Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
Ndio mana lisu anawaambia miundombinu kabla ya uhuru ilikuwa inajengwa na marais wastaafu nao wamejenga miundombinu sasa inakuwaje awamu hii ndo ionekane miundombinu imeanza kujengwa wananchi wananyanyaswa hawapewi stahiki zaoTrein inazinduliwa leo how? trein imekuwepo kabla ya uhuru, CCM inahisi kila mtu ni mjinga
Kule sio ruangwa au chato,watu treni wanaijua meko hajazaliwa...washamba wako burigiKatibu wa itikadi na uenezi wa CCM ndugu Polepole leo anazindua Huduma ya usafiri wa treni kati ya Moshi na Arusha.
Mkoa mzima umetulia kimya na watu wote wameelekea stesheni kushuhudia treni ya kwanza ya TRC iliyobeba makada wa CCM ikianza safari ya kihistoria.
Chanzo: Channel ten.
Maendeleo hayana vyama!
Acha hamaki. Usijifanye kama hujui ccm ndio chama tawala. Serikali inatekeleza ilani ya chama cha mapinduzi.Leo Jumatatu Shirika la reli linafanya majaribio ya safari za treni ya abiria toka Moshi kwenda Arusha. Mgeni mualikwa ni katibu mwenezi wa ccm Humphrey Polepole.
Nimejiuliza tu kumbe TRC ambalo ni shirika la umma, ni wakala wa CCM siku hizi?
Wakati mwingine Serikali huwafanya wananchi kuchukia mambo yao kwa kuingiza usiasa mwingi. TRC ni mali ya watanzania wote kwa kodi za watanzania wote
Ile kauli ya CCM itatumia dola kuendelea kutawala ndio hii.
We hujui hesabu kuna kamanda mmoja ameelezea. If A=B and B=C then A=C.Leo Jumatatu Shirika la reli linafanya majaribio ya safari za treni ya abiria toka Moshi kwenda Arusha. Mgeni mualikwa ni katibu mwenezi wa ccm Humphrey Polepole.
Nimejiuliza tu kumbe TRC ambalo ni shirika la umma, ni wakala wa CCM siku hizi?
Wakati mwingine Serikali huwafanya wananchi kuchukia mambo yao kwa kuingiza usiasa mwingi. TRC ni mali ya watanzania wote kwa kodi za watanzania wote
Ile kauli ya CCM itatumia dola kuendelea kutawala ndio hii.
Mkuu pole Sana...hiyo paragraph ya pili umeandika kwa uchungu sanaWapendwe kwa hiyo treni outdated Kaka! Watu wa huko wameamka miaka mingi nyuma. Mtu aache kusafiri na Youtung lenye AC ndani kwa muda mfupi, apakie treni la masaa 18 Ms-Dar? Halafu kupendwa ni kitu automatic na sio kwa vitu. Kuna mwanamke nilikuwa nampenda balaa hapo mlimani, kanilia sana hela zangu, lakini alikuwa anampenda muhuni wake muuza mitumba hapo Mwananyamala, tena muhuni mwenyewe alikuwa hapo kitu.
Hao wanaoipenda ccm wataendelea kuipenda, ila wanaopenda upinzani wataendelea hata wakifungiwa mabomba ya maziwa ndani. Usitegeemee Simba ikichukua makombe, basi mashabiki wa Yanga wataipenda.
wameenda kuona kushuhudia na kushangaa kama pole pole ni mtu au mnyama maana ile sura haijajieleza ipasavyo yupo kundi gani la mamalia
[/
Kama mhombea wenu amabe sura yake kama kobe maji
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM ndugu Polepole leo anazindua Huduma ya usafiri wa treni kati ya Moshi na Arusha.
Mkoa mzima umetulia kimya na watu wote wameelekea stesheni kushuhudia treni ya kwanza ya TRC iliyobeba makada wa CCM ikianza safari ya kihistoria.
Chanzo: Channel ten.
Maendeleo hayana vyama!
Moshi kwenda Arusha wananchi wanatumia coaster bus TSH 3,000 kwa kutumia masaa 1.30 kuingia arusha.sasa train kutoka Moshi kwenda Arusha itatumika masaa 4 Nani wa kuisubiri? Itapalia abiria kwa TSH 330 au?
Mkuu pole Sana...hiyo paragraph ya pili umeandika kwa uchungu sana
Serikali ni ipi?Iyo treni ni ya CCM au ni ya Serikali?
Kama ya serikali polepole ana wadhifa gani serokalini?
Hawajaita watu ila nadhani kwa kinacho fanyika kwa mwananchi mwenye nafasi ya kufika ni lazima angelifikaKwaiyo anaruhusiwa kufanya mikusanyiko isiyo rasimi!
Wapingaji kila jambo[emoji23]Moshi shughuli kama kawaida wala hatuna habari na treni
nadhani amemaanisha kilimanjaro na Arusha zilikuwa hazipendwi na wajenzi wa treniWapendwe kwa hiyo treni outdated Kaka! Watu wa huko wameamka miaka mingi nyuma. Mtu aache kusafiri na Youtung lenye AC ndani kwa muda mfupi, apakie treni la masaa 18 Ms-Dar? Halafu kupendwa ni kitu automatic na sio kwa vitu. Kuna mwanamke nilikuwa nampenda balaa hapo mlimani, kanilia sana hela zangu, lakini alikuwa anampenda muhuni wake muuza mitumba hapo Mwananyamala, tena muhuni mwenyewe alikuwa hapo kitu.
Hao wanaoipenda ccm wataendelea kuipenda, ila wanaopenda upinzani wataendelea hata wakifungiwa mabomba ya maziwa ndani. Usitegeemee Simba ikichukua makombe, basi mashabiki wa Yanga wataipenda.