Kwa aina ya mpira anaocheza Kylian Mbappe, atapotea baada ya kufikisha miaka 30

Kwa aina ya mpira anaocheza Kylian Mbappe, atapotea baada ya kufikisha miaka 30

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Tulipokuwa tunam criticuze Messi hawa walikuwa wanatuita haters na kuna muda walikasirika sana kwenye ile special thread mpaka nikaanza ku observe baadhi ya members wameichukulia personal sana kiasi wame catch feeling

Leo hii wameona haitoshi wamekuja kumsema negative Mbappe, huyu ndio mchezaji aliyechana mkeka hadi wa Drake na Drake ametulia kimya na kukubali matokeo

Sasa leo hii buku la mmakonde limepitiwa na muhindi tayari zimeanza kashfa na ramli chonganishi.
 
Mbona unaruka tena? Hapa tunawaongelea hawa wachezaji na rekodi zao kila mahali.

Ronaldo afananishwe na wenzie wasiokuwa na world cup.
Wewe ndio umeruka

Mjadala ulikuwa ni Mbappe vs Messi katika age ya 23

Mbappe amemzidi Messi katika kila eneo mi ndio nikaongezea hoja hapo kuwa katika hayo magoli ya Messi ambayo amezidiwa na Mbappe usikute kulikuwa na 84 penati

We ukasema Ronaldo anaongoza, sasa Ronaldo hapo anaingiaje?
 
Ronaldo ana kundi kubwa sana la watu wanaomchukia kuliko tunavyodhani

Yani pamoja na wao kuchukua kombe lakini bado wanaona haitoshi kumfanyia ridiculous
Ego ya Ronaldo ambayo naiona kwa mbappe pia ndio chanzo cha yeye kuwa na wengi wasiomkubali.

Nimeona rivaldo, ronaldinho, de Lima, Shweinsteiger nk wakitaka Messi abebe kombe.
 
Wenzetu ni wazalendo hasa oale ni timu ya Taifa,asingeweza kuchekelea wakati wamepoteza kombe muhimu. Pesa za kutosha anapata PSG
Basi kumbe cha muhimu kwa mchezaji ni mafanikio ya timu na sio hela peke yake.
 
Wewe unatumia nini? Labda tuanzie hapo? Mbappe hata akistaafu leo mafanikio aliyopata mpaka sasa huwezi kuyafikia.

Achana na wivu wa kijinga mkuu!
Kila mtu anacho kipimo chake cha mafanikio pamoja na mtazamo wake kutambua kipi aite mafanikio hivyo huwezi kusema sitamfikia.

Mimi mwaka huu nimeshabikia Argentina kwasababu ya Messi lakini miaka yote timu yangu world cup ni ufaransa hivyo siwezi kumchukia mbappe.
 
Messi akiwa chini ya miaka 20 alikuwa na WC?
Hapana hakuwa nayo ila alishakuwa na UCL na Ballon d'or ambazo mbappe hana. Mbappe hata Euro hana. Hana super cup wala club world. Hajawahi kugusa tuzo ya FIFA best player of the year wala ile ya UEFA kwahiyo bado ni mtoto sana kwa king Messi.
 
Kila nikimuangalia huyu mchezaji ninaona anatumia mbio nyingi na ndio mafanikio yake yapo hapo.

Akishavuka miaka 30 hataweza kukimbia kwa kasi ya sasa hivi na hapo atapotea kama alivyopotea Christiano.
Ukweli mchungu.
 
Wewe ndio umeruka

Mjadala ulikuwa ni Mbappe vs Messi katika age ya 23

Mbappe amemzidi Messi katika kila eneo mi ndio nikaongezea hoja hapo kuwa katika hayo magoli ya Messi ambayo amezidiwa na Mbappe usikute kulikuwa na 84 penati

We ukasema Ronaldo anaongoza, sasa Ronaldo hapo anaingiaje?
Ronaldo hapo kaingia kwasababu wewe ni mshabiki wake.😂

Mbappe asifananishwe na Messi mpaka atakapobeba UCL kadhaa, ballon d'or angalau tatu, Euro moja nk
 
Hapana hakuwa nayo ila alishakuwa na UCL na Ballon d'or ambazo mbappe hana. Mbappe hata Euro hana. Hana super cup wala club world. Hajawahi kugusa tuzo ya FIFA best player of the year wala ile ya UEFA kwahiyo bado ni mtoto sana kwa king Messi.
Mbappe yeye katika huo umri tayari ana kombe la dunia ambalo huyo babu yenu amekuja kulishika akiwa kikongwe.
 
Di Maria yule mtu na nusu,jana kounde alimshukuru kocha fala wa Argentine kumtoa na kuingia Acuna.

Mbappe anachenga ya aina moja tu na mbio ndio maana jana imemchukua dakika 78 kuanza kuonekana uwanjani.
Kuna watu watakuona hater ila ulichoandika ndo uhalisia wenyewe.
 
Watu mliokuwa mnaangalia mpira kupitia TBC huwa hamfichiki

Kwa hiyo nawewe ulikuwa unamsikiliza Nazareth Upete na kumuamini?

Eti chenga ya aina moja' we ulitaka awe nazo pea ngapi?
Mbona kama wewe ndo mdau wa tbc? Huyi upete ndokwanza tunamsikia kwako.
 
Na Messi hawezi kuwa GOAT kwasababu hajabeba World Cup 3 kama pele
Pele hafikii level ya Messi, huyo mfananishe na akina maradona, platini, de Lima na zidane. Hata copa america tu hakubeba achilia mbali kwamba hata ulaya hakucheza.
 
Ego ya Ronaldo ambayo naiona kwa mbappe pia ndio chanzo cha yeye kuwa na wengi wasiomkubali.

Nimeona rivaldo, ronaldinho, de Lima, Shweinsteiger nk wakitaka Messi abebe kombe.
Ronaldinyo alipofungwa kule Uruguay, Messi na Etoo ndio waliokuwa wanampa kampani

Kwa hiyo Ronaldinho kumsapoti Messi ilikuwa ni doing something in return

Btw wapo wachezaji wengi waliomtakia heri Ronaldo afike mbali ila sio big deal kwakua fans wake hatushoboki na vitu vidogo kama hivyo
 
Back
Top Bottom