Kuwasili kwa treni ya abiria jijini Arusha kwa mara ya pili baada ya miaka 30

Kuwasili kwa treni ya abiria jijini Arusha kwa mara ya pili baada ya miaka 30

Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM ndugu Polepole leo anazindua Huduma ya usafiri wa treni kati ya Moshi na Arusha.

Mkoa mzima umetulia kimya na watu wote wameelekea stesheni kushuhudia treni ya kwanza ya TRC iliyobeba makada wa CCM ikianza safari ya kihistoria.

Source Channel ten.

Maendeleo hayana vyama!
Karne hii ya 21 mnazindua treni ya Mwaka 1900 huko???? CCM hamnaga akili kabisa
 
Sawa. Ila ni ajabu watu wa huko kuacha kazi na kwenda mikutanoni
 
Msikusanye wanafunzi wa Primary na Sec, wanachuo pamoja na wafanyakazi wa umma. tumesema hivi sababu hamkawiagi nyie ili muonekane mmejaza watu kwenye TBC yenu.
 
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM ndugu Polepole leo anazindua Huduma ya usafiri wa treni kati ya Moshi na Arusha.

Mkoa mzima umetulia kimya na watu wote wameelekea stesheni kushuhudia treni ya kwanza ya TRC iliyobeba makada wa CCM ikianza safari ya kihistoria.

Source Channel ten.

Maendeleo hayana vyama!
Hao watakuwa wameletwa na magari kutoka Tanga na Mwanga
 
Kuna watu na viatu

Wewe ni kiatu au Kuna moshi ingne Tanzania mm siijui
 
Uzuri wake Nikwamba Zama zimebadilika siku hizi ukiingiza Siasa kwenye Maswala ya umma unajulikana mapema tu, hii imesababishwa na Teknolojia kuenea pamoja na Elimu.

Maana zamani wajinga wasio na Elimu pamoja na Teknolojia duni vilitumika Kama nyenzo ya kupata kura za wajinga.
 
Moshi kwenda Arusha wananchi wanatumia coaster bus TSH 3,000 kwa kutumia masaa 1.30 kuingia arusha.sasa train kutoka Moshi kwenda Arusha itatumika masaa 4 Nani wa kuisubiri? Itapalia abiria kwa TSH 330 au?
 
Apande huyo slow slow na mke wake!

Na mwisho wao wa kukaa uraiani ni pale Lissu akiapishwa kuwa rais, haya makando kando yote waliyoyafanya ccm yatawacost
 
Siasa za kishamba Sana. Swali langu Ni moja tu Hivi nikweli wanaamini watatawala milele bila kupigwa chini?? Siku itafika ujanja ujanja wote utaisha kwa kuwa Hakuna kitu Cha kudumu maishani hata uhai wetu Ni wa muda TU sembuse utawala!!? Nachofurahi wajinga wengi wameamka usingizini.
 
Nawasifu tu CCM kwa kuwa na Mikakati ya namna hii kwani hakuna asiyejua kuwa Kilimanjaro na Arusha walikuwa hawapendwi sasa watapendwa.
 
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM ndugu Polepole leo anazindua Huduma ya usafiri wa treni kati ya Moshi na Arusha.

Mkoa mzima umetulia kimya na watu wote wameelekea stesheni kushuhudia treni ya kwanza ya TRC iliyobeba makada wa CCM ikianza safari ya kihistoria.

Source Channel ten.

Maendeleo hayana vyama!
Wachagga siyo wapumbavu kiasi cha kwenda kushangaa ujinga bwashee!

Yani mangi aache kuchoma nyama, manka aache kupeleka ndizi kiboriloni aende kumshangaa ki-homo eractus kutoka zama za mawe kati kikizindua garimoshi lililokuwapo miaka ya nyuma kisha wakaliua hao hao wanaodai kulizindua Leo?
 
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM ndugu Polepole leo anazindua Huduma ya usafiri wa treni kati ya Moshi na Arusha.

Mkoa mzima umetulia kimya na watu wote wameelekea stesheni kushuhudia treni ya kwanza ya TRC iliyobeba makada wa CCM ikianza safari ya kihistoria.

Chanzo: Channel ten.

Maendeleo hayana vyama!

Sema wanaccm wa moshi ndio wameenda kuangalia hilo igizo. Nani anashoboka na treni outdated inayosafiri Moshi to Dar kwa masaa 18?
 
Nawasifu tu CCM kwa kuwa na Mikakati ya namna hii kwani hakuna asiyejua kuwa Kilimanjaro na Arusha walikuwa hawapendwi sasa watapendwa.

Wapendwe kwa hiyo treni outdated Kaka! Watu wa huko wameamka miaka mingi nyuma. Mtu aache kusafiri na Youtung lenye AC ndani kwa muda mfupi, apakie treni la masaa 18 Ms-Dar? Halafu kupendwa ni kitu automatic na sio kwa vitu. Kuna mwanamke nilikuwa nampenda balaa hapo mlimani, kanilia sana hela zangu, lakini alikuwa anampenda muhuni wake muuza mitumba hapo Mwananyamala, tena muhuni mwenyewe alikuwa hapo kitu.

Hao wanaoipenda ccm wataendelea kuipenda, ila wanaopenda upinzani wataendelea hata wakifungiwa mabomba ya maziwa ndani. Usitegeemee Simba ikichukua makombe, basi mashabiki wa Yanga wataipenda.
 
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM ndugu Polepole leo anazindua Huduma ya usafiri wa treni kati ya Moshi na Arusha.

Mkoa mzima umetulia kimya na watu wote wameelekea stesheni kushuhudia treni ya kwanza ya TRC iliyobeba makada wa CCM ikianza safari ya kihistoria.

Chanzo: Channel ten.

Maendeleo hayana vyama!

Polepole ninani huko kwenye Reli.
 
Uzuri wake Nikwamba Zama zimebadilika siku hizi ukiingiza Siasa kwenye Maswala ya umma unajulikana mapema tu, hii imesababishwa na Teknolojia kuenea pamoja na Elimu.

Maana zamani wajinga wasio na Elimu pamoja na Teknolojia duni vilitumika Kama nyenzo ya kupata kura za wajinga.
na heri huo ujinga angefanya ukanda wa wasukuma huko kaskazini anapoteza muda wake tu
 
Back
Top Bottom