Kuwasili kwa treni ya abiria jijini Arusha kwa mara ya pili baada ya miaka 30

Kuwasili kwa treni ya abiria jijini Arusha kwa mara ya pili baada ya miaka 30

Trein inazinduliwa leo how? trein imekuwepo kabla ya uhuru, CCM inahisi kila mtu ni mjinga
Ndio mana lisu anawaambia miundombinu kabla ya uhuru ilikuwa inajengwa na marais wastaafu nao wamejenga miundombinu sasa inakuwaje awamu hii ndo ionekane miundombinu imeanza kujengwa wananchi wananyanyaswa hawapewi stahiki zao
 
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM ndugu Polepole leo anazindua Huduma ya usafiri wa treni kati ya Moshi na Arusha.

Mkoa mzima umetulia kimya na watu wote wameelekea stesheni kushuhudia treni ya kwanza ya TRC iliyobeba makada wa CCM ikianza safari ya kihistoria.

Chanzo: Channel ten.

Maendeleo hayana vyama!
Kule sio ruangwa au chato,watu treni wanaijua meko hajazaliwa...washamba wako burigi
 
Mosh sio washamba to that extent unless wameambiwa kuna nyama ya kitimoto.
 
Leo Jumatatu Shirika la reli linafanya majaribio ya safari za treni ya abiria toka Moshi kwenda Arusha. Mgeni mualikwa ni katibu mwenezi wa ccm Humphrey Polepole.

Nimejiuliza tu kumbe TRC ambalo ni shirika la umma, ni wakala wa CCM siku hizi?

Wakati mwingine Serikali huwafanya wananchi kuchukia mambo yao kwa kuingiza usiasa mwingi. TRC ni mali ya watanzania wote kwa kodi za watanzania wote

Ile kauli ya CCM itatumia dola kuendelea kutawala ndio hii.
Acha hamaki. Usijifanye kama hujui ccm ndio chama tawala. Serikali inatekeleza ilani ya chama cha mapinduzi.
 
Leo Jumatatu Shirika la reli linafanya majaribio ya safari za treni ya abiria toka Moshi kwenda Arusha. Mgeni mualikwa ni katibu mwenezi wa ccm Humphrey Polepole.

Nimejiuliza tu kumbe TRC ambalo ni shirika la umma, ni wakala wa CCM siku hizi?

Wakati mwingine Serikali huwafanya wananchi kuchukia mambo yao kwa kuingiza usiasa mwingi. TRC ni mali ya watanzania wote kwa kodi za watanzania wote

Ile kauli ya CCM itatumia dola kuendelea kutawala ndio hii.
We hujui hesabu kuna kamanda mmoja ameelezea. If A=B and B=C then A=C.
 
Wapendwe kwa hiyo treni outdated Kaka! Watu wa huko wameamka miaka mingi nyuma. Mtu aache kusafiri na Youtung lenye AC ndani kwa muda mfupi, apakie treni la masaa 18 Ms-Dar? Halafu kupendwa ni kitu automatic na sio kwa vitu. Kuna mwanamke nilikuwa nampenda balaa hapo mlimani, kanilia sana hela zangu, lakini alikuwa anampenda muhuni wake muuza mitumba hapo Mwananyamala, tena muhuni mwenyewe alikuwa hapo kitu.

Hao wanaoipenda ccm wataendelea kuipenda, ila wanaopenda upinzani wataendelea hata wakifungiwa mabomba ya maziwa ndani. Usitegeemee Simba ikichukua makombe, basi mashabiki wa Yanga wataipenda.
Mkuu pole Sana...hiyo paragraph ya pili umeandika kwa uchungu sana
 
Hiyo treni na polepole hajawasomba waigizaji? siyo wasanii.
 
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM ndugu Polepole leo anazindua Huduma ya usafiri wa treni kati ya Moshi na Arusha.

Mkoa mzima umetulia kimya na watu wote wameelekea stesheni kushuhudia treni ya kwanza ya TRC iliyobeba makada wa CCM ikianza safari ya kihistoria.

Chanzo: Channel ten.

Maendeleo hayana vyama!


Watanzania na Wana Arusha mimi nauliza

"HIYO TRENI NI YA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)?
 
Moshi kwenda Arusha wananchi wanatumia coaster bus TSH 3,000 kwa kutumia masaa 1.30 kuingia arusha.sasa train kutoka Moshi kwenda Arusha itatumika masaa 4 Nani wa kuisubiri? Itapalia abiria kwa TSH 330 au?

Hawa wanasahau kuwa siku za nyuma kuna mabehewa yalikarabariwa kafanya safari za
Moshi - Arusha lakini zikasimamishwa baada kuonekana kuwa zinaingiza hasara.

Ukiacha suala la muda, reli ya kwenda Arusha haina kokoto kabisa sehemu kubwa; hivyo vumbi linatimka sana wakati treni inapita na abiria wanafika wamechafuka mno...!
 
Bwashee hiyo TRENI ilijengwa na Mkoloni kabla watanzania wote hatujazaliwa.Mwanza,Dar na Morogoro SGR huku kaskazini ???????.Hakuna mtu ataacha kupanda COASTER 45 minutes Arusha to Moshi,apande treni 2 hours.
 
Kazi nzuri maendeleo hayana chama kwahiyo msianze kuhoji kwanini iwe polepole[emoji23][emoji23]
 
Wapendwe kwa hiyo treni outdated Kaka! Watu wa huko wameamka miaka mingi nyuma. Mtu aache kusafiri na Youtung lenye AC ndani kwa muda mfupi, apakie treni la masaa 18 Ms-Dar? Halafu kupendwa ni kitu automatic na sio kwa vitu. Kuna mwanamke nilikuwa nampenda balaa hapo mlimani, kanilia sana hela zangu, lakini alikuwa anampenda muhuni wake muuza mitumba hapo Mwananyamala, tena muhuni mwenyewe alikuwa hapo kitu.

Hao wanaoipenda ccm wataendelea kuipenda, ila wanaopenda upinzani wataendelea hata wakifungiwa mabomba ya maziwa ndani. Usitegeemee Simba ikichukua makombe, basi mashabiki wa Yanga wataipenda.
nadhani amemaanisha kilimanjaro na Arusha zilikuwa hazipendwi na wajenzi wa treni
 
Back
Top Bottom