoa kauli hizo, wanajua wanazitoa kisiasa.
Njia rahisi ya kumtawala Muafrika ni kumtengenezea adui wa pamoja, yani hawa wakoloni weusi wa leo kina Magufuli wanaotutawala kwa kuiba kura wakishindwa kutatua matatizo ya wananchi, kimbilio lao ni kuzusha vita dhidi ya "mabeberu".
Hapo wanawachota wananchi.
Na utakuta watu masikini kabisa wanaokandamizwa na hii serikali, na wao wanaitetea, kwa sababu tu wamelishwa ujinga wa "kupigana dhidi ya mabeberu".
Kusema ukweli ubeberu kwa kiasi fulani upo. Dunia ina geopolitics, ina espionage, ina national interests. Kwa hiyo, dhana ya "mabeberu" si kweli kwamba ni ya uongo kabisa.
Ila, wanasiasa wanajua kuitumia kwa manufaa yao, si kwa manufaa ya taifa.
Wanajua kuutumia ukweli fulani mdogo (a kernel of truth) na kuukuza vibaya kwa manufaa yao ya kisiasa.
Maanay yake nini?
Chukulia Wamarekani kwa mfano. Nchi yenyewe imegawanyika. Kuna Democrats na Republicans.Kuna Conservatives na Liberals. Kuna watu wa mijini na wa vijijini. Hawa si wamoja, wenyewe wanapingana.
Kwa kuangalia "popular vote", mshindi, Joe Biden, mpaka sasa, hajafikisha hata 51% ya kura zote. Yuko kwenye 50.8%. Wakati Trump yuko 47.3%.
Katika serikali ya Trump, kuna watu wamejiuzulu kazi serikalini kwa kupingana na muelekeo wa serikali ya Trump.
Rais George W. Bush, a conservative and Republican, ndiye rais aliyeisaidia Africa kuliko marais wote, kuliko hata Obama. Hususan kwenye mambo ya kupigana na magonjwa kama Malaria na AIDS.
Sasa watu hawa very complex. Tuukiwashutumu, basi na shutuma zetu ziwe complex.
Siyo mtu unaiba kura, Wamarekani wakikusema umeiba kura, unajitetea kwa kuwaita mabeberu.
Wakati hata wananchi wako wengi tu wanalalamika umeiba kura na umezima mitandao ya kijamii.
Sasa hao wananchi wako nao ni mabeberu?
Kuiba kura na kuzima mitandao ya kijamii nako si ubeberu?
Beberu ni lazima awe mzungu au Mmarekani?
Umetaja mataifa ambayo yalikuwa masikini kama sisi wakati wa uhuru, lakini sasa wako juu. Halafu tatizo ni beberuWewe endelea kuota tu, eti maendeleo yatakuja na ufadhili. Tumefadhiliwa tangu tulipopata uhuru, lakini 2015 hapajakuwa na meandeleo yoyote. Nchi zilizokuwa nyuma ka,ma Korea Kusini, malaysia, Vietnam, etc zote zimeendelea kwa kutumia pesa za ndani tu. Wewe bado unatamani na kung'ang'ania kufadhili. Wewe ni sawea na baba wa familia anayeshindwa kulisha familia yake akitegemea misaada na kuhemea kutoka kwa ndugu na marafiki. ebu angalia kutegemea kwetu mapato ya ndani kumetufikisha wapi katika miaka mitano (UCHUMI WA KATI).Mtu mwenye aklili na kutaka kuendelea ataendelea tu kwa kutotegemea misaada peke yake. Kwanza hata hiyo misaada huwa ina masharti ya kuturudisha nyuma wakatyi mwingine. Jitegemee kwanza, mikopo iwe ni pla two.
hivi wewe ukitaka kuanzisha biashara (kujiendeleza) utategemea misaada tu. Kabla hata ya kupata mkopo inabidi waangalie uwezo wako wa kuwalipa, na una nini cha kuchukuwa ukishindwa kulipa.
sasa awamu hii tunaanza kurudi kule kule kwa Nyerere ambaye walimtaiti mpaka akaukimbia urais
Beberu mi najua Ni mbuzi wa kiume[emoji1787][emoji1787]
BEBERU sio matusi mzee ......kwa kiingrerza tunawaita imperialist....
China imeendelea sana
Ilipewa misaada?
Badilisha mtazamo
Umatonya ni fikra mgando
Ninyi watu mnakaririshwa haya mambo au mnafuatilia historia sahihi?Ndiyo. Mzee Nyerere aliwaita mabeberu wakaiangusha bei ya zao la mkonge halina bei hadi leo. Alipokuja Mzee Mwinyi akabadilisha jina wakawa wahisani au wafadhali, Mzee Mkapa akawaita wawekezaji. Mzee Kikwete akawaita wadau wa maendeleo sasa awamu hii tunaanza kurudi kule kule kwa Nyerere ambaye walimtaiti mpaka akaukimbia urais
Ni nini? Kisa Chadema imekosa wabungeUle nao unauita uchaguzi?
Hapa umeandika kishabiki tu.Suala la ugaidi, linaweza kumalizwa haraka sana kwa kuwa na serikali za majimbo.