Wapendwe kwa hiyo treni outdated Kaka! Watu wa huko wameamka miaka mingi nyuma. Mtu aache kusafiri na Youtung lenye AC ndani kwa muda mfupi, apakie treni la masaa 18 Ms-Dar? Halafu kupendwa ni kitu automatic na sio kwa vitu. Kuna mwanamke nilikuwa nampenda balaa hapo mlimani, kanilia sana hela zangu, lakini alikuwa anampenda muhuni wake muuza mitumba hapo Mwananyamala, tena muhuni mwenyewe alikuwa hapo kitu.
Hao wanaoipenda ccm wataendelea kuipenda, ila wanaopenda upinzani wataendelea hata wakifungiwa mabomba ya maziwa ndani. Usitegeemee Simba ikichukua makombe, basi mashabiki wa Yanga wataipenda.